Makamu wa Rais wa kwanza Mwanamke nchini Marekani atuma salamu za Pongezi kwa Rais wa kwanza Mwanamke nchini Tanzania

Mabeberu bana

Kashindwa hata kutoa pole ya kinafki
 
Wewe endeleq kusubiri condom za bure za mabeberu.
Ila magufuli alitaka ununue condom imeandikwa" made in tanzania ".
TATIZO VIZURI HAVIDUMU.
yapo pia sikatai magufuli alikuwa na mapungufu yake makubwa
Hazina mafuta, afu ni ndogo yani kiufupi ni vimini....watuletee tu zao mabeberu
 
Dunia haina watu wenye roho mbaya za kiwango hicho kama mlivyo nyie. Na vipi kuhusu bombadia tutajenga kakiwanda chetu au vita ya kiuchumi haihusiki huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…