Rubish
mnaonaga nawapa sindano za moto hamuachi kunisakama nyie wenye dini hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnaonaga nawapa sindano za moto hamuachi kunisakama nyie wenye dini hiyo.
na wale wana flash zao kupigia watu kelele kwa abrakadabra zao, ni kero tupumnaonaga nawapa sindano za moto hamuachi kunisakama nyie wenye dini hiyo.
Mdini mkubwa wewena wale wana flash zao kupigia watu kelele kwa abrakadabra zao, ni kero tupu
Na hilo ndilo tatizo kubwaTatizo ni kwamba hao wafanya Ibada huwa hawapo kanisani na hawaishi mtaa lilipo kanisa lao. Wanachokifanya ni kufungulia tu hizo kelele wao wako makwao mitaa mingine. Afadhali wangekuwepo basi tuwaone wanaabudu, kwani si watachoka tu na kuondoka zao au kupumzika? Lkn badala yake wanamtupa Dj akachafue utulivu wa mtaa wao wanakuja wanaabudu muda mfupi tu lkn kelele za miziki ni kutwa kucha
Hata mimi huwa nashindwa kuwaelewa watu wanaolazimisha tusiohusika tusikilize mahubiri yao.Habari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo lipo hapo karibu na Mnazi mmoja (la mabati) limekuwa nikero.
Ikifika alasiri wanaweka flash basi inapiga kelele mpaka saa 3 usiku, kisha wanapumzisha SAA moja tu, wanaweka tena saa 4-5 usiku na kupiga kelele usiku kucha mpaka saa mbili asubuhi.
Hii imekuwa ni kero endelevu kwa makanisa haya.
Naiomba Serikali kutoa tamko, watu hawalali kwa kanisa moja tuu kupiga kelele usiku kuchwa, sasa hata kama ni kuabudu sio kwa kupitiliza namna hii.
udini utoke wapi kwangu? Udini uko kwenu huko mnakomuabudu allahMdini mkubwa wewe
Ungeanza kupigia kelele kwanza kwanini barabara ya kupandishia lugela kutokea kibao cha johnson ilichongwa ikaachwa hivo hivo bila kuwekewa moramHabari wana JamiiForums, napenda kuiomba Serikali kufuatilia kero na kelele inayosumbua sana maeneo ya (Kahama/Lugera/Mnazi mmoja). Kumekuwa na makanisa mengi maeneo hayo, lakini kuna kanisa ambalo lipo hapo karibu na Mnazi mmoja (la mabati) limekuwa nikero.
Ikifika alasiri wanaweka flash basi inapiga kelele mpaka saa 3 usiku, kisha wanapumzisha SAA moja tu, wanaweka tena saa 4-5 usiku na kupiga kelele usiku kucha mpaka saa mbili asubuhi.
Hii imekuwa ni kero endelevu kwa makanisa haya.
Naiomba Serikali kutoa tamko, watu hawalali kwa kanisa moja tuu kupiga kelele usiku kuchwa, sasa hata kama ni kuabudu sio kwa kupitiliza namna hii.
We nawewe akili zako, kwahio nianze kuongelea barabara nawakati kuna kero katika jamii, kati ya barabara mbovu na makelel yasio na tija kipi ni hoja ya muhimu?Ungeanza kupigia kelele kwanza kwanini barabara ya kupandishia lugela kutokea kibao cha johnson ilichongwa ikaachwa hivo hivo bila kuwekewa moram
A ujingaa ungekua wewe masaa yote makelele ungeluzika,mim mkristo lakini spendagi hata maswalaa swalaa maspika ya waislamu natamanigi wasitumie.Malalamiko mengine ni ya kipuuzi na yasisikilizwe, huko ni kuingilia uhuru wa kuabudu. Watu wanamuabudu Mungu wao kwa shangwe, vifijo, nderemo na nyimbo we unaona ni kero. Sasa kila mtu akianza kuona kelele na shangwe za mwenzake kuna ambaye atabaki bila kumkera mwenzake? Hata ukienda kujenga porini kuna kelele za milio ya wanyama na ndege watakukera tu. Tujifunze kuanisha zipi kelele ni kero na zipi kelele si kelele. Kelele zingine ni ibada kwa wengine na shangwe za furaha
mkristo gani mpuuzi namna hii? Kelele za shangwe kwa wengine ni ibada wewe, unajua ukuta wa yeriko ulianguka kwa kupigiwa kelele? Elewa maana ya falsafa kelele huwa zina maana gani katika mukhtadha wake. Ni kelele tu? Za namna gani? Kenge wewe!Ach
A ujingaa ungekua wewe masaa yote makelele ungeluzika,mim mkristo lakini spendagi hata maswalaa swalaa maspika ya waislamu natamanigi wasitumie.
Mungu sio mwenye usikuvu hafifu mpaka makelele ndo asikie ni ushamba tu.
nyie ndio wadini wakubwa, mkiguswa dini yenu mnakuwa very sensitive infiriority complex, pelekeni udini wenu kule mnakoabudu
Hapo wapo kazini, yaani wanategemea sadaka ndio waendeshe maisha yao, almost makanisa takribani yote yanategemea sadaka tuu. Yaani mchungaji anategemea sadaka ili aendeshe familia.Wanafanya kazi za uzalishaji saa ngapi hao majamaa.m
kwanini useme waislam?Kelele za nini! Si Ungepita kimya kimya, waislamu wanakukosesha raha sio?? Pole sana loth,
heri wewe usiokerwa na kelele hizoMaeneo flani ubungo kuna kanisa wanapiga matowazi yao usiku kucha lkn cha ajabu nalala usingizi mnono kabisa na wapo hatua mbili toka ninapolala.