Makanisa ya kiroho yaanze mfumo wa kuhakiki sadaka na matumizi yake kudhibiti wahubiri matapeli

I promise you hakuna elimu itakayosaidia kuwatoa watu kwenye huu utapeli wa kiimani. Ni law enforcement pekee yenye nguvu hiyo. Mamlaka ifanye kama ilivyokataza genital mutilation kwa wanawake.
 
UTOAJI HUU HOLELA UNAOWAFANYA MATAPELI KUWA MABILIONEA SI UTARATIBU WA BIBLIA.πŸ“ŒπŸ”¨
 
UTOAJI HUU HOLELA UNAOWAFANYA MATAPELI KUWA MABILIONEA SI UTARATIBU WA BIBLIA.πŸ“ŒπŸ”¨
Thanks Mshana. Nimeambatanisha link ya kuonyesha accounting procedures katika masuala ya kifedha kibiblia. Siyo siku hizi mhubiri anataka utume pesa kwenye simu yake!!!!
 
Hawa manabii na mitume feki ndiyo wamevuruga utoaji sadaka. Itabidi wale wa kawaidi waishi kwa changizo tu. Utoaji sadaka ulikuwa mzuri sana huko nyuma
 
Wacha watu wapigwe hela ndo akili zitawakaa sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…