Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Long live relationship between Tanzania and USA............

USA is our best friend, we hope her visit will strengthen our friendship.
 
Tanzania itapata ugeni mkubwa kutoka kwa Makamu wa Rais wa Marekani Bi. Kamala Hariss anayetarajiwa kuanza ziara yake kuanzia tarehe 25 Machi 2023

Ziara hii ni matunda ya kuimarishwa kwa diplomasia maana Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani lengo lake kuu ilikua ni kuimarisha uhusiano katika mataifa mbalimbali ili watanzania tuendelee kunufaika na uwekezaji

Tukumbuke mwezi April 2022 Rais Samia Suluhu Hassan walikutana kwa mazugumzo katika Ikulu ya marekani White House Washington DC.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…