Makamu wa Rais wa kwanza Mwanamke nchini Marekani atuma salamu za Pongezi kwa Rais wa kwanza Mwanamke nchini Tanzania

Ukimwi una miaka zaidi ya 359+ tangia ugundulike Tanzania kwa mara ya kwanza,
Leo ndio kinajengwa Kiwanda cha Condom? (Kama ni kweli lakini)

Mimi nadhani wangehangaika na Chanjo ya Covid-19 hao Wataalam wetu.
 
Ukimwi una miaka zaidi ya 359+ tangia ugundulike Tanzania kwa mara ya kwanza,
Leo ndio kinajengwa Kiwanda cha Condom? (Kama ni kweli lakini)

Mimi nadhani wangehangaika na Chanjo ya Covid-19 hao Wataalam wetu.
Hiyo miaka du[emoji41]
 
Huu ni uzushi hilo tatizo lipo dunia nzima na sababu zinafahamika, weka sababu ambazo ulienda mahali pengine huwezi kuzipata. Wangeamua wangetumaliza miaka mingi
 
Unaangalia kiwanda jengo,utaalamu was utengenezaji na malighafi zinatoka Makunduchi sio??
 
Sasa kama mtu mpaka sasa anaamini bila condom za bure za wazungu maisha hayaendi.
HUYU SI MTUMWA WA FIKRA?.
Utumwa huo wa kifikra haufuti kwa Kauli na Matamko,zinafutwa kwa Elimu na Technolojia,na siasa Bora.
 
Wewe endeleq kusubiri condom za bure za mabeberu.
Ila magufuli alitaka ununue condom imeandikwa" made in tanzania ".
TATIZO VIZURI HAVIDUMU.
yapo pia sikatai magufuli alikuwa na mapungufu yake makubwa
Yuko wapi?
 
Wewe endeleq kusubiri condom za bure za mabeberu.
Ila magufuli alitaka ununue condom imeandikwa" made in tanzania ".
TATIZO VIZURI HAVIDUMU.
yapo pia sikatai magufuli alikuwa na mapungufu yake makubwa
Wewe endelea kuota, eti alitaka, sasa mbona hakufanya? Kutaka na kutenda ni tuvitu tuwili tofauti. Arishundwa kujilinda na colons ndio aweze kujenga kiwanda!
 
hakuna viwanda alivyojenga?
Wewe endelea kuota, eti alitaka, sasa mbona hakufanya? Kutaka na kutenda ni tuvitu tuwili tofauti. Arishundwa kujilinda na colons ndio aweze kujenga kiwanda!
 
Hizo kondomu za msd utavaa wewe na washamba wenzako..
 
hakuna viwanda alivyojenga?
Hii topic wacha usiiguse, wacha leo niko safarini. Nitapata muda tujadili kuhusu viwanda na unambie viko wapi leo hii, ule wimbo wa viwanda uliishia wapi?
 
Kamala kama kamala.
 
Viwandaa vipo vingi.
Ni wewe kuamua kuvitafuta
Hii topic wacha usiiguse, wacha leo niko safarini. Nitapata muda tujadili kuhusu viwanda na unambie viko wapi leo hii, ule wimbo wa viwanda uliishia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…