Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Kumbe ni makange, hebu picha ya makange maana wengine hatuyajuiUmesoma vibaya mkuu makange sio makande
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni makange, hebu picha ya makange maana wengine hatuyajuiUmesoma vibaya mkuu makange sio makande
Sawa mkuu.Ukirud unakuta ushapikiwa boss ni wewe tu
Si ndio nimepika hapoKumbe ni makange, hebu picha ya makange maana wengine hatuyajui
ili iweje sasa😅Ujaachana nayo bado
Wap tenaHuyo ni nzi au
Su ushamaliza chuoili iweje sasa😅
Ile yenye unga halafu milaini na kapilipili kwa mbaaali kwenye kuku nyieeee🤗🤗🤗🤗 hivi huyu mpishi kaoa kweli?au mihogo😅
Hapo juu ya sufuria na ndani ya nyamaWap tena
Sijaona makende naona tu nyama ya kuku iliyotiwa viungoSi ndio nimepika hapo
Chica karibuSafi 🤭
Hamna sijaona mbonaHapo juu ya sufuria na ndani ya nyama
Ndio inatwa makangeSijaona makende naona tu nyama ya kuku iliyotiwa viungo
Asante nimekaribia nasubiri upakueChica karibu
Utakula na ugar au chipsAsante nimekaribia nasubiri upakue
Safi sana, ntachinja kuku wangu nimtengeneze makange,maana mama yoyoo hayupokitalembwa aliombaa hii
Kwanza muandae kuku wako au samaki vizuri mimi nilipata kuku wa kisasa nika mkata nusu kama hivi
View attachment 3244235
Kwanza nilimuwekea viungo
Food color
Tangawizi ya kusagwa na chumvi
View attachment 3244236
Nimamuacha kama lisaa hivi ili viungo vikolee nikaendelea na mambo mengine
Baada ya kulizika na mda na kuona kuki viungo vimekolea nikaanza kuweka mafuta kwenye sufuria baada ya kupata moto nikamuweka kuku wangu kumkaanga
View attachment 3244239
Baada ya kuona kuku amekaangika vizuri
View attachment 3244244
Baada ya hpo nikachukua vitunguu vyangu ambavyo nilivikata vizuri tu nikaweka
View attachment 3244245
Vitunguu viziungue vilegee tu kama hivi usilazimieshe mpaka vibadilike rangi itakuwa mbaya
View attachment 3244247
Nilipo lizika na uivaji wa kitunguu nikaamua kuweka hoho nilikata kwa style ya kusimama
View attachment 3244249
Baada ya hpo nikaweka karoti
View attachment 3244252
Ili ukate karot stlye hii lazima karot yako uilaze hivi na usiisimamishe
View attachment 3244253
Baada ya hapo nikaweka nyanya kidogo tu wengine wana tumia tomato past mm siipend naon ina utamu utamu so nilisaga nyanya kidog tu moja tu niliisaga wengine hawaweki kabisa nyany ni wewe na mapenzi yako mimi nilipenda hivi
View attachment 3244255
Nika koroga ili mchanganyiko uwe mzuri zaidi
View attachment 3244257
Na makange yangu yangubyalikuwa hivyo kuku ni mtamu sana unaweza ukalia chips ndizi Half american napenda sana ndizi 😂 au ugali chakula chochote kile na mlo wakonukawa mzuri sana
Mimi nimeonaHamna sijaona mbona
Mnadharau sana vyakula.Su ushamaliza chuo