Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mujibu wa PMYupo Anachapa Kazi
Siyo kweli Mbona samia akienda kizimkazi tunajua.Mpango yuko likizo ya matibabu.
Mtu akishakuwa likizo, mambo yake yanakuwa private. Kama yuko nyumba ndogo au kama kaenda kijijini kusalimia wazee, ni masuala binafsi.
Thread closed!
Kassim Anajua Fix SanaKwa mujibu wa PM
Tanzania Tunamwamini Sana Sana Tuna Imani NayeMi namuamini Waziri Mkuu hawezi kudanganya.
Yupo nchi gani, anatibiwa nini? hali yake kwa sasa ikoje?Mpango yuko likizo ya matibabu.
Mtu akishakuwa likizo, mambo yake yanakuwa private. Kama yuko nyumba ndogo au kama kaenda kijijini kusalimia wazee, ni masuala binafsi.
Thread closed!
Ok
Dah!...Ndugu yangu wewe ni mtu mzima, na lazima uelewe!
Ukishaona jambo linafichwa bila sababu zozote za msingi basi ujue kuna siri na utata ndani yake. Hivyo kuwa mpole, mvumilivu na endelea na dua njema ili yaliyopo nyuma ya pazia yaje kuwa mema.
Sasa kukusaidia tu, haiwezekani mtu mwenye cheo kikubwa kwenye serikali awepo ndani au nje ya nchi kiofisi na watu wasijue. Hivyo za chini chini (kutoka kwa wasaidizi wake wa karibu sana) wanasema ni kweli mzee alikwenda nje ya nchi kisiri lakini kwa sasa habari zake hazijulikani na haziruhusiwi kujulikana na yoyote mpaka mamlaka zitakapo amua kutujulisha.
Eeh Mungu tuepulishie na yote mabaya yajayo.
Kwani wakisema au wasiposema kuna hasara yoyote au faida?? Watu mmekosa ishu za kufanya na kujadili mnarukia hoja zisizo na tija..mda ukifika utaongea kwani ata kwa jiwe walisema ivo ivo yaani selikali hii ya ovyo kweli wamekaa kiuwongo uwongo tuu
Una undugu na majaliwa?Yupo na afya njema, hivi karibuni ataanza kuonekana hadharani akiwa na tabasamu la kutosha.
Hayo ni mambo binafsi...Yupo nchi gani, anatibiwa nini? hali yake kwa sasa ikoje?
ni Makamu Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, afya yake siyo siri, na sisi wananchi tuna wajibu wa kujuzwa hali yake, si ombi bali ni takwa la kikatiba & sheria.Hayo ni mambo binafsi...
Vuta subra. Akipona atakuja kujieleza mwwnyewe...ni Makamu Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, afya yake siyo siri, na sisi wananchi tuna wajibu wa kujuzwa hali yake, si ombi bali ni takwa la kikatiba & sheria.
Huenda wakisema mishahara inaongezeka.Kwani wakisema au wasiposema kuna hasara yoyote au faida?? Watu mmekosa ishu za kufanya na kujadili mnarukia hoja zisizo na tija..