Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Siku ya kufa nyani miti yote huteleza... Marekani inatapatapa kila mahali kutafuta ushawishi unaoporomoka mithili ya barafu juani
 
Unashindwa kuelewa wanapapatikia Russia Huwa wanapata nini hasa?

Mara mia upaparikie China kama Unaona USA kwao.ni shida maana China wanatoa vyote..

Ila Mimi ni mfuata wa Marekani na ningekuwa Kiongozi ningehakikisha Tanzania inakuwa oversea Florida Province ya USA.. [emoji38][emoji38]
Huku kupenda vya Bure ndio maana mnafumuliwa marinda[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini Jiwe hakukaza kama Museveni,Ruto au Mugabe?
Jiwe alikaza kuliko Museveni, Ruto na Mugabe combined!

Nani duniani, amewahi kumwambia mzungu usoni "unafanya mambo ambayo mbuzi hafanyi" ??

Mchina, Mrusi na Mwarabu hawajawahi kumtamkia Mzungu karipio kama hilo, pamoja na manguvu ya petroli, nuclear, na mapesa. Mkulima wa dunia ya tatu ndie aliyekuwa na guts and brilliance ya kujaribu.

Harris asingethubutu kufikiria kuleta kiguu na agenda during the convicted sovereignty that defined Pombe Magufuli's regime.
 
Jiwe alikaza kuliko Museveni, Ruto na Mugabe combined!

Nani duniani, amewahi kumwambia mzungu usoni "unafanya mambo ambayo mbuzi hafanyi" ??

Mchina, Mrusi na Mwarabu hawajawahi kumtamkia Mzungu karipio kama hilo, pamoja na manguvu ya petroli, nuclear, na mapesa. Mkulima wa dunia ya tatu ndie aliyekuwa na guts and brilliance ya kujaribu.

Harris asingethubutu kufikiria kuleta kiguu na agenda during the convicted sovereignty that defined Pombe Magufuli's regime.
Mbona hatukuona vitendo zaidi ya porojo 😂😂
 
Wajinga kama wewe hakuna mnachojua..

Tuliambulia yafuatayo.

Miradi lukuki chini ya MCCL Barabara za Tunduma Sumbawanga,Songea Masasi,umeme Kigoma nk,

-Mradi wa kigamboni satellite city kabla ya Mwendazake kuvuruga,
-Tanzania kuwa centre ya project ya feed the future yaani saizi tungeshakuwa na kilimo advanced kama American Jiwe alivuruga,
-Tanzania ilikuwa focal ya program ya power Africa,ungeshakuwa na umeme wa kutosha zamani sana ila Jiwe alivuruga,
-Mwisho Tanzania ingekuwa mfano wa Maendelea wa sera ya Nje ya Marekani kama ilovyokuwa South Korea ila yule Mwehu wenu alivuruga na hakuna Cha maana alifanya..
Wewe unajua tatizo la wabongo wanafikiri nchi South korea walijitenga na america angalia ilivyo sasa ukilinganisha na kwa kiduku watu masikini hawana uhuru kumiliki gari anaruhusiwa mjeshi na mtumishi mkubwa serikalini wengine mwendo wa baiskeli na public transport visa kutoka mwiko rais anateneza makombora tu raia Bora ya sisi wabongo
 
Unashindwa kuelewa wanapapatikia Russia Huwa wanapata nini hasa?

Mara mia upaparikie China kama Unaona USA kwao.ni shida maana China wanatoa vyote..

Ila Mimi ni mfuata wa Marekani na ningekuwa Kiongozi ningehakikisha Tanzania inakuwa oversea Florida Province ya USA.. [emoji38][emoji38]
Kama tunashindwa kujitawala tuingie mkataba watutawale kwa miaka 10 tuone tatizo ni nini haswaa.
 
Jiwe alikaza kuliko Museveni, Ruto na Mugabe combined!

Nani duniani, amewahi kumwambia mzungu usoni "unafanya mambo ambayo mbuzi hafanyi" ??

Mchina, Mrusi na Mwarabu hawajawahi kumtamkia Mzungu karipio kama hilo, pamoja na manguvu ya petroli, nuclear, na mapesa. Mkulima wa dunia ya tatu ndie aliyekuwa na guts and brilliance ya kujaribu.

Harris asingethubutu kufikiria kuleta kiguu na agenda during the convicted sovereignty that defined Pombe Magufuli's regime.
Sasa Harris yeye ana shida gani? Mtu anaishi nchi ya maziwa na asali na tena ni Number 2 wa nchi yenye uchumi mkubwa duniani.

Si ajabu umeomba DV Lottery 2024 unasubiria mchongo hahahah!
 
..Je, atapata nafasi ya kuonana na viongozi wa vyama vya UPINZANI?
Upinzani uko wapi Tanzania, mbowe asharudi kwao alikotoka kitamboo sasa ni asante mama tu kwisha habari yenu, lissu kajichimbia belgium ataweza wap tena maisha ya Tz
 
Back
Top Bottom