Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Kauli mbiu ya vyura fc saivi ni "kama hakuna makandokando tutashinda" hii ni dalili ya kushindwa hii kwanni uanze kuogopa?
Kwanzia muhamasishaj waoi mpaka shabiki lao 1 tu,mm nawaambia kuwa Mungu sio mbaguzi aipendelee timu moja ipate maumivu. Hakuna cha kuomba wala kuombewa kipigo kipo pale pale nyie ombeni Mungu mshinde sie bidii na mazoezi yataifanya simba ishinde.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanzia muhamasishaj waoi mpaka shabiki lao 1 tu,mm nawaambia kuwa Mungu sio mbaguzi aipendelee timu moja ipate maumivu. Hakuna cha kuomba wala kuombewa kipigo kipo pale pale nyie ombeni Mungu mshinde sie bidii na mazoezi yataifanya simba ishinde.
Sent using Jamii Forums mobile app