johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Makamu wa Rais Dkt. Mpango amemtaka Katibu mkuu Kiongozi Balozi Hussein Katanga kuwaangalia kwa makini Makatibu Wakuu wa Wizara na Manaibu wao kwani kuna kutoelewana kwingi.
Dkt. Mpango amesema inakuwa nongwa pale Naibu Katibu Mkuu anapomhoji Katibu Mkuu kuhusu matumizi ya fedha.
Dkt. Mpango ameahidi kuwafuatilia kwa makini Makatibu Wakuu wote.
Kadhalika Dkt. Mpango amemtaka Dkt. Mwigulu Nchemba kuhakikisha ifikapo Desemba mwaka huu mapato ya TRA yanafikia sh trillion 2 kwa mwezi.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Dkt. Mpango amesema inakuwa nongwa pale Naibu Katibu Mkuu anapomhoji Katibu Mkuu kuhusu matumizi ya fedha.
Dkt. Mpango ameahidi kuwafuatilia kwa makini Makatibu Wakuu wote.
Kadhalika Dkt. Mpango amemtaka Dkt. Mwigulu Nchemba kuhakikisha ifikapo Desemba mwaka huu mapato ya TRA yanafikia sh trillion 2 kwa mwezi.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!