KERO Makanisa kupiga kelele usiku kucha na mchana kutwa Kahama/Lugera

KERO Makanisa kupiga kelele usiku kucha na mchana kutwa Kahama/Lugera

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Habari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo lipo hapo karibu na Mnazi mmoja (la mabati) limekuwa nikero.

Ikifika alasiri wanaweka flash basi inapiga kelele mpaka saa 3 usiku, kisha wanapumzisha SAA moja tu, wanaweka tena saa 4-5 usiku na kupiga kelele usiku kucha mpaka saa mbili asubuhi.

Hii imekuwa ni kero endelevu kwa makanisa haya.

Naiomba Serikali kutoa tamko, watu hawalali kwa kanisa moja tuu kupiga kelele usiku kuchwa, sasa hata kama ni kuabudu sio kwa kupitiliza namna hii.
Sasa kazi wanafanya saa ngapi
 
Habari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo lipo hapo karibu na Mnazi mmoja (la mabati) limekuwa nikero.

Ikifika alasiri wanaweka flash basi inapiga kelele mpaka saa 3 usiku, kisha wanapumzisha SAA moja tu, wanaweka tena saa 4-5 usiku na kupiga kelele usiku kucha mpaka saa mbili asubuhi.

Hii imekuwa ni kero endelevu kwa makanisa haya.

Naiomba Serikali kutoa tamko, watu hawalali kwa kanisa moja tuu kupiga kelele usiku kuchwa, sasa hata kama ni kuabudu sio kwa kupitiliza namna hii.
Huko hakuna misikiti?
 
Sasa kazi wanafanya saa ngapi

Yani hawa jamaa wamerudia tena na maspika yao! Nakumbuka hapo nyuma walikua wanakodi maeneo kama sikosei, wanaweka maspika yao unapigwa mziki kelele tupu eti wanaabudu, kuna siku hizo spika wajanja watapitanazo
 
Habari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo lipo hapo karibu na Mnazi mmoja (la mabati) limekuwa nikero.

Ikifika alasiri wanaweka flash basi inapiga kelele mpaka saa 3 usiku, kisha wanapumzisha SAA moja tu, wanaweka tena saa 4-5 usiku na kupiga kelele usiku kucha mpaka saa mbili asubuhi.

Hii imekuwa ni kero endelevu kwa makanisa haya.

Naiomba Serikali kutoa tamko, watu hawalali kwa kanisa moja tuu kupiga kelele usiku kuchwa, sasa hata kama ni kuabudu sio kwa kupitiliza namna hii.
Mchina kawaboost sana hawa jamaa ,,....wengine town wanatembea na ka spika akifika sehemu anakitua.....ni injili kwenda mbele
 
Malalamiko mengine ni ya kipuuzi na yasisikilizwe, huko ni kuingilia uhuru wa kuabudu. Watu wanamuabudu Mungu wao kwa shangwe, vifijo, nderemo na nyimbo we unaona ni kero. Sasa kila mtu akianza kuona kelele na shangwe za mwenzake kuna ambaye atabaki bila kumkera mwenzake? Hata ukienda kujenga porini kuna kelele za milio ya wanyama na ndege watakukera tu. Tujifunze kuanisha zipi kelele ni kero na zipi kelele si kelele. Kelele zingine ni ibada kwa wengine na shangwe za furaha
Naomba kwa ruhusa yako na kwa unyenyekevu mkubwa ikikupendeza nikuite mpumbavu
 
Habari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo lipo hapo karibu na Mnazi mmoja (la mabati) limekuwa nikero.

Ikifika alasiri wanaweka flash basi inapiga kelele mpaka saa 3 usiku, kisha wanapumzisha SAA moja tu, wanaweka tena saa 4-5 usiku na kupiga kelele usiku kucha mpaka saa mbili asubuhi.

Hii imekuwa ni kero endelevu kwa makanisa haya.

Naiomba Serikali kutoa tamko, watu hawalali kwa kanisa moja tuu kupiga kelele usiku kuchwa, sasa hata kama ni kuabudu sio kwa kupitiliza namna hii.
Cha kushangaza unaweza kuta mchungaji yeye anaishi mbali na eneo hilo na analala usingizi mnono ila kawawekea flush halafu ameenda kulala zake huko😁😁😁
 
Habari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo lipo hapo karibu na Mnazi mmoja (la mabati) limekuwa nikero.

Ikifika alasiri wanaweka flash basi inapiga kelele mpaka saa 3 usiku, kisha wanapumzisha SAA moja tu, wanaweka tena saa 4-5 usiku na kupiga kelele usiku kucha mpaka saa mbili asubuhi.

Hii imekuwa ni kero endelevu kwa makanisa haya.

Naiomba Serikali kutoa tamko, watu hawalali kwa kanisa moja tuu kupiga kelele usiku kuchwa, sasa hata kama ni kuabudu sio kwa kupitiliza namna hii.
Makanisa yawe regulated na serikali. Kelele zao zinasumbua sana. Au waende mapolini au jangwani huko. Nonsense kabisa. Mimi ji mkristo kwa ubatizo. Ila upuuzi huo siukubali hata kidogo. Ni kuvunja haki za watu.
 
Habari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo lipo hapo karibu na Mnazi mmoja (la mabati) limekuwa nikero.

Ikifika alasiri wanaweka flash basi inapiga kelele mpaka saa 3 usiku, kisha wanapumzisha SAA moja tu, wanaweka tena saa 4-5 usiku na kupiga kelele usiku kucha mpaka saa mbili asubuhi.

Hii imekuwa ni kero endelevu kwa makanisa haya.

Naiomba Serikali kutoa tamko, watu hawalali kwa kanisa moja tuu kupiga kelele usiku kuchwa, sasa hata kama ni kuabudu sio kwa kupitiliza namna hii.
Serikali itoe tamko mara ngapi wakati sheria zinazodhibiti mambo hayo zipo?

Furaha ama huzuni ya mtu haitakiwi kukera wengine!

Toa taarifa ya kero yako hiyo kwa mtendaji wa mtaa ama kitongoji afuatilie kero yako hiyo kwa hatua zaidi.
 
Uhuru wao wa kuabudu ndio ulete noise pollution
noise polution? Watu wanafanya ibada yao we unaona kelele, unadhani tukianza kusikia vibaya kelele za wanaoabudu miungu yao si itakuwa vurugu na kutokuvumilana? Vipi yale maspika kila mtaa saa saba, kumi kuna ambaye atavumilia makelele hayo? Kwenye kuabudu tuvumiliane isiwe kelele huko
 
Huku kimara na kibamba imekuwa ni too much aisee!!


Baada ya nyumba 2 ya tatu kuna kanisa.
Ni kelele tupu kwa kweli na haijulikani j pili wala siku za kazi
 
Back
Top Bottom