Makanisa ya kiroho yaanze mfumo wa kuhakiki sadaka na matumizi yake kudhibiti wahubiri matapeli

Makanisa ya kiroho yaanze mfumo wa kuhakiki sadaka na matumizi yake kudhibiti wahubiri matapeli

Kwa mujibu wa katiba ya nchi kuna uhuru wa kuabudu, serikali haingilii ibada za raia wake japo kama kunahatarisha amani na usalama wa raia hapo serikali huingilia kati. Hili la abrakadabra za maji na mafuta ya upako na sadaka za ajabuajabu raia watajua wenyewe huko wanakoamini madikodiko hayo. Hata maganga ya kienyeji nayo yanawapiga wananchi wenye shida na matamanio fulani. Cha maana ni elimu tu ndio mkombozi wa kadhia zote hizo
I promise you hakuna elimu itakayosaidia kuwatoa watu kwenye huu utapeli wa kiimani. Ni law enforcement pekee yenye nguvu hiyo. Mamlaka ifanye kama ilivyokataza genital mutilation kwa wanawake.
 
Najua wako wahubiri watapinga pendekezo langu lakini nipo tayari kuwajibu. Imani ya kikristo imegeuka kuwa genge la wezi. Kila kukicha anaibuka mtume au nabii na aya zake za biblia ( mostly taken out of context or not existing!) kuhamasisha kumtolea Mungu ( of course ni kumtolea huyu mhubiri!). Sasa tumalize hili tatizo kwa kuhakiki matoleo/sadaka na matumizi yake. UTOAJI HUU HOLELA UNAOWAFANYA MATAPELI KUWA MABILIONEA SI UTARATIBU WA BIBLIA. http://archives.cpajournal.com/2002/0902/nv/nv4.htm
UTOAJI HUU HOLELA UNAOWAFANYA MATAPELI KUWA MABILIONEA SI UTARATIBU WA BIBLIA.📌🔨
 
UTOAJI HUU HOLELA UNAOWAFANYA MATAPELI KUWA MABILIONEA SI UTARATIBU WA BIBLIA.📌🔨
Thanks Mshana. Nimeambatanisha link ya kuonyesha accounting procedures katika masuala ya kifedha kibiblia. Siyo siku hizi mhubiri anataka utume pesa kwenye simu yake!!!!
 
Hawa manabii na mitume feki ndiyo wamevuruga utoaji sadaka. Itabidi wale wa kawaidi waishi kwa changizo tu. Utoaji sadaka ulikuwa mzuri sana huko nyuma
 
Najua wako wahubiri watapinga pendekezo langu lakini nipo tayari kuwajibu. Imani ya kikristo imegeuka kuwa genge la wezi. Kila kukicha anaibuka mtume au nabii na aya zake za biblia ( mostly taken out of context or not existing!) kuhamasisha kumtolea Mungu ( of course ni kumtolea huyu mhubiri!). Sasa tumalize hili tatizo kwa kuhakiki matoleo/sadaka na matumizi yake. UTOAJI HUU HOLELA UNAOWAFANYA MATAPELI KUWA MABILIONEA SI UTARATIBU WA BIBLIA. http://archives.cpajournal.com/2002/0902/nv/nv4.htm
Wacha watu wapigwe hela ndo akili zitawakaa sawa.
 
Back
Top Bottom