Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

MAIN AGENDAS ZITAKUWA
[emoji117]Kutambua haki na faragha za mashoga, wasagaji japo kisiri
[emoji117]kumpa nguvu mwanamke na kutimiza ile ajenda ya 50/50%
[emoji117]kudumisha demokrasia nchini
[emoji117]kujadiri Matokeo ya tabia nchi&utunzaji wa mazingira
[emoji117]Muenendo wa kupambana na majanga ya asili&milipuko ya magonjwa e.g corona&HIV/AIDS.
[emoji117]kujadiri misaada na mikopo ktk nyanja mbalimbali.

Kama kweli huyo Mmarekani atatia uwepo wake hapa nchi basi hoja3 kati ya hizo ktk orodha lazima ziwepo hasa hoja fulani.....

Hawa jamaa siku hizi wamepoteza ushawishi dunian wanatumia nguvu kubwa sana kuonesha uwepo wao na nguvu zao.

Mkumbuke wakat wa jakaya alifika nchini Rais mwenyewe wa USA na hakuna la maana mlilopata zaid ya kuambulia mikataba ya hovyo na misaada ya kishenzi.

Achen mawazo ya utegemezi jengeni nchi yenu wenyewe.
 
MAIN AGENDAS ZITAKUWA
[emoji117]Kutambua haki na faragha za mashoga, wasagaji japo kisiri
[emoji117]kumpa nguvu mwanamke na kutimiza ile ajenda ya 50/50%
[emoji117]kudumisha demokrasia nchini
[emoji117]kujadiri Matokeo ya tabia nchi&utunzaji wa mazingira
[emoji117]Muenendo wa kupambana na majanga ya asili&milipuko ya magonjwa e.g corona&HIV/AIDS.
[emoji117]kujadiri misaada na mikopo ktk nyanja mbalimbali.

Kama kweli huyo Mmarekani atatia uwepo wake hapa nchi basi hoja3 kati ya hizo ktk orodha lazima ziwepo hasa hoja fulani.....

Hawa jamaa siku hizi wamepoteza ushawishi dunian wanatumia nguvu kubwa sana kuonesha uwepo wao na nguvu zao.

Mkumbuke wakat wa jakaya alifika nchini Rais mwenyewe wa USA na hakuna la maana mlilopata zaid ya kuambulia mikataba ya hovyo na misaada ya kishenzi.

Achen mawazo ya utegemezi jengeni nchi yenu wenyewe.
Hata Sasa tunamtaka Biden na inaelezwa kwamba baadae mwaka atafanya ziara Afrika..

Mwisho kwani wewe ulitaka wajadili nini?
 
Bado Xi JinPing nae atakuja mwaka huu huu au ujao maana alialikwa..

Jiwe alikuwa anatembelewa na Rais wa Malawi,Zambia ,Burundi nk [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Siku alipopigiwa simu na Xi alichanganyikiwa Hadi akatapanya mafaili Ofisini [emoji1787][emoji1787]
Mlitembelewa na obama, Xin jin wa china mliambulia nn zaid ya ushenz wa kuiba resources za waTanzania? Achen mindset za kitumwa kutegemea kupewapewa ndiomaana mnaishia kukubali na ushoga kisa kupewapewa
 
Mlitembelewa na obama, Xin jin wa china mliambulia nn zaid ya ushenz wa kuiba resources za waTanzania? Achen mindset za kitumwa kutegemea kupewapewa ndiomaana mnaishia kukubali na ushoga kisa kupewapewa
Wajinga kama wewe hakuna mnachojua..

Tuliambulia yafuatayo.

Miradi lukuki chini ya MCCL Barabara za Tunduma Sumbawanga,Songea Masasi,umeme Kigoma nk,

-Mradi wa kigamboni satellite city kabla ya Mwendazake kuvuruga,
-Tanzania kuwa centre ya project ya feed the future yaani saizi tungeshakuwa na kilimo advanced kama American Jiwe alivuruga,
-Tanzania ilikuwa focal ya program ya power Africa,ungeshakuwa na umeme wa kutosha zamani sana ila Jiwe alivuruga,
-Mwisho Tanzania ingekuwa mfano wa Maendelea wa sera ya Nje ya Marekani kama ilovyokuwa South Korea ila yule Mwehu wenu alivuruga na hakuna Cha maana alifanya..
 
Hata Sasa tunamtaka Biden na inaelezwa kwamba baadae mwaka atafanya ziara Afrika..

Mwisho kwani wewe ulitaka wajadili nini?
Wajadir mambo ya msingi kama vile kurekebisha mikataba ya kinyonyaji ya rasilimali za nchi, mfano madini ya Uranium ni mali ya nchi lkn wao wanaweka vikwazo juu ya utumiaj wa madin haya kwann?

Haya basi ijadiliwe mada ya wao kurudisha mali walizoiba kupitia mikataba yao ya kishenzi.

Kujadiliwa juu ya wao kuacha Control ktk misimamo ya kinchi mfano uhuru wa Tz kufanya biashara na nchi yoyote hata zile zisizo na mlengo wa USA mfano Russia, north korea, Iran, China

Pia Kujadiliwa mambo ya msingi na sio hizo mada nyepesi ambazo hazina faida kea taifa zaid ya sifa za wanasiasa na wapumbavu mliozoea kuichezea nchi, wew unafaidika vipi na kujadili mienendo ya demokrasia? Ama unafaidi nini kukijadiliwa mahusiano mazuri ya nchi?
 
Wajinga kama wewe hakuna mnachojua..

Tuliambulia yafuatayo.

Miradi lukuki chini ya MCCL Barabara za Tunduma Sumbawanga,Songea Masasi,umeme Kigoma nk,

-Mradi wa kigamboni kabla ya Mwendazake kuvuruga,
-Tanzania kuwa centre ya project ya feed the future yaani saizi tungeshakuwa na kilimo advanced kama American Jiwe alivuruga,
-Tanzania ilikuwa focal ya program ya power Africa,ungeshakuwa na umeme wa kutosha zamani sana ila Jiwe alivuruga,
-Mwisho Tanzania ingekuwa mfano wa Maendelea wa sera ya Nje ya Marekani kama ilovyokuwa South Korea ila yule Mwehu wenu alivuruga na hakuna Cha maana alifanya..
Ona sasa kwa akili hizi mnazodanganywa kwaiyo hiyo miradi imeishia wapi.

Mkubali kuwa mlipigwa na hakuna namna mtajikomboa zaid ya kuachana na fikra za kitumwa
 
Wajadir mambo ya msingi kama vile kurekebisha mikataba ya kinyonyaji ya rasilimali za nchi, mfano madini ya Uranium ni mali ya nchi lkn wao wanaweka vikwazo juu ya utumiaj wa madin haya kwann?

Haya basi ijadiliwe mada ya wao kurudisha mali walizoiba kupitia mikataba yao ya kishenzi.

Kujadiliwa juu ya wao kuacha Control ktk misimamo ya kinchi mfano uhuru wa Tz kufanya biashara na nchi yoyote hata zile zisizo na mlengo wa USA mfano Russia, north korea, Iran, China

Pia Kujadiliwa mambo ya msingi na sio hizo mada nyepesi ambazo hazina faida kea taifa zaid ya sifa za wanasiasa na wapumbavu mliozoea kuichezea nchi, wew unafaidika vipi na kujadili mienendo ya demokrasia? Ama unafaidi nini kukijadiliwa mahusiano mazuri ya nchi?
Unaongea upuuzi ambao hauna msingi.
Wajadir mambo ya msingi kama vile kurekebisha mikataba ya kinyonyaji ya rasilimali za nchi, mfano madini ya Uranium ni mali ya nchi lkn wao wanaweka vikwazo juu ya utumiaj wa madin haya kwann?

Haya basi ijadiliwe mada ya wao kurudisha mali walizoiba kupitia mikataba yao ya kishenzi.

Kujadiliwa juu ya wao kuacha Control ktk misimamo ya kinchi mfano uhuru wa Tz kufanya biashara na nchi yoyote hata zile zisizo na mlengo wa USA mfano Russia, north korea, Iran, China

Pia Kujadiliwa mambo ya msingi na sio hizo mada nyepesi ambazo hazina faida kea taifa zaid ya sifa za wanasiasa na wapumbavu mliozoea kuichezea nchi, wew unafaidika vipi na kujadili mienendo ya demokrasia? Ama unafaidi nini kukijadiliwa mahusiano mazuri ya nchi?
Unaongea ujinga tuu.

Eti mikataba ya kinyonyaji ,unaijua hata mkataba mmja wewe?

Bahati nzuri tuna Rais mwenye maono na point zake kuu ni biashara na Uchumi..

Kwani Uganda mbona hajazuiwa?

 
Ona sasa kwa akili hizi mnazodanganywa kwaiyo hiyo miradi imeishia wapi.

Mkubali kuwa mlipigwa na hakuna namna mtajikomboa zaid ya kuachana na fikra za kitumwa
Tulipogwa na nani na kiaje?

Unauliza iliishia wapi kwani hujui kwamba taahira wenu alivuruga?

Unaweza weka pesa chini ya taahira? Kabla ya Mugabe kuvurunda Zimbabwe ilikuwa inafanana na Tanzania?
 
Wameona Tanzania tunaipa kisogo Ukraine sasa wanatafuta namna ya kuzitongoza nchi ambazo zinafungamana na Russia
 
Mradi asituletee ushoga au kutuletea ile miradi isiyokua na tija ila kutoa mikopo ya kuliwa na vigogo. Binafsi sina imani na wamarekani.
Ndo anakuja kukamilisha utaratibu wa mapenzi ya jinsia 1 kuwa halali hapa Bongo.

Watu weuweeeeeeeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bado Xi JinPing nae atakuja mwaka huu huu au ujao maana alialikwa..

Jiwe alikuwa anatembelewa na Rais wa Malawi,Zambia ,Burundi nk [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Siku alipopigiwa simu na Xi alichanganyikiwa Hadi akatapanya mafaili Ofisini [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utaona jiji linavyopigwa deki mpaka na makalio na ulimi watanzania tungekuwa tunajituma kama tunavyojituma kufanya usafi kunapokuwa na ugeni mzito tungekuwa mbali sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaaah
 
MAIN AGENDAS ZITAKUWA
[emoji117]Kutambua haki na faragha za mashoga, wasagaji japo kisiri
[emoji117]kumpa nguvu mwanamke na kutimiza ile ajenda ya 50/50%
[emoji117]kudumisha demokrasia nchini
[emoji117]kujadiri Matokeo ya tabia nchi&utunzaji wa mazingira
[emoji117]Muenendo wa kupambana na majanga ya asili&milipuko ya magonjwa e.g corona&HIV/AIDS.
[emoji117]kujadiri misaada na mikopo ktk nyanja mbalimbali.

Kama kweli huyo Mmarekani atatia uwepo wake hapa nchi basi hoja3 kati ya hizo ktk orodha lazima ziwepo hasa hoja fulani.....

Hawa jamaa siku hizi wamepoteza ushawishi dunian wanatumia nguvu kubwa sana kuonesha uwepo wao na nguvu zao.

Mkumbuke wakat wa jakaya alifika nchini Rais mwenyewe wa USA na hakuna la maana mlilopata zaid ya kuambulia mikataba ya hovyo na misaada ya kishenzi.

Achen mawazo ya utegemezi jengeni nchi yenu wenyewe.
Mapenzi ya jinsia 1 ni agenda kuu.
Haipingwiiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mlitembelewa na obama, Xin jin wa china mliambulia nn zaid ya ushenz wa kuiba resources za waTanzania? Achen mindset za kitumwa kutegemea kupewapewa ndiomaana mnaishia kukubali na ushoga kisa kupewapewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Agenda 1wapo ni utambuzi na uhalali wa mapenzi ya jinsia 1.
[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380] hallal

Karibu sanaa kamala.
 
Back
Top Bottom