Makamu wa Rais, Dkt. Mpango mbona upo kimya sana?

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango mbona upo kimya sana?

Huyu jamaa hana utofauti na yule mzee mtaalam wa nyuklia
 
 
Nafasi ya makam wa rais inapaswa kuondolewa, hatuwezi na kiongozi anaye kaa kimya kipindi cha mabalaa
 
Namba 1 anafanya kazi gani?
Kuna kipindi alikuwa anatoa matamko mkamsema acheni akae kimya
 
Majukumu yake ndo haya mnataka afanye lipi la nyongeza...?
Screenshot_20220508-154916.png
 
Huyu ndie aliyekuwa waziri wa fedha. Anajua kila kitu. Mipango yote.

Alikuwa na JPM. Infact alifanya kazi nzuri sana wakati akiwa waziri wa Fedha. Hatetei, hapingi chochote. Yupo kulinda kibarua chake.

Amekuwa makamu Rais amekua Bubu.
Wanajikusanya kimya kimya kupanga mambo Yao gizani bt Mungu wa mbingu na Nchi anaipenda sana TANZANIA atatuvusha na wanaowaza Maslahi binafsi.
 
Back
Top Bottom