Makamu wa Rais Dkt Mpango azindua kituo cha upandikizaji Mimba na Gari la huduma tembezi za Afya

Makamu wa Rais Dkt Mpango azindua kituo cha upandikizaji Mimba na Gari la huduma tembezi za Afya

Gharama za upandikizaji wa mimba hapa nchini huenda zikianza kuwa na ahueni baada ya kuzinduliwa kwa kituo kingine cha upandikizaji wa mimba katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambacho kimegharimu zaidi ya billioni 1.2.
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo Septemba 12, 2024 amezindua kituo cha upandikizaji mimba (IVF) cha Dkt. Samia Suluhu Hassan kilichopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar Es Salaam.

Sambamba na hili , Dkt. Philip Isdor Mpango leo Septemba 12, 2024 amezindua gari la huduma tembezi za Afya (Mobile Medical Services) litakalo wezesha kutoa huduma kwa wananchi wakati wa dharura, gari hilo linalomilikiwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili.

View attachment 3094067View attachment 3094068
Kwa wasiojua upandikizaji Mimba ni nini basi pitieni hapa

Kilichonichosha ni ile punyeto ambayo wanaume watapiga ili kutoa mbegu za kuunganisha na mayai ya wanawake!
 
infertility clinic imefunguliwa Leo hospital ya taifa muhimbili

Wote ambao hamuwezi kupata watoto karibuni Muhimbili kwa ushauri nakuona jinsi gani unapata msaada

Ukiona ujumbe huu please share na mwenzako Asanteni
 
Inatakiwa apatikane Rais ambaye atafuta hayo majina yote na kuweka majina ya maeneo husika. Haiwezekani mtu mmoja akawa na majina kwenye miradi 100

Hata Majirani zetu hapo wanatucheka
 
Back
Top Bottom