comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Mshambuliaji wa Paris St-Germain Neymar anataka kurudi Barcelona kulingana na naibu rais wa klabu hiyo .
Hatahivyo Jordi Cardoner amesisitiza kuwa hakuna mawasiliano yoyote yaliofanyika kati yao na mchezaji huyo ambaye alihudumu miaka minne katika klabu hiyo ya Nou Camp.
Mchezaji huyo wa Brazil ametaabika katika klabu ya PSG tangu aliposajiliwa kwa dau lililovunja rekodi la dunia 2017.
Pale mbele MESSI,SUAREZ,NEYMAR
Hapo kati FRANKIE DEJONG,ARTHUR,BUSQUETS
Hatariiiii!
Hatahivyo Jordi Cardoner amesisitiza kuwa hakuna mawasiliano yoyote yaliofanyika kati yao na mchezaji huyo ambaye alihudumu miaka minne katika klabu hiyo ya Nou Camp.
Mchezaji huyo wa Brazil ametaabika katika klabu ya PSG tangu aliposajiliwa kwa dau lililovunja rekodi la dunia 2017.
Pale mbele MESSI,SUAREZ,NEYMAR
Hapo kati FRANKIE DEJONG,ARTHUR,BUSQUETS
Hatariiiii!