mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Domo wa Wcb yupo wapii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema "tatizo lao ni kutuweka tik tok tukiwa watupu. Uchi uchi tuu"Unakataa kitu umebandika mwenyewe?
Ulibandika haya
Chini ndivyo nilivyoongezea kufuatana na mtiririko....
Kilichokuwa sio kweli ni nini?
na wewe ulidai kuwa....ChinaUmesema "tatizo lao ni kutuweka tik tok tukiwa watupu. Uchi uchi tuu"
Ukimaanisha Marekani, na kwa tafsiri ya kitendo cha Makamu wa Raisi huyo ndio ukasemaimewakaba kooni
Hapo ndipo nami nikaja kusema, kwa lugha nyingine kuwa hao wachina "tatizo lao" ni kutuweka uchi uchi tik tok nikiwa na maana angalau hao wamarekani wamekuwa wabunifu zaidi na "kujikomba"lazima wajikombe
Silaumu Tik Tok wala China....ila Wachina kama vile wewe ulivyowalaumu hao wamarekan kwa kujikomba......nimelaumu hulka[tatizo lao]za watu wa.... na wala sio tik toc au china per seTik Tok ni China-based company so unailaumu China?
Kujikomba Kwa Marekani ni Afya Kwa Tanzania kuliko kujipendekeza Kwa China..Kweli China imewakaba kooni kwa hapa Afrika, lazima wajikombe kwa namna yoyote ile
Kwa sasa mshirika mkubwa wa Afrika ni China
Wewe choisi nawe,Kujikomba Kwa Marekani ni Afya Kwa Tanzania kuliko kujipendekeza Kwa China..
Kamala kuwataja ni promo kubwa Kwa Utalii kuliko wangealikwa Ikulu na Xi Jinpin
Wewe unajua vizuri habari za Sri Lanka au ndio unasikia na kusema kile unakisikia. Acha uvivu wa kujifunza. Nenda mtandaoni kasome na kutazama documentary utaelewa nini kiliendelea.Ushirika wa China ni Maumivu maana ukichelewa kuwalipa wanachukua Airport kama Zambia na Sri Lanka
Utalii sio biashara?Wewe choisi nawe,
Yaani unaona watanzania kama wanyama wamrekani waje watalii tu? ha ha
Afrika nzima,na Tqnzania ikiwemo, tumekuwa tukitaka au niseme, tukiomba tufanye biashara badala kuwa wapokezi wa mabakuli ya misaada. We have begged quite literaly for investments and businesses for a long time. US never had any Interest whatsover nor any policy to engage Afrika katika biashara Sasa wamarekani wanaona Wachina wamewapiku kwa "Investements" ndio wanaanza kung'aka tena kwa yale yale tu manguvu. Sasa yule mbunge ambae wanadai hawamtaki(republicans) Santos, amefikisha muswada wa kuzuia mtiririko wa Fedha kwa nchi ambazo hazita kubali kuweka sheria za kuwakubali mashoga......whaaat? Kule kule a carot and a stick Marekani iwe ni Dems au Reps sera yao ya nje ni moja....Imperialistic
Bora safari ya Ikulu badala ya kuwekwa zoo katika nchi yetu wenyewe
Kuwa na ushirika na china ni sawa na kufuga chatu chumbani...likikua linakumezaKweli China imewakaba kooni kwa hapa Afrika, lazima wajikombe kwa namna yoyote ile
Kwa sasa mshirika mkubwa wa Afrika ni China
akija muulizeni kama anamjua hata mmojaView attachment 2568241
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris ametoa Spotify playlits yake ya nyimbo 25 za Wasanii wa Afrika ambazo anazikubali ambayo ameipa jina la “Safari Zangu: Ghana, Tanzania na Zambia”, kama sehemu ya kukuza muziki na kuwapa hamasa zaidi Wasanii wa Afrika wakati huu ambapo anafanya ziara katika Nchi hizi tatu ndani ya Wiki hii.
Mtandao maarufu wa Billboard umeitaja orodha hiyo ya Wasanii wa Nchi hizi tatu na nyimbo zao ambazo Wapenzi wa Muziki Duniani wanaweza kusikiliza kupitia Spotify na platform nyingine lengo likiwa ni kukuza Wasanii na mdundo wa Kiafrika hususani kutoka kwa Wasanii wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Wasanii wa Tanzania ambao wamo kwenye orodha hiyo ni pamoja na Harmonize na wimbo wake mpya ambao video yake imeachiwa rasmi leo ya Single Again, pia Zuchu (Utaniua), Alikiba (Mahaba) Jay Melody (Sawa), Mbosso (Shetani), Jux & Marioo (Nice Kiss), Darassa (No Body) , Marioo & Abbah (Lonenly), Platform & Marioo (Fall).
Tayari Kamala ameanza ziara Barani Afrika na anatarajia kuwasili Nchini Tanzania Machi 29, 2023 ambapo pamoja na mengine anayoyapa kipaumbele kwenye ziara yake ikiwemo maendeleo ya kiuchumi, mabadiliko ya tabia nchi, usalama wa chakula na ongezeko la idadi ya vijana pia anatarajia kukutana na Wasanii wa Kiafrika ikiwemo wale ambapo wapo kwenye playlist yake ili kuongea nao na kuona namna bora ya kuufikisha muziki wao kwenye masoko makubwa ya muziki Marekani.
![]()
SI KWELIKujikomba Kwa Marekani ni Afya Kwa Tanzania kuliko kujipendekeza Kwa China.
SI KWELIKuwa na ushirika na china ni sawa na kufuga chatu chumbani...likikua linakuneza
Si kweli Kwa namna gani? Nikuletee ushahidi? Uliwahi sikia wapi raia wa Marekani yoko Kariakoo anauza mitumba kama China?SI KWELI
SI KWELI
Wanatafuta salama yao, hadi wanazungumzia vitu vya kijingaKweli China imewakaba kooni kwa hapa Afrika, lazima wajikombe kwa namna yoyote ile
Kwa sasa mshirika mkubwa wa Afrika ni China
Wamefeli sanaWanatafuta salama yao, hadi wanazungumzia vitu vya kijinga