Makamu wa Rais wa Kenya ajijengea kasri la Tshs 20 billion, litakuwa mpaka na uwanja wa ndege

Makamu wa Rais wa Kenya ajijengea kasri la Tshs 20 billion, litakuwa mpaka na uwanja wa ndege

Mmh Mtz mwenzangu rudi tu ktk yale majukwaa yetu ya Watz wenzetu,huku siyo saizi yako maana Watz tunadhani kila mwenye fedha ni fisadi,tunaona fahari sana kuwa maskini.Na tunadhani umaskini ndio taaswira sahihi ya uadilifu.

Nakuunga mkono asilimia 1000% ukienda hata KISUMU Raila ana investment za kufa mtu lakini huwezi sikia wanamuita Fisadi, tatizo bongo tunaishi kwa fikra za kijamaa that is why tunashindwa hata kushindana na wenzetu ndani ya EA
 
Hilo swali muulize Donald Trump kwanini pamoja na utajiri alionao anataka kuwa Rais wa Marekani? Majibu atayakupa ni sawa na ulichouliza wewe

Unataka kulinganisha democracy ya USA na Kenya? People should differentiate between these small countries of ours and countries like USA, UK etc. There are check and balances unparalleled to our small nations.

Trump's reasons aren't the same with Ruto, believe me. If you cannot understand that I do not know who can make you understand.


Mkuu ni nani amekuambia kuwa malengo ya kufanya kazi ni kupata pesa pekee kwa watu wote? Hivi unamfahamu yule meya wa NYC aliyekuwa analipwa dola moja mshahara kwa mwezi?

Ni wapi nimesema malengo ya kufanya kazi ni pesa?
 
Nakuunga mkono asilimia 1000% ukienda hata KISUMU Raila ana investment za kufa mtu lakini huwezi sikia wanamuita Fisadi, tatizo bongo tunaishi kwa fikra za kijamaa that is why tunashindwa hata kushindana na wenzetu ndani ya EA

Mbona Bakhresa watu hawamuiti Fisadi, Mengi hawamuiti fisadi, usikurupuke tu kama hufahamu hoja. Wapo matajiri wengi tu na hawaitwi mafisadi, wanaoitwa mafisadi ukiangalia pesa zao wamezipata kutokana na wizi uliokubuhu wa kudhuluma pesa za walipa kodi na ushahidi tunao.

Mtu alikuwa hana kitu baada ya siku mbili tatu kwa sababu ya rushwa ya kuwauza waafrika wenzake anaibuka tajiri. Usirukie treni kwa mbele utaumia pua.

Kwa mishahara ya mawaziri hata marais wa Afrika utajiri wa hawa viongozi wengine unatia mashaka ni sawa na utajiri wa Kenyatta ambaye alidhulumu mashamba kwenye utawala wa kwanza wa Kenya n.k. Pamoja na kuua wengi kama kina Kariuki etc.
 
Hivi mkuu kwa mtu Hustler kuwa na nyumba ya bilioni 20 mbona kitu kidogo sana na William Ruto alikuwa mfanya biashara mkubwa sana kabla hata ya kuwa kiongozi. Sasa sijui shida ikowapi hapo unless utakuwa na chuki binafsi tu dhidi ya Ruto maana naona unataka kupinga vitu ambavyo vipo clear.
Labda useme hivyo lakini mtu anaingia kwenye siasa masikini halafu anatoka bilionea si sawa hata kidogo!
 
Mbona Bakhresa watu hawamuiti Fisadi, Mengi hawamuiti fisadi, usikurupuke tu kama hufahamu hoja. Wapo matajiri wengi tu na hawaitwi mafisadi, wanaoitwa mafisadi ukiangalia pesa zao wamezipata kutokana na wizi uliokubuhu wa kudhuluma pesa za walipa kodi na ushahidi tunao.

Mtu alikuwa hana kitu baada ya siku mbili tatu kwa sababu ya rushwa ya kuwauza waafrika wenzake anaibuka tajiri. Usirukie treni kwa mbele utaumia pua.

Kwa mishahara ya mawaziri hata marais wa Afrika utajiri wa hawa viongozi wengine unatia mashaka ni sawa na utajiri wa Kenyatta ambaye alidhulumu mashamba kwenye utawala wa kwanza wa Kenya n.k. Pamoja na kuua wengi kama kina Kariuki etc.

Kwahiyo Ruto amepata utajiri wake baada ya kuwa mwanasiasa?
 
Kwa hiyo kama alizaliwa masikini anaruhusiwa kufanya lolote analotaka?
Mshahara wake ni sh ngapi?
Alitoa wapi hela za kuweza kujenga lijumba hilo?

Unataka kulinganisha democracy ya USA na Kenya? People should differentiate between these small countries of ours and countries like USA, UK etc. There are check and balances unparalleled to our small nations.

Trump's reasons aren't the same with Ruto, believe me. If you cannot understand that I do not know who can make you understand.
Kwani kuna mtu amelinganisha USA na Kenya? Ninacho maanisha mimi ni kwamba pesa za mtu zisimfanye asiwe na tamaa ya madaraka.

Utajiri na na kutafuta uongozi ni vitu tofauti. Unaweza ukawa tajiri lakini bado ukahitaji kuongoza raia wa nchi yako na ndicho kilichomfanya Trump kugombea na ndicho pia kilichomfanya Ruto awe makamu wa rais.

Grow old grow wise man hiki sio kitu cha mtu kama kubisha ni jambo lipo wazi kabisa na sijui unachobisha ni nini?
 
Kuna baadhi tu wanafikiri hivyo, unasemaje Bhakheresa akiwa kiongozi, unawasemaje akina Manji akina Mengi
 
I don't get this pple calling Ruto corrupt

I don't like Ruto that is true BUT RUTO GAS AN ON GOING CASE IN THE HAGUE ALL HIS FINANCIAL RECORDS TILL HIS CASE ENDS OR IS DISMISSED ARE BEING MONITORED NOT ONLY BY INTEGRITY OFFICE NAIROBI BUT ICC TOO JUST INCASE HE WOULD WANT TO BRIBE A WITNESS GROW UP


I DONT THINK FOR A SECOND AMEIBA HYO PESA


IN KENYA PPLE AT THE TOP ARE NOT THEIFS MAYBE THEIR FORE FATHERS WERE THIEVES BUT WATU WANAO WAFWATA NDIO WEZI



LAKINI
MA MINISTERS AND PRESIDENT AND MOST JUDGES NOOOOO.....
 
I don't get this pple calling Ruto corrupt

I don't like Ruto that is true BUT RUTO GAS AN ON GOING CASE IN THE HAGUE ALL HIS FINANCIAL RECORDS TILL HIS CASE ENDS OR IS DISMISSED ARE BEING MONITORED NOT ONLY BY INTEGRITY OFFICE NAIROBI BUT ICC TOO JUST INCASE HE WOULD WANT TO BRIBE A WITNESS GROW UP


I DONT THINK FOR A SECOND AMEIBA HYO PESA


IN KENYA PPLE AT THE TOP ARE NOT THEIFS MAYBE THEIR FORE FATHERS WERE THIEVES BUT WATU WANAO WAFWATA NDIO WEZI



LAKINI
MA MINISTERS AND PRESIDENT AND MOST JUDGES NOOOOO.....

:rolleyez:
 
Hustlin isnt something to be praised about for it entails elements of criminality in the course of getting somewhere i.e by any means getting there or somewhere, that is to say the end justifies the means,, thats the originality of the huslin comes you would never find some one respectable identifying himself as a husler mostly thugs, criminal do that i.e american rappers huslin, selling drugs thats what it entails....
 
I don't get this pple calling Ruto corrupt

I don't like Ruto that is true BUT RUTO GAS AN ON GOING CASE IN THE HAGUE ALL HIS FINANCIAL RECORDS TILL HIS CASE ENDS OR IS DISMISSED ARE BEING MONITORED NOT ONLY BY INTEGRITY OFFICE NAIROBI BUT ICC TOO JUST INCASE HE WOULD WANT TO BRIBE A WITNESS GROW UP


I DONT THINK FOR A SECOND AMEIBA HYO PESA


IN KENYA PPLE AT THE TOP ARE NOT THEIFS MAYBE THEIR FORE FATHERS WERE THIEVES BUT WATU WANAO WAFWATA NDIO WEZI



LAKINI
MA MINISTERS AND PRESIDENT AND MOST JUDGES NOOOOO.....

sam999 please!!!!
 
Last edited by a moderator:
Usimshangae Ruto,washange yule jamaa kijana mdogo wa ile familia aliyetajwa na slaa kumiliki utajiri wa kutisha kwa muda mfupi tu,na hakuna taarifa za kuridhisha kuhusu vyanzo vya mapato yake.Tusihangaike na wazee tena wawekezaji wa decade nyingi kama Ruto.
 
Acheni kujidanganya jamani, historia ya Ruto mbona iko wazi kabisa na inajulikana kuwa ni 'corrupt leader' na hilo wala halihitaji mjadala. Mtu anapotekea akisema ati Ruto ni hussler na kuwa ati ameanzia kutoka scratch ujue huyo ni lofa tu. Na pengine drive yake ya kusema hivyo si mapenzi bali ni "mahaba" yake tu kwa Mh Ruto. Vinginevyo na aweke wazi kuwa hiyo kutoka 'scratch' Ruto aliuza nini?
 
...tunaona fahari sana kuwa maskini...

Wala sio uwongo hayo uyasemayo, na yule anaeuchukia umaskini basi hatumpendi.

HAPA NI KAZI TU ya kujishindilia kwenye lindi la umaskini na sio kujitoa!
 
Back
Top Bottom