Makamu wa Rais anaeweza kukaa nje ya nchi kwa mwezi mmoja kwa shughuli maalamu?

Makamu wa Rais kazi yake ni kumsaidia Rais, nikijibu swali lako Makamu wa Rais anaweza kukaa nje ya nchi hata zaidi ya mwezi, kwa sababu yeye ni msaidizi tu, hasa Rais anapokuwa hayupo nchini au anadharula nyingine ya kikazi au kibinaadamu.

Utaona kazi zote ni za Rais, Makamu ni msaidizi hivyo umuhimu wake upo katika nafasi hiyo. Yeye sio muhimu kuwepo nchini muda wote, hasa pale Rais anapokuwa na uwezo wa kuyasimamia majukumu yote ndani ya nchi.

Hata hivyo Rais anawasaidizi wengi, yupo waziri mkuu, Makamu waziri mkuu na wengine wengi. Ukiangalia nafasi ya Makamu wa Rais ni kukidhi vigezo vya kikatiba zaidi, kwa kwa kuwa umoja ni nguvu.
 
Utakuwa na umri mdogo, Kikwete na Mkapa wakiwa marais walikaa nje ya nchi kwa zaidi ya miezi miwili na waliporudi shughuli zikaendelea kama kawaida.
 
Makamu wa raisi ni mtu mkubwa sana. Taarifa kwamba yuko wapi ninafiiri ni muhimu kujua. Ninadhani there was something wrong somewhere that why Higher Authority didn't disclose his whereabouts. Hayo tuwaachie wakubwa.
 
"nature abhors a vacuum" credits: Aristotle
 
Sema anapenda kuficha ugonjwa wakati haiwezekani kwa nafasi aliyonayo.
 
Hiyo panadol anayomeza nanunua mimi mlipa kodi, kwahiyo kuhoji ni halali ya kila raia wa nchi hii.
 
Hiyo panadol anayomeza nanunua mimi mlipa kodi, kwahiyo kuhoji ni halali ya kila raia wa nchi hii.
Ndiyo hivyo sasa huwezi kuambiwa na huna la kufanya.

Tafuta mahitaji ya familia laza fuvu tulia; sawa!
 
Na bado hayuko sawa!!
 
Utajua mwenyewe kama kwenu unapoenda hospitali unaaga kwamba wenda kazini. Ua ukirudi toka hospitali ndugu hwakujulii hali bali salam yao ni pole kwa kazi maalum 🤣
hata wewe unaweza kua mgonjwa maalum na ukapatiwa matibabu maaluumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…