Ikifikia hivyo sawa.itafika mahali hata manii watatengeneza tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikifikia hivyo sawa.itafika mahali hata manii watatengeneza tu
Watakuwa na baba , soma uelewe manii hazitengenezwi na machineWatoto wa bila baba watanaanza kupatikana
Kiongozi ni milioni 8-11 by then but Sasa sijajua ni kiasi ganiAnayejua bei elekezi ya hiyo huduma please
Daaaa sisi Maskini inakuwajeKiongozi ni milioni 8-11 by then but Sasa sijajua ni kiasi gani
🤣🤣🤣Ukiwa Makamu inabidi kwenye koti la suti ushone na mfuko special wa kuwekea mikasi ya kukatia utepe.
Hujielewi wewe
HakikaKumbe ni mpango umeanza 2021 honger Serikali
😁🤣😂Kweli MkuuHuyu kabakia kufungua vituo vya afya na shule ndani ya nchi hana mgongo zaidi ya hapo.
Sana Yule Mzee Wa NuclearMajukumu haya ya mkasi ghafla nimemkumbuka Mohamed Gharib Bilal majukumu ya uzinduzi aliyafanya vyema
Ndio kazi zake hizo😁🤣😂Kweli Mkuu
Wa Tz ujuaji mwingi sanaNimesoma comment za watu humu, duh! Usilolijua ni usiku wa kiza
Mitano tenaGharama za upandikizaji wa mimba hapa nchini huenda zikianza kuwa na ahueni baada ya kuzinduliwa kwa kituo kingine cha upandikizaji wa mimba katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambacho kimegharimu zaidi ya billioni 1.2.
Kilichonichosha ni ile punyeto ambayo wanaume watapiga ili kutoa mbegu za kuunganisha na mayai ya wanawake!Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo Septemba 12, 2024 amezindua kituo cha upandikizaji mimba (IVF) cha Dkt. Samia Suluhu Hassan kilichopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar Es Salaam.
Sambamba na hili , Dkt. Philip Isdor Mpango leo Septemba 12, 2024 amezindua gari la huduma tembezi za Afya (Mobile Medical Services) litakalo wezesha kutoa huduma kwa wananchi wakati wa dharura, gari hilo linalomilikiwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili.
View attachment 3094067View attachment 3094068
Kwa wasiojua upandikizaji Mimba ni nini basi pitieni hapa
![]()
Zifahamu hatua sita zinazotumika kupandikiza mimba - BBC News Swahili
Mtoto wa kwanza kupatikana kwa njia ya upandikizaji mimba alizaliwa 1978.www.bbc.com
Majirani gani hao ?Inatakiwa apatikane Rais ambaye atafuta hayo majina yote na kuweka majina ya maeneo husika. Haiwezekani mtu mmoja akawa na majina kwenye miradi 100
Hata Majirani zetu hapo wanatucheka