Makamu wa Rais Dkt. Mpango awasili Rwanda kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi za Jumuiya ya Madola

Lazima kuna sababu za Mama kutokwenda,maana haikutarajiwa asihudhurie mkutano huu ambao ni mkubwa na una heads of Gvt karibu 60 ikiwemo Boris,Trudeau, mashirika makubwa ya maendeleo imf,Afdb,WB na makampuni makubwa ya kiuwekezaji. lazima kunasababu siyo bure.Maana ile tu ya Nairobi kumtuma Balozi ilileta ? kidogo na hii tena.
 
The bad news is "The world won't wait for us, not ever."
 
Mbona wao hawajamleta malkia badala yake kaja kuwakilishwa na mwanamfalme?
Kila mtu ashinde mechi zake.
Mbona Muda tu ilishatangazwa Malkia ana matatizo ya miguu na function kibao hajahudhuria.
 
Speech ni official statement from the government na huwa kwenye written form na inaweza kutolewa na rais au kiongoz mwingine yeyote kwa niaba yake na to put it in context speech hyo imetolewa leo na makamu wa rais inatosha kabisa.
"Speech hyo imetolewa leo na makamu wa rais inatosha kabisa".

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Aiseeee.
 
We jamaa una chekesha. Akienda ni nongwa, asipo enda pia nongwa.
 
23 June 2022

Kigali Summit on Malaria and NTDs | Remarks by His Royal Highness Prince Charles

 
Mbona Muda tu ilishatangazwa Malkia ana matatizo ya miguu na function kibao hajahudhuria.
Nasie rais anadharura za msing ndomaana hajahudhuria.
Achen inferiority complex Tanzania ni nchi huru wala haiwajibik kwa UK.
Wala hakuna nchi iliyoendelea dunian kwa kutegemea misaada kutoka UK.
 
Africa utumwa wa kifikra bado ni tatzo kubwa saana.
 
Nasie rais anadharura za msing ndomaana hajahudhuria.
Achen inferiority complex Tanzania ni nchi huru wala haiwajibik kwa UK.
Wala hakuna nchi iliyoendelea dunian kwa kutegemea misaada kutoka UK.
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Napenda kutuma salamu kupitia NMB.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…