Makamu wa Rais anapoambatana na wake zake wawili....!!!

Makamu wa Rais anapoambatana na wake zake wawili....!!!

We Yaya Toure kum..... Ahh bora ninyamaze naogopa ban
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ndo shida ya kujaza Kina Sheikh ubwabwa sehemu nyeti serikalini
 
Basi sawa:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Sio kila kitu mnapinga wanajamvi , kanamama hawa mie huwa nawafagilia sana, saa zote wamemweka Kati wanaidhibiti penseli hasa, wanahakikisha inachomekwa kwenye kichongeo kilicho kwenye Katba tu.. Sio wale penseli zao hata hawazidhibiti zinachonga hadi vichongeo vya 14years .. Ile balaa Kwa Kweli .. Heko ze waifu..
 
Kazi sana kuwa na miviongozi miislamu

Inavyoelekea huna mke ama la utakuwa kha....i,
Nawe utakuwa ni mzinifu mkubwa kama yule ...

Acha Waislaamu tupate raha hasa tunapokuwa katika misingi ya uadilifu,

Imekuuma sana,
Andamana ama jichimbie chini ya ardhi na pindi Waislaamu wakiisha Duniani/Tanzania utarejea,

Teh teh teh .....!
 
...Kahba mkubwa ww huna dini wala dunia hapo ulipo unatamani uwe mke wa tatu wa mzee lakini ujue mzee anajiheshim hawezi kuowa kahba fuska kama ww mshenzi mkubwa tena ukome kukebehi uislam

povu limekutoka sana wewe kaka, mpaka mashavu yatakuuma.
Kubali ukatae makamu wa rais kafanya ujinga sana tena ni ushamba ulipopililiza:
utakujaje kwenye public ceremony na wake wawili ilhali wewe ni kiongozi wa umma?
Ni ushamba tu huo tena uliopitiliza.
Mambo ya fourth ladies hatuyataki.
 
Wake wanne duniani,napeponi munguwao 'alah,eti kawaahidi kuwapa mabinti mabikra wazindue wenyewe kwaraha zao! dini nyingine majanga.
 
Ni ufujaji wa fedha za walipa kodi, angekwenda na mmoja kisha safari nyingine akipata anakwenda na mwingine. Sasa hao wote wawili anaweza kuwakung'uta kwa pamoja??? Ni kutafuta watu kukusema pasipo sababu.
 
Mwacheni mzee wa watu, mmezoea unafiki wa ndugu zetu walio na msururu wa madem?! Huyu ambaye hata imani inamruhusu mnamponda!!

Ubinadamu kazi sana
 
povu limekutoka sana wewe kaka, mpaka mashavu yatakuuma.
Kubali ukatae makamu wa rais kafanya ujinga sana tena ni ushamba ulipopililiza:
utakujaje kwenye public ceremony na wake wawili ilhali wewe ni kiongozi wa umma?
Ni ushamba tu huo tena uliopitiliza.
Mambo ya fourth ladies hatuyataki.
..Mjinga na mshamba ni ww unae fuatilia na kijadili maisha binafsi ya watu. Niambie amevunja sheria ya dini yake ya nchi,sheria ya mila au ya sherehe? Au unatamani uwe mke wa3 wa makamo?
 
Du kunamijitu mipumbavu humu bora ni Yule anayekuja Na wakeze au Yule anayekuja Na vimada kila kukicha. Ndo mana viongozi wengi wa kikristo wanaukimwi sababu ya kupenda vimada. Huyu Mzee muadilifu mnaanza kuleta maneno mlitaka aende pale Na mama zenu
 
Du kunamijitu mipumbavu humu bora ni Yule anayekuja Na wakeze au Yule anayekuja Na vimada kila kukicha. Ndo mana viongozi wengi wa kikristo wanaukimwi sababu ya kupenda vimada. Huyu Mzee muadilifu mnaanza kuleta maneno mlitaka aende pale Na mama zenu

taja viongozi wakristo wenye ukimwi. mimi nataja waislamu
1.kapuya
 
Siwezi kuwataja hapa wenye ukimwi sababu ni mpaka mgonjwa mwenyewe akubali kutamgazwa bali ninaorodha ya watu kumi wakikubali wenyewe mie nataja
 
Ni ufujaji wa fedha za walipa kodi, angekwenda na mmoja kisha safari nyingine akipata anakwenda na mwingine. Sasa hao wote wawili anaweza kuwakung'uta kwa pamoja??? Ni kutafuta watu kukusema pasipo sababu.

Sasa we nae unachekesha, kwenda mcmabzi center kutoka oysterbay unahusu nn Hy maneno yk
 
Huyu mswahili ni ngono tu!
Waliooa inasemekana kwa kawaida wanafanya tendo la ndoa mara 2 au 3 kwa wiki.Mme mmoja mke mmoja.
Sasa huyu times 2,inamaana wiki nzima yuko shughulini,maendeleo yatatoka wapi.

We mwenye mmoja Una level gani ya maendeleo ya kusema umemzidi yy
 
Back
Top Bottom