jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Hata nikinunuwa mafuta nalipa kodi. Acha ushamba. Hii ni awamu ya sita ushamba hauna tena nafasi. Stupid wahed.unalipa kodi gani wewe falasi wacha roho za kimasikini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nikinunuwa mafuta nalipa kodi. Acha ushamba. Hii ni awamu ya sita ushamba hauna tena nafasi. Stupid wahed.unalipa kodi gani wewe falasi wacha roho za kimasikini.
Sio serikali tu.. ina maana hata familia yake wamekosa hela ya kuzungushia tofali ikawa sehemu nzuri? ... Ni aibu aisee.. utasema ni nyumba ya kufugiaView attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Hiyo familia hovyo uwezo wa kujenga inayo.View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Hapa walaumiwe familia yake.. kujenga hapo hata milioni kumi isingeisha na pangekuwa vizur sana.. sio kwa mwonekano huo, hayo majani unaweza kuta nyoka humoWaambie watoe hayo maua yaliyokauka na badala yake wapande bustan nzuuuri ya eden maana huko alipo yupo peponi.pia waambie watoe hayo mabat wajenge ukuta harakaharaka kama walivyokua wanajenga vile vibanda vya watu kukaa wakat ziara ya mwili wake. Waambie waache uvivu mwenyewe alikua akisisitiza watu wachape kazi usiku na mchana! Kama ni pesa za kujengea ukuta ndiyo hamna wambie warudishe benz la mzee mwinyi wapate hela ya kujengea kaburi. Kama imeshindikana waambie wasionyeshe picha za kaburi la mzee wasukuma tunaumia
hiyo 12tsh ya lita moja ndio unataka upangie watu wapi pa kwenda!!!Hata nikinunuwa mafuta nalipa kodi. Acha ushamba. Hii ni awamu ya sita ushamba hauna tena nafasi. Stupid wahed.
Niko Chato leo. Kesho asubuhi nafanya yanguUnapambana na marehemu, pambana na maisha