The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Mmmhhh!Great Thinkers.
Naamini humu kuna wajuzi na wafuatiliaji wa taarifa mbalimbali.
Anayejua aliko Dr Mpango kwa shuguli za kiserikali atujuze..
Mi mashetani yangu yamegoma yanasema hayupo kikazi anaywhere.
PM keshasema tuwe na subraGreat Thinkers.
Naamini humu kuna wajuzi na wafuatiliaji wa taarifa mbalimbali.
Anayejua aliko Dr Mpango kwa shuguli za kiserikali atujuze..
Mi mashetani yangu yamegoma yanasema hayupo kikazi anaywhere.
Ndugu yangu wewe ni mtu mzima, na lazima uelewe!Great Thinkers.
Naamini humu kuna wajuzi na wafuatiliaji wa taarifa mbalimbali.
Anayejua aliko Dr Mpango kwa shuguli za kiserikali atujuze..
Mi mashetani yangu yamegoma yanasema hayupo kikazi anaywhere.
Basi sawa watasema tuNdugu yangu wewe ni mtu mzima, na lazima uelewe!
Ukishaona jambo linafichwa bila sababu zozote za msingi basi ujue kuna siri na utata ndani yake. Hivyo kuwa mpole, mvumilivu na endelea na dua njema ili yaliyopo nyuma ya pazia yaje kuwa mema.
Sasa kukusaidia tu, haiwezekani mtu mwenye cheo kikubwa kwenye serikali awepo ndani au nje ya nchi kiofisi na watu wasijue. Hivyo za chini chini (kutoka kwa wasaidizi wake wa karibu sana) wanasema ni kweli mzee alikwenda nje ya nchi kisiri lakini kwa sasa habari zake hazijulikani na haziruhusiwi kujulikana na yoyote mpaka mamlaka zitakapo amua kutujulisha.
Eeh Mungu tuepulishie na yote mabaya yajayo.
Nchi ya kusadikika inapakana na mlima Hanang.Great Thinkers.
Naamini humu kuna wajuzi na wafuatiliaji wa taarifa mbalimbali.
Anayejua aliko Dkt. Mpango kwa shuguli za kiserikali atujuze..
Mi mashetani yangu yamegoma yanasema hayupo kikazi anaywhere.
Kuna wakati heri anakuwa mzito kuvutaSubira yavuta heri.
Hii ni shida yaani hadi afya ya makamu wa Raisi.nayo nongwa. Nchi ya hovyo sana hiiNchi ya kusadikika inapakana na mlima Hanang.