granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Baba atakuwepo, sema sometimes baba hatajulikana kama watatoa huduma ya kuuza mbegu.Watoto wa bila baba watanaanza kupatikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba atakuwepo, sema sometimes baba hatajulikana kama watatoa huduma ya kuuza mbegu.Watoto wa bila baba watanaanza kupatikana
ila wasio na baba watakuwa wengi, maana unamdonate mke wako wakat ipo njia ya asili kabisa unadonate na utamu juuSio wote watakuwa hawana baba wengine donor watakuwa waume zao
ndio kutokuwa na baba kwenyewe hukoBaba atakuwepo, sema sometimes baba hatajulikana kama watatoa huduma ya kuuza mbegu.
Kikubwa mtoto hata tunaolea hatuna uhakika kama ni wa kwetuila wasio na baba watakuwa wengi, maana unamdonate mke wako wakat ipo njia ya asili kabisa unadonate na utamu juu
ukiwa makamu wa rais wa tz.Ukiwa Makamu inabidi kwenye koti la suti ushone na mfuko special wa kuwekea mikasi ya kukatia utepe.
Mikasi si inaandaliwaukiwa makamu wa rais wa tz.
sawa, kitakuja kizazi kisichokuwa na hofu yoyoteKikubwa mtoto hata tunaolea hatuna uhakika kama ni wa kwetu
Kutokujulikana siyo kutokuwepo mkuu.ndio kutokuwa na baba kwenyewe huko
Hao watoto wanakuwa na baba na Mama sema wamepandikizwa kitaalamusawa, kitakuja kizazi kisichokuwa na hofu yoyote
Huyu jamaa anakula pesa ya nchi bure, Hana faida yoyote katika nchiMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo Septemba 12, 2024 amezindua kituo cha upandikizaji mimba (IVF) cha Dkt. Samia Suluhu Hassan kilichopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar Es Salaam.
Sambamba na hili , Dkt. Philip Isdor Mpango leo Septemba 12, 2024 amezindua gari la huduma tembezi za Afya (Mobile Medical Services) litakalo wezesha kutoa huduma kwa wananchi wakati wa dharura, gari hilo linalomilikiwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili.
View attachment 3094067View attachment 3094068
Kitazaliwa kizazi kisichokuwa na hofu wala kujali chochote 😂😂😂Watoto watakao tokana na mbegu za baba mmoja wakiwa wakubwa wakaoana sijui inakuaje hapo
Na kuogopa akiachiwa nchiHuyu kabakia kufungua vituo vya afya na shule ndani ya nchi hana mgongo zaidi ya hapo.
Kumbe unakuwa mama!maniii si utawazuia, kwani ukiwauliza umeshakuwa baba?
Hujielewi weweHii huduma itatumika vibaya na wadangaji hapa mjini.
HII HUDUMA HAIKUWA NA UHALALI WOWOTE KUWEPO HAPA NCHINI MANA NI USELESA NA MATOKEO YA KUZALIWA WATOTO WASIO KUWA NA UPANDE WA BABA.