Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris awataja Harmonize, JUX, Darasa, Zuchu, Alikiba, Mbosso, Jay Melody, Marioo na Platform kwenye Playlist yake

Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris awataja Harmonize, JUX, Darasa, Zuchu, Alikiba, Mbosso, Jay Melody, Marioo na Platform kwenye Playlist yake

Huu uongo tuu kama uongo mwingine ni moja kati ya mbinu ya kutaka kujisogeza Africa baada ya china kuchukua karibu Kila sehemu, na hata nchi anazofika ni washirika wakubwa wa china, na nadhani kuna kitu kinaendelea chini kwa chini kwakua Dunia haina Siri tutafahamu hivi karibuni
 
Na ww umeamini ni kweli? Yaani makamo wa Rais kweli akae atulie asikilize hayo matakataka?
Kusikiliza si kweli kwamba amesikiliza, it's just politics na imempa mileage ndiyo maana hata hapa anajadiliwa. Ni sawa na wewe leo uende Bolivia au Albania eti utoe orodha ya nyimbo unazozikubali whilst schedules zako ni tight, kwanza amesikiliza nyimbo ngapi mpaka akapata muda wa kuchagua(ukizingatia haelewi kinachoimbwa) ila kisiasa waliolipanga hilo wamefanya jambo zuri kwani wamefanikiwa kuwaamisha wale wenye uelewa mdogo kuamini kwamba hiyo orodha ni ya Kamala Harris mwenyewe.
 
Wewe unajua vizuri habari za Sri Lanka au ndio unasikia na kusema kile unakisikia. Acha uvivu wa kujifunza. Nenda mtandaoni kasome na kutazama documentary utaelewa nini kiliendelea.

Ipo hivi, serikali ya Sri Lanka ilikuwa ni serikali badhirifu na ya wahujumu uchumi kama hii ya CCM mnayoichekea.

Jamaa wanaufujaji mkubwa wa mali na fedha za uma kiasi kwamba wakaanza kutegemea mikopo kuendesha inchi. Ilifika point sasa wameishiwa hakuna hata cha kuweka rehani tena na matumizi ya serikali ni ya hovyo kupita maelezo.

Serikali ya Sri Lanka wakaingia mkataba na China kuomba mkopo wa kuendeleza bandari yao. Wakapewa mkopo wa masharti nafuu ambao kutokana na maswala ya upigaji na ubadhirifu pesa zilitumika vibaya na hatimaye wakafeli kulipa kama kalenda ilivyowataka.

Mwisho wa siku masharti ya mkataba wa mkopo yaliwataka kama watashindwa kwenda sambamba na kalenda ya malipo basi wanatakiwa kusurrender hilo deni kwa serikali ya china ambayo itachukua hiyo bandari na kurun operations wao wenyewe kwa asilimia 100% na kujilipa deni lao plus Management costs za kusimamia hiyo bandari wao wenyewe.

Wakifanya hivyo haimaanishi wanajimilikisha bandari bali wanafanya kitu wanaita kushika usimamizi wa uendeshaji sio kuchukua umiliki.

Sasa marekani na vibaraka wake kupitia media huwa wanatoa ushuhuda wa uongo na wa kupika kuwa china anakopesha mataifa ya afrika mikopo ya kibiashara yenye riba kubwa kisha yeye anakuja kuchukua mali walizoweka bondi jambo ambalo si kweli.

Mikopo ya china ni rahisi kwa upande wa riba na ina lenga kujenga mahusiano mapya ya kirafiki na mataifa mengine jambo ambalo marekani hataki.

Marekani na wenzake wa magharibi wanachofanya ni kukupatia pesa na kukuelekeza ziende maeneo gani ambayo anajua wewe hayo maeneo hayatakuwa na faida kwako miaka inayo au hata akikupa pesa kwenye maeneo muhimu anajua hautaweza mudu kujiendeleza.

Nenda katazame chati au takwimu za kifedha eneo la mikopo uone mchango wa mataifa ya kimagharibi ndio utajua hawana lolote mbwa wale.

Wao misaada ni kwenye maeneo yanayotuletea mitafaruku tu ya kijamii ndipo watatia nguvu ila kwenye maeneo ya kutuimarisha huwezi kuta anaweka pesa au nguvu zake kusapoti.


Nenda mtandaoni katazame documentary kuhusu Sri Lanka utaelewa.

Kuna siku Zitto Kabwe akaja na hizi mbaya Twitter akijua watanzania ni vilaza na yeye ndie Smart boy Tanzania nzima. Anatupatia takwimu zake za World Bank za kupika kuhusu mkopo wa Sri Lanka na China. Tulimbana maswali na kumletea takwimu ambazo alisanda kujibu na kukubali alikuwa hana taarifa sawa sawa.
These illiterates are so brainwashed, sina uhakika kama watakuelewa(watakubaliana nawe).
 
View attachment 2568241
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris ametoa Spotify playlits yake ya nyimbo 25 za Wasanii wa Afrika ambazo anazikubali ambayo ameipa jina la “Safari Zangu: Ghana, Tanzania na Zambia”, kama sehemu ya kukuza muziki na kuwapa hamasa zaidi Wasanii wa Afrika wakati huu ambapo anafanya ziara katika Nchi hizi tatu ndani ya Wiki hii.

Mtandao maarufu wa Billboard umeitaja orodha hiyo ya Wasanii wa Nchi hizi tatu na nyimbo zao ambazo Wapenzi wa Muziki Duniani wanaweza kusikiliza kupitia Spotify na platform nyingine lengo likiwa ni kukuza Wasanii na mdundo wa Kiafrika hususani kutoka kwa Wasanii wa Ghana, Tanzania na Zambia.

Wasanii wa Tanzania ambao wamo kwenye orodha hiyo ni pamoja na Harmonize na wimbo wake mpya ambao video yake imeachiwa rasmi leo ya Single Again, pia Zuchu (Utaniua), Alikiba (Mahaba) Jay Melody (Sawa), Mbosso (Shetani), Jux & Marioo (Nice Kiss), Darassa (No Body) , Marioo & Abbah (Lonenly), Platform & Marioo (Fall).

Tayari Kamala ameanza ziara Barani Afrika na anatarajia kuwasili Nchini Tanzania Machi 29, 2023 ambapo pamoja na mengine anayoyapa kipaumbele kwenye ziara yake ikiwemo maendeleo ya kiuchumi, mabadiliko ya tabia nchi, usalama wa chakula na ongezeko la idadi ya vijana pia anatarajia kukutana na Wasanii wa Kiafrika ikiwemo wale ambapo wapo kwenye playlist yake ili kuongea nao na kuona namna bora ya kuufikisha muziki wao kwenye masoko makubwa ya muziki Marekani.
photo-output-8-scaled.jpg
So what? Miafrika bhana hovyo kabisa.
 
Ushirika wa China ni Maumivu maana ukichelewa kuwalipa wanachukua Airport kama Zambia na Sri Lanka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtajua hamjuiii.
 
View attachment 2568241
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris ametoa Spotify playlits yake ya nyimbo 25 za Wasanii wa Afrika ambazo anazikubali ambayo ameipa jina la “Safari Zangu: Ghana, Tanzania na Zambia”, kama sehemu ya kukuza muziki na kuwapa hamasa zaidi Wasanii wa Afrika wakati huu ambapo anafanya ziara katika Nchi hizi tatu ndani ya Wiki hii.

Mtandao maarufu wa Billboard umeitaja orodha hiyo ya Wasanii wa Nchi hizi tatu na nyimbo zao ambazo Wapenzi wa Muziki Duniani wanaweza kusikiliza kupitia Spotify na platform nyingine lengo likiwa ni kukuza Wasanii na mdundo wa Kiafrika hususani kutoka kwa Wasanii wa Ghana, Tanzania na Zambia.

Wasanii wa Tanzania ambao wamo kwenye orodha hiyo ni pamoja na Harmonize na wimbo wake mpya ambao video yake imeachiwa rasmi leo ya Single Again, pia Zuchu (Utaniua), Alikiba (Mahaba) Jay Melody (Sawa), Mbosso (Shetani), Jux & Marioo (Nice Kiss), Darassa (No Body) , Marioo & Abbah (Lonenly), Platform & Marioo (Fall).

Tayari Kamala ameanza ziara Barani Afrika na anatarajia kuwasili Nchini Tanzania Machi 29, 2023 ambapo pamoja na mengine anayoyapa kipaumbele kwenye ziara yake ikiwemo maendeleo ya kiuchumi, mabadiliko ya tabia nchi, usalama wa chakula na ongezeko la idadi ya vijana pia anatarajia kukutana na Wasanii wa Kiafrika ikiwemo wale ambapo wapo kwenye playlist yake ili kuongea nao na kuona namna bora ya kuufikisha muziki wao kwenye masoko makubwa ya muziki Marekani.
photo-output-8-scaled.jpg
Kwahiyo makamu wa Rais anamsikilizaga Zuchu? ahahahaha kuna mtu kaandaa hii sio makamu
 
View attachment 2568241
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris ametoa Spotify playlits yake ya nyimbo 25 za Wasanii wa Afrika ambazo anazikubali ambayo ameipa jina la “Safari Zangu: Ghana, Tanzania na Zambia”, kama sehemu ya kukuza muziki na kuwapa hamasa zaidi Wasanii wa Afrika wakati huu ambapo anafanya ziara katika Nchi hizi tatu ndani ya Wiki hii.

Mtandao maarufu wa Billboard umeitaja orodha hiyo ya Wasanii wa Nchi hizi tatu na nyimbo zao ambazo Wapenzi wa Muziki Duniani wanaweza kusikiliza kupitia Spotify na platform nyingine lengo likiwa ni kukuza Wasanii na mdundo wa Kiafrika hususani kutoka kwa Wasanii wa Ghana, Tanzania na Zambia.

Wasanii wa Tanzania ambao wamo kwenye orodha hiyo ni pamoja na Harmonize na wimbo wake mpya ambao video yake imeachiwa rasmi leo ya Single Again, pia Zuchu (Utaniua), Alikiba (Mahaba) Jay Melody (Sawa), Mbosso (Shetani), Jux & Marioo (Nice Kiss), Darassa (No Body) , Marioo & Abbah (Lonenly), Platform & Marioo (Fall).

Tayari Kamala ameanza ziara Barani Afrika na anatarajia kuwasili Nchini Tanzania Machi 29, 2023 ambapo pamoja na mengine anayoyapa kipaumbele kwenye ziara yake ikiwemo maendeleo ya kiuchumi, mabadiliko ya tabia nchi, usalama wa chakula na ongezeko la idadi ya vijana pia anatarajia kukutana na Wasanii wa Kiafrika ikiwemo wale ambapo wapo kwenye playlist yake ili kuongea nao na kuona namna bora ya kuufikisha muziki wao kwenye masoko makubwa ya muziki Marekani.
photo-output-8-scaled.jpg
Vp alifanikiwa kukutana nao
 
View attachment 2568241
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris ametoa Spotify playlits yake ya nyimbo 25 za Wasanii wa Afrika ambazo anazikubali ambayo ameipa jina la “Safari Zangu: Ghana, Tanzania na Zambia”, kama sehemu ya kukuza muziki na kuwapa hamasa zaidi Wasanii wa Afrika wakati huu ambapo anafanya ziara katika Nchi hizi tatu ndani ya Wiki hii.

Mtandao maarufu wa Billboard umeitaja orodha hiyo ya Wasanii wa Nchi hizi tatu na nyimbo zao ambazo Wapenzi wa Muziki Duniani wanaweza kusikiliza kupitia Spotify na platform nyingine lengo likiwa ni kukuza Wasanii na mdundo wa Kiafrika hususani kutoka kwa Wasanii wa Ghana, Tanzania na Zambia.

Wasanii wa Tanzania ambao wamo kwenye orodha hiyo ni pamoja na Harmonize na wimbo wake mpya ambao video yake imeachiwa rasmi leo ya Single Again, pia Zuchu (Utaniua), Alikiba (Mahaba) Jay Melody (Sawa), Mbosso (Shetani), Jux & Marioo (Nice Kiss), Darassa (No Body) , Marioo & Abbah (Lonenly), Platform & Marioo (Fall).

Tayari Kamala ameanza ziara Barani Afrika na anatarajia kuwasili Nchini Tanzania Machi 29, 2023 ambapo pamoja na mengine anayoyapa kipaumbele kwenye ziara yake ikiwemo maendeleo ya kiuchumi, mabadiliko ya tabia nchi, usalama wa chakula na ongezeko la idadi ya vijana pia anatarajia kukutana na Wasanii wa Kiafrika ikiwemo wale ambapo wapo kwenye playlist yake ili kuongea nao na kuona namna bora ya kuufikisha muziki wao kwenye masoko makubwa ya muziki Marekani.
photo-output-8-scaled.jpg
Mondi awamtaki kisa anatangaza vijana watafute Hela mademu watakuja
 
Back
Top Bottom