Makanisa ya kiroho yaanze mfumo wa kuhakiki sadaka na matumizi yake kudhibiti wahubiri matapeli

Makanisa ya kiroho yaanze mfumo wa kuhakiki sadaka na matumizi yake kudhibiti wahubiri matapeli

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Najua wako wahubiri watapinga pendekezo langu lakini nipo tayari kuwajibu. Imani ya kikristo imegeuka kuwa genge la wezi. Kila kukicha anaibuka mtume au nabii na aya zake za biblia ( mostly taken out of context or not existing!) kuhamasisha kumtolea Mungu ( of course ni kumtolea huyu mhubiri!). Sasa tumalize hili tatizo kwa kuhakiki matoleo/sadaka na matumizi yake. UTOAJI HUU HOLELA UNAOWAFANYA MATAPELI KUWA MABILIONEA SI UTARATIBU WA BIBLIA. http://archives.cpajournal.com/2002/0902/nv/nv4.htm
 
Najua wako wahubiri watapinga pendekezo langu lakini nipo tayari kuwajibu. Imani ya kikristo imegeuka kuwa genge la wezi. Kila kukicha anaibuka mtume au nabii na aya zake za biblia ( mostly taken out of context or not existing!) kuhamasisha kumtolea Mungu ( of course ni kumtolea huyu mhubiri!). Sasa tumalize hili tatizo kwa kuhakiki matoleo/sadaka na matumizi yake. UTOAJI HUU HOLELA UNAOWAFANYA MATAPELI KUWA MABILIONEA SI UTARATIBU WA BIBLIA. http://archives.cpajournal.com/2002/0902/nv/nv4.htm
Hiyo haipo sababu wao ndo waanzilishi unawapangiaje
 
Kwani mnalazimishwa kwenda kwenye hayo makanisa?

Si mna jipelekaga wenyewe?

Nabii Dominick Kiboko ya wachawi aliwachana live watanzania, Kwamba ukitaka maombi ya bure kaombewe na Baba yako.

Ila ukienda kwa manabii kutafuta miujiza na uponyaji, Lazima uende na HELA. Na hili halina mjadala.

Hutaki kaa nyumbani kwako, Jiombee mwenyewe.
 
Hii
Hiyo haipo sababu wao ndo waanzilishi unawapangiaje
Naihesabu kama criminal offence. Wizi wa mchana kweupe. Utapeli ni kumuaminisha mtu product au service isiyokuwepo. Kwa nini hawachukuliwi hatua za kisheria? Au mtu akijificha kwenye kichaka cha dini mkono wa sheria haufiki huko?
 
Kwani mnalazimishwa kwenda kwenye hayo makanisa?

Si mna jipelekaga wenyewe?

Nabii Dominick Kiboko ya wachawi aliwachana live watanzania, Kwamba ukitaka maombi ya bure kaombewe na Baba yako.

Ila ukienda kwa manabii kutafuta miujiza na uponyaji, Lazima uende na HELA. Na hili halina mjadala.

Hutaki kaa nyumbani kwako, Jiombee mwenyewe.
Nakuelewa mkuu lakini ni lazima tupate suluhu ya kulinusuru taifa letu dhidi ya janga hili. HILI NI JANGA LA KITAIFA. Serikali yetu ifanye jambo. Tukisema acha wajinga wapigwe hatutakuwa tumesaidia watu. Hawa watu wadhibitiwe kwa accounting records za hayo wanayopata kutoka kwa waumini. Hope it will help.
 
Mimi naomba kuuliza je kuna regulatory body ambayo ni special kwa ajili ya taasisi za kidini? Mfano Ewura kwa nishati, Bot kwa mabenk, TCRA , LATRA etc
Kama hatuna basi tunahitaji. Maana tunakoelekea ni kubaya.
Iko taasisi inayosajili makanisa nadhani ndani ya wizara ya mambo ya ndani lakini sijawahi kuona impact yoyote kwenye huu utapeli hasa wa makanisa ya kikristo. Utapeli kila mahali. Manabii, mitume, maaskofu yaani upuuzi mtupu. Sifa mbaya kabisa kwa imani yangu ya kikristo.
 
Nakuelewa mkuu lakini ni lazima tupate suluhu ya kulinusuru taifa letu dhidi ya janga hili. HILI NI JANGA LA KITAIFA. Serikali yetu ifanye jambo. Tukisema acha wajinga wapigwe hatutakuwa tumesaidia watu. Hawa watu wadhibitiwe kwa accounting records za hayo wanayopata kutoka kwa waumini. Hope it will help.
Inabidi atokee Raisi kama Paul kagame apige marufuku hawa wachungaji uchwara na manabii uchwara.

Vinginevyo watu watazidi kupigwa sana.

Kwenye imani na makanisa waumini ndio wenye kiu ya kutapeliwa.
 
Najua wako wahubiri watapinga pendekezo langu lakini nipo tayari kuwajibu. Imani ya kikristo imegeuka kuwa genge la wezi. Kila kukicha anaibuka mtume au nabii na aya zake za biblia ( mostly taken out of context or not existing!) kuhamasisha kumtolea Mungu ( of course ni kumtolea huyu mhubiri!). Sasa tumalize hili tatizo kwa kuhakiki matoleo/sadaka na matumizi yake. UTOAJI HUU HOLELA UNAOWAFANYA MATAPELI KUWA MABILIONEA SI UTARATIBU WA BIBLIA. http://archives.cpajournal.com/2002/0902/nv/nv4.htm
Unataka wao wale wapi
 
Kwa mujibu wa katiba ya nchi kuna uhuru wa kuabudu, serikali haingilii ibada za raia wake japo kama kunahatarisha amani na usalama wa raia hapo serikali huingilia kati. Hili la abrakadabra za maji na mafuta ya upako na sadaka za ajabuajabu raia watajua wenyewe huko wanakoamini madikodiko hayo. Hata maganga ya kienyeji nayo yanawapiga wananchi wenye shida na matamanio fulani. Cha maana ni elimu tu ndio mkombozi wa kadhia zote hizo
 
Mimi naomba kuuliza je kuna regulatory body ambayo ni special kwa ajili ya taasisi za kidini? Mfano Ewura kwa nishati, Bot kwa mabenk, TCRA , LATRA etc
Kama hatuna basi tunahitaji. Maana tunakoelekea ni kubaya.
Siyo tu kwamba tunakoelekea ni kubaya ila TULISHAFIKA TAYARI PABAYA SANA. People have been robbed in plain daylight. Nimefika mahali pa kujiuliza mama ya nchi ina hofu kuwagusa
Inabidi atokee Raisi kama Paul kagame apige marufuku hawa wachungaji uchwara na manabii uchwara.

Vinginevyo watu watazidi kupigwa sana.

Kwenye imani na makanisa waumini ndio wenye kiu ya kutapeliwa.
Najua wapo wateule wetu humu wanatusoma. Chukueni hatua kulinusuru taifa letu.
 
Back
Top Bottom