Makamu wa Rais Dkt Mpango azindua kituo cha upandikizaji Mimba na Gari la huduma tembezi za Afya

Makamu wa Rais Dkt Mpango azindua kituo cha upandikizaji Mimba na Gari la huduma tembezi za Afya

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili iko mbioni kuanza kutoa huduma za upandikizaji mimba kwa mashine maalum (IVF - In vitro Fertilization)

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof Mohamed Janabi akiwa anazungumza na wanahabari Jijini Dodoma akielezea utekelezaji wa shughuli za Hospitali ya Taifa Muhimbili na mwelekeo wa mwaka 2023/24.

Prof Janabi amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imekamilisha ununuzi wa mashine za kusaidia upandikizaji mimba zilizogharimu Shilingi Bilioni 1.
 

Attachments

  • Screenshot_20240913-061259.png
    Screenshot_20240913-061259.png
    672.7 KB · Views: 2
Uislam Dini ya Hakhi hauruhusu hili

Njia pekee ya upatikanaji wa mimba ni kwa njia ya kukutanisha manii ya Mwanamume katika yai la mwanamke kwa njia ya kujamiiana ikihusisha dhakali ya Mume na Uke wa Mke

Ukafiri kabisa huu, Dr. Janabi anatujaribu kwa Mtihani huu
 
Kwa mujibu wa katiba ya tz, makamu wa rais si chochote wala lolote, msimlaumu, hzo ndo kazi zake tena hapa kala shavu. ilitakiwa rais ndo akazindue maana hilo ni jambo kubwa sana kwa makamu wa rais kufanya.
LINA UKUBWA GANI HILI JAMBO?
 
Uislam Dini ya Hakhi hauruhusu hili

Njia pekee ya upatikanaji wa mimba ni kwa njia ya kukutanisha manii ya Mwanamume katika yai la mwanamke kwa njia ya kujamiiana ikihusisha dhakali ya Mume na Uke wa Mke

Ukafiri kabisa huu, Dr. Janabi anatujaribu kwa Mtihani huu
Likikufika wala hutowaza dini -- mtoto kwanzaa kisha mwendelezo wa ibada -
 
Uislam Dini ya Hakhi hauruhusu hili

Njia pekee ya upatikanaji wa mimba ni kwa njia ya kukutanisha manii ya Mwanamume katika yai la mwanamke kwa njia ya kujamiiana ikihusisha dhakali ya Mume na Uke wa Mke

Ukafiri kabisa huu, Dr. Janabi anatujaribu kwa Mtihani huu
Acha unafiki Sheikh! Wale walimu wenzako wa madrasa wanao walawiti watoto wadogo, wameruhusiwa na dini gani?
 
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili iko mbioni kuanza kutoa huduma za upandikizaji mimba kwa mashine maalum (IVF - In vitro Fertilization)

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof Mohamed Janabi akiwa anazungumza na wanahabari Jijini Dodoma akielezea utekelezaji wa shughuli za Hospitali ya Taifa Muhimbili na mwelekeo wa mwaka 2023/24.

Prof Janabi amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imekamilisha ununuzi wa mashine za kusaidia upandikizaji mimba zilizogharimu Shilingi Bilioni 1.
Waanze kupandikiza meno kwanza mimba mbona rahisi tu kupandikiza?
 
Uislam Dini ya Hakhi hauruhusu hili

Njia pekee ya upatikanaji wa mimba ni kwa njia ya kukutanisha manii ya Mwanamume katika yai la mwanamke kwa njia ya kujamiiana ikihusisha dhakali ya Mume na Uke wa Mke

Ukafiri kabisa huu, Dr. Janabi anatujaribu kwa Mtihani huu
Uislamu ulikuwa zamani ,kwa sasa hakuna kabisa,kwanza ni uongozi kwa wanawake, halafu na wanang'ang'ania na kupambana na wanaoutaka pia, hapo tu inatosha tuendelee mbele
 
Kwani kuna tofauti gani katı ya surrogacy na IVF?

Surrogacy ndo IVF FYI.
IVF ni procedure ya kupandikiza mimba na Surrogacy ni mtu mwingine anabeba mimba kwa niaba ya kwa kupitia IVF. Mkeo anaweza fanyiwa IVF kwa kutumia mbegu zako hasa zikiwa hazina speed ya kufikia eneo la tukio kwa wakati.

•Surrogacy - A process in which a woman carries and delivers a child for a couple or individual. •Surrogate mothers are impregnated through the use of in vitro fertilization (IVF) •A legal contract is required for intended parents and their carrier before medical treatment begins.
 
IVF ni procedure ya kupandikiza mimba na Surrogacy ni mtu mwingine anabeba mimba kwa niaba ya kwa kupitia IVF. Mkeo anaweza fanyiwa IVF kwa kutumia mbegu zako hasa zikiwa hazina speed ya kufikia eneo la tukio kwa wakati.

•Surrogacy - A process in which a woman carries and delivers a child for a couple or individual. •Surrogate mothers are impregnated through the use of in vitro fertilization (IVF) •A legal contract is required for intended parents and their carrier before medical treatment begins.
Hivi Surrogacy haiwezi kutokea through sexual intercourse na surrogate mother?
Why afanyiwe IVF ?
 
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili iko mbioni kuanza kutoa huduma za upandikizaji mimba kwa mashine maalum (IVF - In vitro Fertilization)

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof Mohamed Janabi akiwa anazungumza na wanahabari Jijini Dodoma akielezea utekelezaji wa shughuli za Hospitali ya Taifa Muhimbili na mwelekeo wa mwaka 2023/24.

Prof Janabi amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan imekamilisha ununuzi wa mashine za kusaidia upandikizaji mimba zilizogharimu Shilingi Bilioni 1.
Nina mtu aliefanyiwa hii procedure mloganzila sasa mimba ina miezi 5 vipi au mloganzira ni tofauti? Zilimtoka kama 2mill+
 
Back
Top Bottom