ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hata Sasa unapakatwa mbona?Dili zao mtakazoletwa za kupakatana wanaume msilalamike
Jiwe alichanganyikiwa baada ya kupigwa simu na Xi 🤣😂
Xi alimualika Mama nae atakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Sasa unapakatwa mbona?Dili zao mtakazoletwa za kupakatana wanaume msilalamike
Xi haendekezi ugasho kama hao ndugu zakoHata Sasa unapakatwa mbona?
Jiwe alichanganyikiwa baada ya kupigwa simu na Xi [emoji1787][emoji23]
Xi alimualika Mama nae atakuja
Kwa hiyo hoja wewe unatakaje?Xi haendekezi ugasho kama hao ndugu zako
Jiwe aliletewa ngapi we mnyambi?Dili zao mtakazoletwa za kupakatana wanaume msilalamike
🤣😂🤣😂😂😂🤣😂Na Yule ShujaaMfalme wa Morocco aliombwa msaada kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa michezo Dodoma na yule naniliu.
Alikuletea wewe gonoJiwe aliletewa ngapi we mnyambi?
Bibi anavyopenda misaada na mikopo, subirini kukubali mambo ya LGBTQ!Diplomasia ya Mama imeanza kufanya kazi..
Tutegemee mambo mazuri ikiwemo USA kutangaza dili za kibiashara na Tanzania hasa Kuruhusu bidhaa zetu kwao..
Pili ishu ya Agoa na kuirudisha Tanzania kwenye mradi wa MCCL
3 kufufua Sysmbion mradi aliokaja khizindua Obama ila ukazikwa na JohnDiplomasia ya Mama imeanza kufanya kazi..
Tutegemee mambo mazuri ikiwemo USA kutangaza dili za kibiashara na Tanzania hasa Kuruhusu bidhaa zetu kwao..
Pili ishu ya Agoa na kuirudisha Tanzania kwenye mradi wa MCCL
Kabla ya kifo chake alitembelewa na waziri wa mambo ya nje wa china kule ChatoBado Xi JinPing nae atakuja mwaka huu huu au ujao maana alialikwa..
Jiwe alikuwa anatembelewa na Rais wa Malawi,Zambia ,Burundi nk 🤪🤪🤪
Siku alipopigiwa simu na Xi alichanganyikiwa Hadi akatapanya mafaili Ofisini 🤣🤣
Wanataka kuja kutusumbua tuUtaona jiji linavyopigwa deki mpaka na makalio na ulimi watanzania tungekuwa tunajituma kama tunavyojituma kufanya usafi kunapokuwa na ugeni mzito tungekuwa mbali sana
Kwani Tanzania imefaidika lini na AGOA?Diplomasia ya Mama imeanza kufanya kazi..
Tutegemee mambo mazuri ikiwemo USA kutangaza dili za kibiashara na Tanzania hasa Kuruhusu bidhaa zetu kwao..
Pili ishu ya Agoa na kuirudisha Tanzania kwenye mradi wa MCCL
25 Machi 2025 ????????????????????????Tanzania itapata ugeni mkubwa kutoka kwa Makamu wa Rais wa Marekani Bi. Kamala Hariss anayetarajiwa kuanza ziara yake kuanzia tarehe 25 Machi 2025.
Bi kamala na Rais Samia wamekuwa na mazungumzo ya mara kwa mara kiasi ambacho wamejenga urafiki mkubwa baina yao.
View attachment 2546492