Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] namtania tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] namtania tu
Unamfahamu Mwenyekiti wa maisha wa chadema?Marufuku kuniuliza maswali kuhusu chadema
Marufuku kuendelea kuni quote !Wewe punguani Nani alikuuliza swali kuhusu chadema?
Subiri sasa ndiyo utaijuwa JF.
Kwani ilikua lazima asafiri?Balozi Seif Idd anasema baada ya kutoka Cuba ameamua kujiweka katika karantini ya siku 14 nyumbani kwake.
Source ITV habari!
Marufuku kuni quoteUnamfahamu Mwenyekiti wa maisha wa chadema?
Wapiiiii? Labda si FaizaFoxy, hapigiwi anacheza akipigiwa jee?
Kuna kifungo cha ignore, haufahamu kukitumia? Wewe CCM gani poyoyo namna hiyo? I doubt.Marufuku kuni quote
Unamfahamu Mwenyekiti wa maisha wa chadema?Marufuku kuni quote
Mbowe ni kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani. Hana cha binafsi,. Ni part and parcel ya mfumo wa Bunge la Tanzania.Mimi binafsi sitaki kujua mambo binafsi ya Mbowe.
Marufuku kuni nukuuKuna kifungo cha ignore, haufahamu kukitumia? Wewe CCM gani poyoyo namna hiyo? I doubt.
Marufuku kuni nukuuUnamfahamu Mwenyekiti wa maisha wa chadema?
Marufuku kuendelea kuni quoteMbowe ni kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani. Hana cha binafsi,. Ni part and parcel ya mfumo wa Bunge la Tanzania.
Wewe CCM gani unakuwa poyoyo ama ma chadema?
Vipi mtoto wa Mwenyekiti Mbowe kapona Corona?
You sound very different. No substance in your comments as it used to be the case.Kwa hiyo sepa tu. Si lazima ujibu, ni jukwaa huru hulazimishwi kujibu chochote JF na hunanulazima wa kutoa sababu zako.
Few months back there was no Corona.You sound very different. No substance in your comments as it used to be the case.
Mwenyekiti Mbowe unazo habari zake za Corona?Marufuku kuendelea kuni quote
Hata Mimi sijapata bado habari za Mbowe. Wewe haupo Dodoma?Marufuku kuendelea kuni quote
wewe ni katika watu wenye IQ ndogo mnoo humu jamviniKama ni hivyo hata mkuu wa mkoa wa zanzibar Dr Shein nae awekwe karantini
Ana pacial paralismWanasiasa ni wajanja tu. Huko anakotoka alikuwa kwenye isolation pia. Kwa hiyo isolation aloyojiwekea baada ya kurudi ni janja tu ya kuonesha watu kwamba anatii amri. Lakini kama ingelikuwa ana dalili kweli hasa huyu ni mtu wa mwanzo kukataa ushauri wa kitaalamu. Ushauri wa kitaalamu alipewa miaka mitatu iliyopita apumzike kutokana na hali yake ya kiafya mbona kaukataa. Na ndio maana kwa Bara unaona Majaaliwa anatowa ripoti wakati Zanzibar ni Waziri wa Afya. Kwa sababu huyu jamaa hata maneno hayatoki mdomoni na akikaa mbele ya camera.hawaruhusiwi kumchukuwa usoni.