Sawa. Inategemea na aina gani ya ushirikiano wanaotaka kutupa. Kama ni mikopo na mikataba ya unyonyaji hapana.
Umemuelewa mwenzio lakini? Sasa utalazimishwa kupewa mikataba yakinyonyaji? Tumekataa mingapi chini Chuma?
Hazina mafuta, afu ni ndogo yani kiufupi ni vimini....watuletee tu zao mabeberuWewe endeleq kusubiri condom za bure za mabeberu.
Ila magufuli alitaka ununue condom imeandikwa" made in tanzania ".
TATIZO VIZURI HAVIDUMU.
yapo pia sikatai magufuli alikuwa na mapungufu yake makubwa
Hazina mafuta, afu ni ndogo yani kiufupi ni vimini....watuletee tu zao mabeberu
Tutasababisha yapande bei broMafuta ya kula si yapo..
Tutasababisha yapande bei bro
Dunia haina watu wenye roho mbaya za kiwango hicho kama mlivyo nyie. Na vipi kuhusu bombadia tutajenga kakiwanda chetu au vita ya kiuchumi haihusiki huko?Kiwanda cha kondomu tumeshaanza kujenga cha kwetu kwa pesa zetu wenyewe hapo MSD. Kitatoa kondomu bora sana kwa watanzania vyenye usalama wa uhakika. Haya makondomu ya misaada tunaachana nayo kwani huwezi kujua usalama wake. Wanaweza wakakuwekkea mavitu mengine ya ajabu ajabu kwenye makondomu hayo.
Ni zaidi ya 35 mkuu.Hiyo miaka du[emoji41]