Makanisa yasiyosajiliwa yanazidi 3000, yenye usajili kamili hayafiki mia ' Mwakipesile,anaonewa!!

Makanisa yasiyosajiliwa yanazidi 3000, yenye usajili kamili hayafiki mia ' Mwakipesile,anaonewa!!

Unamaanisha makanisa yenye koneksheni na ulaya na Us ndio yamesajiliwa.

Haya ya wabunifu wa kitanzania hayana usajili.
Sasa sisi wenye maono ya kutokea TZ kwenda ulaya kubatiza wazungu tutatoboa kweli.
[emoji1] una point

Ova
 
Unatakq kusema haya makanisa ya manabii yanayochipua kama uyoga huko mikoani ni branch?
yataje, kama unayajua ambayo hayajasajiliwa. mbarikiwa alikuwa chini ya world alive, akafukuzwa, akawa anatafuta kufungua lake, hata alipoenda mbeya alikuwa chini ya mwamvuli tu. hakusajili. yataje hayo unayofikiri wee hayajasajiliwa. just mention them, na uweke rejista hapo tuione.
 
Back
Top Bottom