bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Asili yake Roma na ndipo makao makuu yakeRoman Catholic Tanzania haikupaswa kuitwa jina Hilo ,ingeitwa Tanzania catholic ,au wangetaka hata wangeeita dar esa alaam catholic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asili yake Roma na ndipo makao makuu yakeRoman Catholic Tanzania haikupaswa kuitwa jina Hilo ,ingeitwa Tanzania catholic ,au wangetaka hata wangeeita dar esa alaam catholic
Mbuzi mchemsho kwel ww! Mwenzio kaaandika vzr kaelezea lkn ukasema anapotosha ungemuelekeza huenda sources zake zimemuonesha hvo
[emoji1] una pointUnamaanisha makanisa yenye koneksheni na ulaya na Us ndio yamesajiliwa.
Haya ya wabunifu wa kitanzania hayana usajili.
Sasa sisi wenye maono ya kutokea TZ kwenda ulaya kubatiza wazungu tutatoboa kweli.
Unakumbuka kakobe alipokuwa anamgusa nani,akatingishwa masuala ya uraia mwenyewe akarudisha mpira kwa kipaKanisa Moja Takatifu la Mitume [emoji3]
Shehe Mwaipopo: Katoliki ndio Dini kubwa Duniani kote
yataje, kama unayajua ambayo hayajasajiliwa. mbarikiwa alikuwa chini ya world alive, akafukuzwa, akawa anatafuta kufungua lake, hata alipoenda mbeya alikuwa chini ya mwamvuli tu. hakusajili. yataje hayo unayofikiri wee hayajasajiliwa. just mention them, na uweke rejista hapo tuione.Unatakq kusema haya makanisa ya manabii yanayochipua kama uyoga huko mikoani ni branch?
nani kabisha hilo?Kwa taarifa Yako kibali Cha ministry hakikupi ruhusa ya kufungua matawi ndio maana akina lusekelo ni wao tu