Makamu wa Rais Dkt. Mpango ziara yako Manyara imeleta hasara na Usumbufu mkubwa kwa wananchi

Makamu wa Rais Dkt. Mpango ziara yako Manyara imeleta hasara na Usumbufu mkubwa kwa wananchi

Kwani ninachosema ni siri. Ebu nitumia msafara wa Joe Biden ukiwa barabarani ukipishana na magari ya wananchi. Usiponitumia utakuwa huna tofauti na Mungu wa Zumaridi wa huko kwenu Mwanza.
Niweke msafara wa Biden akienda kuhamsisha ujenzi wa madarasa ama? Yaani unaonekana bonge la juha, ama unadhani hata hizo barabara zao ni kama hizi zenye mashimo? Hebu kaa kwa kutulia maana huna ujualo.
 
Hivi hua mnalipwa bei gani..mana sio kwa povu hili hata kuandika hujui..kweli kazi ya toilet pepa ni moja tu.

#MaendeleoHayanaChama
Hayalipwi chochote ni mapumbavu na mazandiki tu, hata yakieleweshwa hayaelewi yaacheni hivo hivo
 
Mleta mada toa utako hapa hujui sokoine alikufa kwa kugongwa na Gari?
 
Niweke msafara wa Biden akienda kuhamsisha ujenzi wa madarasa ama? Yaani unaonekana bonge la juha, ama unadhani hata hizo barabara zao ni kama hizi zenye mashimo? Hebu kaa kwa kutulia maana huna ujualo.
Bahati nzuri vijana wengi wa Chadema huwa mnafikiri mnajua sana kumbe ni wajinga na wapumbavu kupindukia.
 
Tunajua sana. Ushahidi ni ushindi wa kishindo tunaoupata kila uchaguzi tangu 1995!

Uchaguzi wa kishindo wa ccm uliishia 2005, toka wakati huo ccm imezidi kuchoka, na sasa inategemea vyombo vya dola tu kubaki madarakani kwa shuruti. Hiki sio kizazi cha ccm boss, zama za ccm zimeshapita ndio maana inategemea dola tu kubaki madarakani.
 
Uchaguzi wa kishindo wa ccm uliishia 2005, toka wakati huo ccm imezidi kuchoka, na sasa inategemea vyombo vya dola tu kubaki madarakani kwa shuruti. Hiki sio kizazi cha ccm boss, zama za ccm zimeshapita ndio maana inategemea dola tu kubaki madarakani.
Na tangu 2005 mmeshindwa kuvishawishi hivyo vyombo ili viwaunge mkono nanyi muingie madarakani! Halafu mnajiita chama cha siasa kinachotarajia kushika dola? Pumbavu!!
 
Na tangu 2005 mmeshindwa kuvishawishi hivyo vyombo ili viwaunge mkono nanyi muingie madarakani! Halafu mnajiita chama cha siasa kinachotarajia kushika dola? Pumbavu!!

Hatuhitaji mbeleko ya vyombo vya dola maana tunakubalika na kizazi cha sasa. Wazee ndio hutegemea mbeleko ya vyombo vya dola.
 
Hatuhitaji mbeleko ya vyombo vya dola maana tunakubalika na kizazi cha sasa. Wazee ndio hutegemea mbeleko ya vyombo vya dola.
Ahahahahahah! Nimecheka mpaka DJ wa hapa bar amezima muziki ili kuuliza kulikoni! Ahahahahaha!
 
Huu ushenzi upo toka zama na zama. Tawala zote zimekua na huu ushenzi. Sijui huko Ulaya yakienda hayajifunzi kwa wenzetu wanavyofanya kwenye ishu za misafara ya viongozi bila kuathiri shughuli za uchumi.
'Mavi'ongozi ya nchii hii ni mashenzi majitu ya kuzimu yanawaza kufuja mali za umma.
 
Back
Top Bottom