matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Unamaanisha makanisa yenye koneksheni na ulaya na Us ndio yamesajiliwa.
Haya ya wabunifu wa kitanzania hayana usajili.
Sasa sisi wenye maono ya kutokea TZ kwenda ulaya kubatiza wazungu tutatoboa kweli.
Haya ya wabunifu wa kitanzania hayana usajili.
Sasa sisi wenye maono ya kutokea TZ kwenda ulaya kubatiza wazungu tutatoboa kweli.