Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,236
- 4,746
Kwa nini mamlaka zisitunge sheria ndogo za Jiji kwamba kila nyumba/kiwanga kipandwe si chini ya miti kumi kulingana na ukubwa wa eneo?
Kwa nini kila nyumba kusisitungwe sheria ndogo ya kupanda miti na kufanya USAFI mita kadhaa kutoka jengo lilipo?
Kwa nini kusitungwe sheria ndogo zinazoelekeza kila mkaazi wa nyumba kufanya usafi wa kufyeka, kufagia, kukatia miti kusafisha mtaro kuzunguka nyumba?
Haya yakifanyika na Mamlaka kugawa miche ya miti BURE baada ya miaka mitano Dodoma haitakuwa hivi ilivyo.
Jambo hili kwa kiasi kikubwa linahitaji USIMAMIZI wa SHERIA kuliko fedha. Ila kwa kuwa jambo hili hakuwapo fedha wakubwa na watunga sheria na wasimamizi, HAWAONI UMUHIMU.
Kwa nini kila nyumba kusisitungwe sheria ndogo ya kupanda miti na kufanya USAFI mita kadhaa kutoka jengo lilipo?
Kwa nini kusitungwe sheria ndogo zinazoelekeza kila mkaazi wa nyumba kufanya usafi wa kufyeka, kufagia, kukatia miti kusafisha mtaro kuzunguka nyumba?
Haya yakifanyika na Mamlaka kugawa miche ya miti BURE baada ya miaka mitano Dodoma haitakuwa hivi ilivyo.
Jambo hili kwa kiasi kikubwa linahitaji USIMAMIZI wa SHERIA kuliko fedha. Ila kwa kuwa jambo hili hakuwapo fedha wakubwa na watunga sheria na wasimamizi, HAWAONI UMUHIMU.