Makamu wa Rais Dkt Mpango azindua kituo cha upandikizaji Mimba na Gari la huduma tembezi za Afya

Makamu wa Rais Dkt Mpango azindua kituo cha upandikizaji Mimba na Gari la huduma tembezi za Afya

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo Septemba 12, 2024 amezindua kituo cha upandikizaji mimba (IVF) cha Dkt. Samia Suluhu Hassan kilichopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar Es Salaam.

Sambamba na hili , Dkt. Philip Isdor Mpango leo Septemba 12, 2024 amezindua gari la huduma tembezi za Afya (Mobile Medical Services) litakalo wezesha kutoa huduma kwa wananchi wakati wa dharura, gari hilo linalomilikiwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili.
IMG-20240912-WA0026.jpg
IMG-20240912-WA0021.jpg
 
Huyu kabakia kufungua vituo vya afya na shule ndani ya nchi hana mgongo zaidi ya hapo.
Kwa mujibu wa katiba ya tz, makamu wa rais si chochote wala lolote, msimlaumu, hzo ndo kazi zake tena hapa kala shavu. ilitakiwa rais ndo akazindue maana hilo ni jambo kubwa sana kwa makamu wa rais kufanya.
 
Kila kitu wanakipa majina yao utafikiri mali zao binafsi,ebu waache huo ubinafsi kwani kikiitwa kituo cha upandikizaji mimba cha Hospitali ya Taifa Muhimbili shida ipo wapi? au wanafikiri kumbukumbu zitapotea kwamba kilijengwa au kilianza kufanya kazi wakati fulani akiwa ndiye kiongozi!
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo Septemba 12, 2024 amezindua kituo cha upandikizaji mimba (IVF) cha Dkt. Samia Suluhu Hassan kilichopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar Es Salaam.

Sambamba na hili , Dkt. Philip Isdor Mpango leo Septemba 12, 2024 amezindua gari la huduma tembezi za Afya (Mobile Medical Services) litakalo wezesha kutoa huduma kwa wananchi wakati wa dharura, gari hilo linalomilikiwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili.

View attachment 3094067View attachment 3094068
Hatutoki kwenye reli, wote mliowateka muwaachie huru. Kama mmewaua wekeni taarifa zao hewani ndugu wafanye matanga.
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo Septemba 12, 2024 amezindua kituo cha upandikizaji mimba (IVF) cha Dkt. Samia Suluhu Hassan kilichopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar Es Salaam.

Sambamba na hili , Dkt. Philip Isdor Mpango leo Septemba 12, 2024 amezindua gari la huduma tembezi za Afya (Mobile Medical Services) litakalo wezesha kutoa huduma kwa wananchi wakati wa dharura, gari hilo linalomilikiwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili.

View attachment 3094067View attachment 3094068
Majukumu haya ya mkasi ghafla nimemkumbuka Mohamed Gharib Bilal majukumu ya uzinduzi aliyafanya vyema
 
Back
Top Bottom