Makamu wa Rais Dkt. Mpango asema wananchi waweke chakula huku mipaka hawajazuia kupeleka nje ya nchi

Soko huria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja Yako Haina mashiko. Mkulima anacho jua yeye ni kulima kuuza.
Hata hizo gharama za bidhaa nyingine zikishushwa wapo watakao uza hadi akiba
 
Vyakuri Bei juu lakini pesa ipo me naona fresh kuliko Ile debe la mahindi alfu 5 lakini kuipata tano hiyo mh
 
Unataka nani akutunzie chakula? Bwege kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…