Makamu wa Rais anaeweza kukaa nje ya nchi kwa mwezi mmoja kwa shughuli maalamu?

Ndo shughuri maalumu?
Kula chakula siyo sawa na kumeza vidonge vya kutibu malaria. Unamwza vidonge kwa sababu maalumu. Unakula chakula ni shughuli ya kawaida. Natoa mfano tu kukueleza tofauti ya jambo maalumu na jambo la kawaida
 
labda training on the job who knows? all in all 2025/30 kikatiba tuna raisi mwingine …
Huenda bi hadija akawania muhula wa tatu, maana aliikana awamu ya kwanza waliyoanza pamoja na Magu.
 
Mwenye ukweli ni yeye na ndiyo kasema alikuwa nje kwa kazi maalum. Wengine tutapiga ramri ambayo haitatoa jibu sahihi.
 
Nimesoma habari kwenye gazeti la mwananchi. Nimegundua hii nchi watu ni waongo sana. Nukuu zile zinamaanisha tofauti na anachokisema.
Tumshukuru Mungu amerudi salama na ni mwenye afya tele.
 
Hiyo shughuli maalumu ya siku 40 ni ipi?
 
Hiyo shughuli maalumu ya siku 40 ni ipi?
Naam mkuu, imeshafahamika sasa alikuwa katika shughuli maalum ambayo ilimfanya awe nje ya ofisi yake bila ya umma kutaarifiwa kwa siku zaidi ya 30. Unyeti wa shughuli hiyo maalum pengine ndiyo uliopelekea kugubikwa kwa ukimya huo.

Je! Ikiwa ni maandalizi ya zoezi la kuratibu wizi wa kura katika chaguzi za 2024 & 25, wananchi walipaswa kuambiwa!?
Je! Kama Mama kwa hiyari yake ameamua kutundika daruga, na kisha kumpa kazi maalum ya kujiandaa kuchukua kiti, umma ulipaswa kuambiwa!?

Nukuu;

"Kazi ambayo MUNGU amenituma kuifanya sijaimaliza. Wakati utakapofika nitarejea kwa Muumba wangu” - Philip Mpango.
 
Wewe Ndio kubwa la Mapumbafu

Neno " Kazi maalumu" linapotumiwa na Kiongozi wa Serikali ni Watu wachache wenye uelewa wa kuelewa na tutusa kama wewe siyo mmoja wao
Tokapa nani hajawahi kuwa serikalini mnadhani mnachati na wauza nguo kariakoo .hakuna cha kazi maalumu ya kuugua huyu walikuwa wanaficha kitu na kuna kiktu hakiko sawa FULL STOP
 
Tokapa nani hajawahi kuwa serikalini mnadhani mnachati na wauza nguo kariakoo .hakuna cha kazi maalumu ya kuugua huyu walikuwa wanaficha kitu na kuna kiktu hakiko sawa FULL STOP
Why unalazimisha hisia zako ziwe ukweli? Kumbuka huyo ni kiongozi ngazi ya juu kitaifa je kama serikali imebaini kuwa kuna umuhimu wa yeye kupewa short course ili kuimalisha uongozi wake ni lazima utangaziwe?
 
Ukifuatilia hotuba yake kanisani... Ukasoma na Zaburi 118:17 aliyotumia kujenga hoja utagundua kuwa hali ilikuwa mbaya!
Na kwa sasa anaishi kusimulia matendo ya BWANA!
NB:
1. UGONJWA si lazima apunguwe mwili!
2. Kuna kitu mahali hakipo sawa!
 
Why unalazimisha hisia zako ziwe ukweli? Kumbuka huyo ni kiongozi ngazi ya juu kitaifa je kama serikali imebaini kuwa kuna umuhimu wa yeye kupewa short course ili kuimalisha uongozi wake ni lazima utangaziwe?
Akiwa anapewa short corse wanampangia huku nyuma mikutano ndan ya short cozi nje hapa nchini ? ACHA KUTETEA WENYE PUMBU WENZIO UCHAWA TU
 
Kwa Tz na nchi nyingi za ki-Afrika hilo linawezekana kabisa, wala hakuna tatizo.
 
Salary slip, Sokoine alipigwa risasi ya mguu, alienda kutibiwa Cuba, baadaye akamalizia Denmark. Alichukua miezi siyo mwezi.
 
Siyo kweli kwamba Makamu wa Rais ana bahati mbaya, kiini cha tatizo hili umetokana na Serikali yenyewe kwa kitendo chake cha kufanya Siri mambo ambyo kimsingi hayahitajiki kuwa Siri. Hivi kama Serikali ingeweka wazi mapema juu ya suala hili, unafikiri huu uvumi mbaya uliojitokeza ungekuwepo?? Hivi Serikali ina sababu gani ya kuficha jambo kama hili? Je, ingepata hasara gani endapi kama safari ya huyo VP ingewekwa wazi kwa Wananchi??
Kumbuka: Pale ambapo ukweli unafichwa, basi Uongo na uzushi huwa unapata nguvu zaidi, na uongo au uzushi huo huwa unaaminika na watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…