Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Agenda 1wapo ni utambuzi na uhalali wa mapenzi ya jinsia 1.
[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380] hallal

Karibu sanaa kamala.

Kwa hiyo unafurahia kushikishwa ukuta?!
 
Kwamba watafanyaje? Hadi Sasa mbona msimamo wa Tzn ni haitambui rasmi lakini haiwakatazi,ndio maana yule poti alifutwa kazi.

Makonda.alijaribu enzi za Jiwe lakini serikali ikaishia kumluka eti ni msimamo wake binafsi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na akaufyata yeye na Serikali.

Kwa nini Jiwe hakukaza kama Museveni,Ruto au Mugabe? Lisu keshasema masuala ya watu binafsi chumbani haifai kuwa jambo la serikali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulitakaa kumaanishaje??
 
Jiwe alikaza kuliko Museveni, Ruto na Mugabe combined!

Nani duniani, amewahi kumwambia mzungu usoni "unafanya mambo ambayo mbuzi hafanyi" ??

Mchina, Mrusi na Mwarabu hawajawahi kumtamkia Mzungu karipio kama hilo, pamoja na manguvu ya petroli, nuclear, na mapesa. Mkulima wa dunia ya tatu ndie aliyekuwa na guts and brilliance ya kujaribu.

Harris asingethubutu kufikiria kuleta kiguu na agenda during the convicted sovereignty that defined Pombe Magufuli's regime.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi serikali ilimruka makonda wakati Magufuli akiwa nan na wapiii???

Unatia aibuuu mnoooo lol
 
Acha tuu lakini tusiingilie uhuru wake ila huyo mtu anapenda sana hizi habari yaani huwa zinampa goosebumps kabisa ajabu sana.
Poleeeee sanaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa taarifa yako Urusi hajawahi kutoa fedha kufadhili chochote yeye anchojua ni kutoa silaha na Wegnar anachotaka ni uasi uasi tuu, washirika wa maendeleo wa kweli Africa ni Marekani,European Union, Japan, South Korea,Scandinavian countries and the likes.
Maendeleo au mikopo yenye riba na masharti
 
Mimi nilisema na nitaendelea kusema
2025 Dr. SSH Awe ndiye mgombea pekee wa Urais Tz, Sasa tunaona fursa zinakuja, dunia inaitazama Tz means mashirika mengi duniani yatakuja kuwekeza Tz na watu kupata Ajira, nazikumbuka fursa tulizopata baada ya ujio wa Obama.
YOTE HAYO NI MATOKEO YA JITIHADA ZA RAIS WETU DR. SSH 🇹🇿 HONGERA SANA MH. RAIS
 
Mfalme wa Morocco aliombwa msaada kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa michezo Dodoma na yule naniliu.
Yule naniliu alikuwa sijui anawaza nini, anaomba vitu visivyo na impact kwa mgogo wa Mvumi au Makoro mfano kiwanda kikubwa cha kusindika zabibu Dodoma anaomba stadium?
 
Tanzania itapata ugeni mkubwa kutoka kwa Makamu wa Rais wa Marekani Bi. Kamala Hariss anayetarajiwa kuanza ziara yake kuanzia tarehe 25 Machi 2023

Bi kamala na Rais Samia wamekuwa na mazungumzo ya mara kwa mara kiasi ambacho wamejenga urafiki mkubwa baina yao.

View attachment 2546492

Huwa sioni tija ya hao viongozi wa US hapa Tanzania.
 
Bado Xi JinPing nae atakuja mwaka huu huu au ujao maana alialikwa..

Jiwe alikuwa anatembelewa na Rais wa Malawi,Zambia ,Burundi nk [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Siku alipopigiwa simu na Xi alichanganyikiwa Hadi akatapanya mafaili Ofisini [emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] INTRAPENTENYUAAAAAA........Ofukozi Pipo yuzdi tu dai in ze Reki
 
Mimi nilisema na nitaendelea kusema
2025 Dr. SSH Awe ndiye mgombea pekee wa Urais Tz, Sasa tunaona fursa zinakuja, dunia inaitazama Tz means mashirika mengi duniani yatakuja kuwekeza Tz na watu kupata Ajira, nazikumbuka fursa tulizopata baada ya ujio wa Obama.
YOTE HAYO NI MATOKEO YA JITIHADA ZA RAIS WETU DR. SSH 🇹🇿 HONGERA SANA MH. RAIS
Chawa pro max
 
Back
Top Bottom