sina pingamizi na elimu yake kuwa mwana sayansi wa nuklia , darasani watu husoma 1+1>2 lakini ukishatoka darasani unatakiwa uifanye 1+1 > 3 kama ulisoma kwa kupata cheti hii test ya nje ya darasa wala hutakuwa na umuhimu nao .
hili ndiyo tatizo kubwa la wasomi wa Tanzania wanavyeti lakini kazi hawawezi ,kila sababu wanatowa ,mitaji , uongozi mbaya , bla bla . bla na kibaya zaidi huwawanataka kuwa viongozi wa juu ukiuliza yeye ni profesa , Dr , hebu tujiulize huyu mheshimiwa kama kasoma hiyo fani ambayo sina wasi wasi naye ,jee kaelewa ?? hapa ndiyo mbinde , huyu mheshimiwa anacheti cha kupamba ukuta tuu lakini hana uwezo wakuwa mwanasayansi , ametaka kusoma kuwa ili afike hapo alipo , ninasema hivi kwasababu ninauhakika , TANZANIA tumegunduwa URANIUM wakati mheshima yuko chuo na tukiwa gizani , ameingia madarakani tukiwa gizani atakufa atatuacha gizani na hapo ndiyo yeye atakwenda kuishi gizani huko futi sita chini ,
ANGELIKUWA ANIIJUWA FANI VIZURI BASI TUNGELIKUWA TUMESHAPATA UMEME WA BEI YA CHINI NA KUUZA EAST AFRICA NZIMA , KWENYE MITI HAKUNA WAJENZI