Makamu wa Rais hakutumia busara kujitangaza kuwa yeye ni shabiki wa Yanga

Makamu wa Rais hakutumia busara kujitangaza kuwa yeye ni shabiki wa Yanga

Sina taarifa za Marais wa nyuma kuwa walikuwa wanashabikia timu ipi, ila najua Nyerere alikuwa Yanga, Kikwete alikuwa Yanga, Magufuli na Samia ni Simba.

Ila usingewasikia wakitamka kuwa upande wowote, Kikwete baada ya kustaafu ndio alijitokeza hadharani kwenye mkutano Diamond Jubilee na kuwaambia Yanga wamepoa sana, wabaridiiii wachangamke, ndio kisa cha GSM kupewa ruksa na Kikwete kuwekeza zaidi Yanga.

Magufuli japo hakuwa mnafiki ila alidiriki kushona jezi nusu Simba nusu Yanga alijua sababu.

Samia jana kasema yuko katikati, hiyo ndio siasa. Nadhani Philip Mpango hajui yeye ni nani, lolote baya likimpata Rais Samia Philip Mpango ndio Rais, siombei na haitotokea kamwe.

Nadhani ni kwa sababu aneingia kwenye Siasa uzeeni. Amechemsha, aambiwe ukweli.

Mwenzake Majaliwa alichenga Simba Day pamoja na kupewa mwaliko hakuwa mjinga. 2025 sio mbali tutaona wanasiasa kesho atasema yeye Simba, keshokutwa atasema yeye Yanga au hana timu

Yaani Tz kwenye mambo ya kipuuuuzi ndio mnajifanya exceptional saana, mbona duniani kote viongozi wengi wanajulikana ni wapenzi wa timu gani, na hakuna shida,? Yaani hapa tu kwa mijinga ndio ionekane ni shida!! Na ujinga kwenye timu hizi ndipo ccm wanapatia point za kuongoza bila shida, kwani mijini masaa 24,ni kujadiri mambo ya mipira tu,
 
Unampangiaa mtu hisia zake.
His
Yaani Tz kwenye mambo ya kipuuuuzi ndio mnajifanya exceptional saana, mbona duniani kote viongozi wengi wanajulikana ni wapenzi wa timu gani, na hakuna shida,? Yaani hapa tu kwa mijinga ndio ionekane ni shida!! Na ujinga kwenye timu hizi ndipo ccm wanapatia point za kuongoza bila shida, kwani mijini masaa 24,ni kujadiri mambo ya mipira tu,
Ungekuwa na D mbili ungeelewa theme ya huu uzi
 
..nahisi Dr.Mpango amevamia tu masuala ya mpira wa miguu.

..angekuwa na timu angeshajulikana kusingekuwa na haja ya yeye kujitambulisha.

..hakuna ubaya kwa mwanasiasa au kiongozi kuwa mshabiki wa Simba, au Yanga. Ni suala binafsi.

..mgogoro unaanza pale kiongozi wa serikali, au chama, anapojaribu kufungamanisha ushabiki wa Yanga, au Simba, na masuala ya kampeni za uchaguzi.
 
..nahisi Dr.Mpango amevamia tu masuala ya mpira wa miguu.

..angekuwa na timu angeshajulikana kusingekuwa na haja ya yeye kujitambulisha.

..hakuna ubaya kwa mwanasiasa au kiongozi kuwa mshabiki wa Simba, au Yanga. Ni suala binafsi.

..mgogoro unaanza pale kiongozi wa serikali, au chama, anapojaribu kufungamanisha ushabiki wa Yanga, au Simba, na masuala ya kampeni za uchaguzi.
Noted
 
Kama ni mfuatiliaji wa bunge, bila shaka ulishamsikia MAJALIWA akiisifu Simba, na Makamu enzi akiwa waziri wa fedha alikuwa akiisifu Yanga.
 
Kwanza siasa na mpira haviingiliani labda kiongozi aamue kuhodhi madaraka.
Magu-Simba
Chalamila-simba
Mwana FA-Simba
Tulia Atson-Simba
Zungu-Simba
Kassim M-Simba
Zitto-Simba

Kikwete-Yanga
Tarimba-Yanga
Mwigulu-Yanga
Ridhiwani-Yanga
Karume-Yanga
A.H Mwinyi-Yanga

#Ukichukulia kila kitu serious Watakulamba tu
 
Sina taarifa za Marais wa nyuma kuwa walikuwa wanashabikia timu ipi, ila najua Nyerere alikuwa Yanga, Kikwete alikuwa Yanga, Magufuli na Samia ni Simba.

Ila usingewasikia wakitamka kuwa upande wowote, Kikwete baada ya kustaafu ndio alijitokeza hadharani kwenye mkutano Diamond Jubilee na kuwaambia Yanga wamepoa sana, wabaridiiii wachangamke, ndio kisa cha GSM kupewa ruksa na Kikwete kuwekeza zaidi Yanga.

Magufuli japo hakuwa mnafiki ila alidiriki kushona jezi nusu Simba nusu Yanga alijua sababu.

Samia jana kasema yuko katikati, hiyo ndio siasa. Nadhani Philip Mpango hajui yeye ni nani, lolote baya likimpata Rais Samia Philip Mpango ndio Rais, siombei na haitotokea kamwe.

Nadhani ni kwa sababu aneingia kwenye Siasa uzeeni. Amechemsha, aambiwe ukweli.

Mwenzake Majaliwa alichenga Simba Day pamoja na kupewa mwaliko hakuwa mjinga. 2025 sio mbali tutaona wanasiasa kesho atasema yeye Simba, keshokutwa atasema yeye Yanga au hana timu

Watanzania tunapenda unafiki.
 
..nahisi Dr.Mpango amevamia tu masuala ya mpira wa miguu.

..angekuwa na timu angeshajulikana kusingekuwa na haja ya yeye kujitambulisha.

..hakuna ubaya kwa mwanasiasa au kiongozi kuwa mshabiki wa Simba, au Yanga. Ni suala binafsi.

..mgogoro unaanza pale kiongozi wa serikali, au chama, anapojaribu kufungamanisha ushabiki wa Yanga, au Simba, na masuala ya kampeni za uchaguzi.
Aliyesema mkuki wenye sumu Kali wa Bernard Morison bungeni no bani?
 
😄 🤣 yaani team za mpira ligawe taifa
Sir Keir ni Arsenal damu na hawafichi
Mpira ni burudisho tu kama vingine na haina uhasama
 
Back
Top Bottom