Makamu wa Rais Dkt. Mpango asema wananchi waweke chakula huku mipaka hawajazuia kupeleka nje ya nchi

Uko sahihi kilimo kuheshimika ni bei
Mkulima anatakiwa atajirike akiwa huko kijijini .Watu wanahama vijijini kila siku sababu hawaoi faida ya kilimo.Kilimo kichwa kama bei za vitu vingine vinavyoachwa bei huria

Wapaka poda wa mjini wakiona kilimo kinalipa tutaanza kuona exodus ya watu kuhama mijini kwenda kulima vijijini
 
Kabla ya kutegemea kiongozi awe responsible, wewe mwananchi inatakiwa uwe responsible sio kila kitu mpaka kiongozi aseme.

Lini watu watakuwa na akili za kujitegemea sio kila kitu mpaka asimame kiongozi aseme?

Hiyo haiondoi umuhimu wa kuwa responsible leader. Vinginevyo, hakuna sababu ya kuwa na kiongozi.
 
Aliyekwambia uwe mjini ukicheza pool kutwa nzima nani? Yaani mkulima ahangaike kulima na kuvuna wewe mcheza pool uonewe huruma kwa kumkandamiza mkulima asiuze mazao mahala atakapo?
Makamu wa Raisi Mpango shikilia hapo hapo
Wacheza pool watarudi vijijini kulima

Haiwezekani kijana wa kiume ana nguvu zake anakuja mjini anaacha shamba lenye rutuba kigoma anakuja Dar es salaam kupaka kucha wanawake vipodozi kijijini wanaacha vikongwe vilime sababu anaona kilimo hakilipi

Wacha bei zipae za vyakula mjini wataona kilimo kina faida watarudi kulima
 
Kupanda bei za mafuta ya magari mijini tunamkubali.

Tukubali tu na bei za vyakula kupanda mjini

Vinginevyo hatutendei haki wazawa tunajali wa nje tu.Wakulima pembejeo ziko juu mno zinatisha
 
Kwani mnatusaidia nini kipindi cha kilimo zaidi ya mvua ya MUNGU?
 
Point
 
Labda hujui tu, lakini sisi wakulima kufunga mipaka ni kuturudisha nyuma! Lakini ujue pia, bei ya vyakula kupaa ni afuweni yetu!
Tunalima kwa gharama zetu, ambazo ni kubwa sana, na hatuwalimii nyie mnaokaa kwenye viti vya kuzunguka huko maofisini! Tunakabiliana na mfumuko wa bei wa kila kitu, lakini wajinga wa mjini wanataka bei ya vyakula iwe chini! Kilimo ni biashara kama mafuta, na bidhaa ngingine na hatulimii nchi, tunalimia maisha yetu!
 
Vita ya Urusi
Ardhi tunayo wafugaji tunao wengi mavi ya ng'ombe zao ,kuiu,nk yangetosha kuwa mbolea tosha.Waaanze kufungasha kwenye viroba

Majalala tunayo kibao mijini private sector iichakate huo uchaguzi kuwa mbolea

Vyoo kila siku vinanyonywa mbona mbolea nzuri tu

Katikati ya jiji uchafu wa vyoo unaenda baharini wa jiji mbona ungechakatwa kuwa mbolea

Sema baadh ya Sisi watanzania tuna Tatizo vichwani.Vita ya Urusi na Ukraine inalaumiwa bure
 
Wakazi wa mijini wanataka kujifanya wakulima ni watumwa wao wanadhani mjini ndio wamefika kuwa na maisha ni mjini

Ni wakati wa watu wa vijijini kufaidi kwa bei nzuri itasaidia kuwapa somo wapaka poda na perfume mijini kuwa vijijini nako kuna maisha kwa bei kuwa nzuri ya mazao na kuwapa utajiri wana vijiji

Hii tabia ya kuchaji watu wa vijijini kazi yao kuwalimia vyakula kwa hasara wapaka poda na perfume wa mijini lazima ukome

Mkulima auze mazao kwa bei yenye faida afaidike na kupinda mgongo kulima
 
Aliyekwambia uwe mjini ukicheza pool kutwa nzima nani? Yaani mkulima ahangaike kulima na kuvuna wewe mcheza pool uonewe huruma kwa kumkandamiza mkulima asiuze mazao mahala atakapo?
Anachezaza amapiano na singeli huku

Ova
 
Nyie mnawaheshimu machawa na wakata mauno tu,mkulima mnamfanya daraja..ngojeni sasa
Wawanyooshe

Ova
 
Wanataka wakata mauno ndiyo watatakate....mkulima Ana heshima
Yake bwana

Ova
 
Mkuu inanikera hii!! Anzisha uzi tulijadili vema suala hili. Angalia misuli Kama ya baba Levo na Mwijaku inafanya kazi za uchawa huku maeneo yenye rutuba kule Kigoma yakibaki bila kulimwa.
 
Mkuu inanikera hii!! Anzisha uzi tulijadilivema suala hili. Angalia misuli Kama ya baba Levo na Mwijaku inafanya kazi za uchawa huku maeneo yenye rutuba kule Kigoma yakibaki bila kulimwa.
Fungua wewe nitachangia huko
 
Wanataka wakata mauno ndiyo watatakate....mkulima Ana heshima
Yake bwana

Ova
Diamond mmojawapo

Kaacha kuwekeza kwenye kilimo kigoma ananengua kiuno mijini Dar es salaam
 
Anayetaka kuweka aweke anayetaka kuuza auze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…