beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Marufuku ya kuingia Nchini Urusi sasa itawajumuisha Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg pamoja na Maafisa, Wafanyabiashara na Wanahabari wengine 27 kutoka Taifa hilo
Serikali ya Urusi imesema Watu hao wamezuiwa kuingia Nchini humo kwa muda usiojulikana, ikiwa ni hatua ya kujibu vikwazo vinavyozidi kuongezeka dhidi ya Urusi
Tangu vita kuanza Nchini Ukraine, Viongozi na Watu mashuhuri kutok Mataifa kadhaa yakiwemo Marekani, Uingereza na Canada wamepigwa marufuku kuingia Urusi
========
Russia on Thursday expanded an entry ban on U.S. officials to include U.S. Vice-President Kamala Harris and 28 other American officials, businesspeople and journalists.
The sanctions list, published by the Russian foreign ministry, included Facebook founder Mark Zuckerberg, Deputy Defence Secretary Kathleen Hicks and Pentagon spokesperson John Kirby, among others.
"These individuals are denied entry into the Russian Federation indefinitely," the Russian foreign ministry said in a statement.
Source: Reuters
Serikali ya Urusi imesema Watu hao wamezuiwa kuingia Nchini humo kwa muda usiojulikana, ikiwa ni hatua ya kujibu vikwazo vinavyozidi kuongezeka dhidi ya Urusi
Tangu vita kuanza Nchini Ukraine, Viongozi na Watu mashuhuri kutok Mataifa kadhaa yakiwemo Marekani, Uingereza na Canada wamepigwa marufuku kuingia Urusi
========
Russia on Thursday expanded an entry ban on U.S. officials to include U.S. Vice-President Kamala Harris and 28 other American officials, businesspeople and journalists.
The sanctions list, published by the Russian foreign ministry, included Facebook founder Mark Zuckerberg, Deputy Defence Secretary Kathleen Hicks and Pentagon spokesperson John Kirby, among others.
"These individuals are denied entry into the Russian Federation indefinitely," the Russian foreign ministry said in a statement.
Source: Reuters