Makamu wa Raisi Dkt. Mpango yupo kikazi nchi gani?

Makamu wa Raisi Dkt. Mpango yupo kikazi nchi gani?

Ndugu yangu wewe ni mtu mzima, na lazima uelewe!

Ukishaona jambo linafichwa bila sababu zozote za msingi basi ujue kuna siri na utata ndani yake. Hivyo kuwa mpole, mvumilivu na endelea na dua njema ili yaliyopo nyuma ya pazia yaje kuwa mema.

Sasa kukusaidia tu, haiwezekani mtu mwenye cheo kikubwa kwenye serikali awepo ndani au nje ya nchi kiofisi na watu wasijue. Hivyo za chini chini (kutoka kwa wasaidizi wake wa karibu sana) wanasema ni kweli mzee alikwenda nje ya nchi kisiri lakini kwa sasa habari zake hazijulikani na haziruhusiwi kujulikana na yoyote mpaka mamlaka zitakapo amua kutujulisha.


Eeh Mungu tuepulishie na yote mabaya yajayo.
Dah!...
 
ni Makamu Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, afya yake siyo siri, na sisi wananchi tuna wajibu wa kujuzwa hali yake, si ombi bali ni takwa la kikatiba & sheria.
Vuta subra. Akipona atakuja kujieleza mwwnyewe...
 
Kwani wakisema au wasiposema kuna hasara yoyote au faida?? Watu mmekosa ishu za kufanya na kujadili mnarukia hoja zisizo na tija..
Huenda wakisema mishahara inaongezeka.

Inawezekana watu hawataki kujua alipo kwa sababu ni kiongozi wa uma, watu wanataka kupiga lomoni kuhusu ugonjwa wake au mauti yake.
 
Back
Top Bottom