Wew ni gasho africa itachelewa sanaBado Xi JinPing nae atakuja mwaka huu huu au ujao maana alialikwa..
Jiwe alikuwa anatembelewa na Rais wa Malawi,Zambia ,Burundi nk [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Siku alipopigiwa simu na Xi alichanganyikiwa Hadi akatapanya mafaili Ofisini [emoji1787][emoji1787]