KERO Makanisa kupiga kelele usiku kucha na mchana kutwa Kahama/Lugera

KERO Makanisa kupiga kelele usiku kucha na mchana kutwa Kahama/Lugera

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Jamaludin

Member
Joined
Apr 26, 2024
Posts
48
Reaction score
40
Habari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo lipo hapo karibu na Mnazi mmoja (la mabati) limekuwa nikero.

Ikifika alasiri wanaweka flash basi inapiga kelele mpaka saa 3 usiku, kisha wanapumzisha SAA moja tu, wanaweka tena saa 4-5 usiku na kupiga kelele usiku kucha mpaka saa mbili asubuhi.

Hii imekuwa ni kero endelevu kwa makanisa haya.

Naiomba Serikali kutoa tamko, watu hawalali kwa kanisa moja tuu kupiga kelele usiku kuchwa, sasa hata kama ni kuabudu sio kwa kupitiliza namna hii.
 
Seleleka nao,peleka malalamiko Yako serikalini,utasikilizwa.
20231111_000713.jpg
 
Malalamiko mengine ni ya kipuuzi na yasisikilizwe, huko ni kuingilia uhuru wa kuabudu. Watu wanamuabudu Mungu wao kwa shangwe, vifijo, nderemo na nyimbo we unaona ni kero. Sasa kila mtu akianza kuona kelele na shangwe za mwenzake kuna ambaye atabaki bila kumkera mwenzake? Hata ukienda kujenga porini kuna kelele za milio ya wanyama na ndege watakukera tu. Tujifunze kuanisha zipi kelele ni kero na zipi kelele si kelele. Kelele zingine ni ibada kwa wengine na shangwe za furaha
 
Huyo lazima atakuwa Mchungaji Mlawa lazima.
 
Wazungu na Waarabu wametuharibu Sana Sisi waafrika kwa ujinga wetu ukienda Japani au au India au China hakuna mambo ya kijinga
 
Kero Kero kero, lakini ndo wanaoliombea taifa. Watakemewa leo kesho wanarudia yaleyale.
 
Wazungu na Waarabu wametuharibu Sana Sisi waafrika kwa ujinga wetu ukienda Japani au au India au China hakuna mambo ya kijinga
huoni ubudha na uhindu? Wangefanikiwa kukamata makoloni huo upuuzi wao wa kibudha na kihindu wangewapa waafrika waliowatawala
 
Malalamiko mengine ni ya kipuuzi na yasisikilizwe, huko ni kuingilia uhuru wa kuabudu. Watu wanamuabudu Mungu wao kwa shangwe, vifijo, nderemo na nyimbo we unaona ni kero. Sasa kila mtu akianza kuona kelele na shangwe za mwenzake kuna ambaye atabaki bila kumkera mwenzake? Hata ukienda kujenga porini kuna kelele za milio ya wanyama na ndege watakukera tu. Tujifunze kuanisha zipi kelele ni kero na zipi kelele si kelele. Kelele zingine ni ibada kwa wengine na shangwe za furaha
Rafiki yangu labda hujui mini maana ya kelele, naomba nikurudishe shul kwanza, kelele ni sauti/mchanganyiko zisizo na mlengo mmoja yaana kelele zisizo na maana moja hiyo ndio maana ya kelele, sasa huwez kusema unaabud kwa kuweka flash na kuiacha ikipiga kelele, na nimeoanisha hapo juu kuwa wanaweka flash disk ndio inakesha usiku kuchwa. We aliekwambia mungu anaabudiwa kwa flash disk ninani? Au uhuru wa kuabudu nikuwek flash disk?
 
Rafiki yangu labda hujui mini maana ya kelele, naomba nikurudishe shul kwanza, kelele ni sauti/mchanganyiko zisizo na mlengo mmoja yaana kelele zisizo na maana moja hiyo ndio maana ya kelele, sasa huwez kusema unaabud kwa kuweka flash na kuiacha ikipiga kelele, na nimeoanisha hapo juu kuwa wanaweka flash disk ndio inakesha usiku kuchwa. We aliekwambia mungu anaabudiwa kwa flash disk ninani? Au uhuru wa kuabudu nikuwek flash disk?
wanaweka loud speaker kiasi cha ukelele kwa kipimo gani cha NEMC?
 
Habari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo lipo hapo karibu na Mnazi mmoja (la mabati) limekuwa nikero.

Ikifika alasiri wanaweka flash basi inapiga kelele mpaka saa 3 usiku, kisha wanapumzisha SAA moja tu, wanaweka tena saa 4-5 usiku na kupiga kelele usiku kucha mpaka saa mbili asubuhi.

Hii imekuwa ni kero endelevu kwa makanisa haya.

Naiomba Serikali kutoa tamko, watu hawalali kwa kanisa moja tuu kupiga kelele usiku kuchwa, sasa hata kama ni kuabudu sio kwa kupitiliza namna hii.
Siyo hiko tu na kwingineko ila duu kelele zimezidi
 
Inge
Malalamiko mengine ni ya kipuuzi na yasisikilizwe, huko ni kuingilia uhuru wa kuabudu. Watu wanamuabudu Mungu wao kwa shangwe, vifijo, nderemo na nyimbo we unaona ni kero. Sasa kila mtu akianza kuona kelele na shangwe za mwenzake kuna ambaye atabaki bila kumkera mwenzake? Hata ukienda kujenga porini kuna kelele za milio ya wanyama na ndege watakukera tu. Tujifunze kuanisha zipi kelele ni kero na zipi kelele si kelele. Kelele zingine ni ibada kwa wengine na shangwe za furaha
kuwa inasemwa dini ya kiislamu ungekuja na chuki zako dhidi ya uislamu kenge wewe
 
Malalamiko mengine ni ya kipuuzi na yasisikilizwe, huko ni kuingilia uhuru wa kuabudu. Watu wanamuabudu Mungu wao kwa shangwe, vifijo, nderemo na nyimbo we unaona ni kero. Sasa kila mtu akianza kuona kelele na shangwe za mwenzake kuna ambaye atabaki bila kumkera mwenzake? Hata ukienda kujenga porini kuna kelele za milio ya wanyama na ndege watakukera tu. Tujifunze kuanisha zipi kelele ni kero na zipi kelele si kelele. Kelele zingine ni ibada kwa wengine na shangwe za furaha
Tatizo ni kwamba hao wafanya Ibada huwa hawapo kanisani na hawaishi mtaa lilipo kanisa lao. Wanachokifanya ni kufungulia tu hizo kelele wao wako makwao mitaa mingine. Afadhali wangekuwepo basi tuwaone wanaabudu, kwani si watachoka tu na kuondoka zao au kupumzika? Lkn badala yake wanamtupa Dj akachafue utulivu wa mtaa wao wanakuja wanaabudu muda mfupi tu lkn kelele za miziki ni kutwa kucha
 
Back
Top Bottom