matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Hayo sio ministry na hayakuasisiwa hapa kwetu yaliletwa na wamissionar nimekwambia makanisa yaani churchers hayafiki mia nisingeweza kuorodheshq yoteAcha uongo. Kwa hivyo makanisa Kama FPCT, PEFA, ELIM, Pentecostal Hollines ni Ministry?. Haya ndio makanisa ya kwanza ya kipentekoste Tanzania.
Mkuu ualikumbuka lile Kanisa lenye Makao yake Makuu mitaa ya Tegeta hapo, lililofanya tafrija fulani na kuwaalika Wazee wa Dar es salaam pamoja na Mkuu wa Mkoa pale Mlimani city?....Nionyeshe churchers yoyote ambayo asili yake ni Tanzania mkuu! Itaje hapa nitakupa evidance
Yaani maono yakitanzania hayapewi usajili ila mamisheni ya wazungu ndio yenye usajili Bado tuko chini ya ukoloni wa mzunguUnamaanisha makanisa yenye koneksheni na ulaya na Us ndio yamesajiliwa.
Haya ya wabunifu wa kitanzania hayana usajili.
Sasa sisi wenye maono ya kutokea TZ kwenda ulaya kubatiza wazungu tutatoboa kweli.
Una hojaYule wamemkomoa tu
Ova
Ministries tu hizo πππ₯Acha uongo. Kwa hivyo makanisa Kama FPCT, PEFA, ELIM, Pentecostal Hollines ni Ministry?. Haya ndio makanisa ya kwanza ya kipentekoste Tanzania.
Hili waliangalie.Yaani maono yakitanzania hayapewi usajili ila mamisheni ya wazungu ndio yenye usajili Bado tuko chini ya ukoloni wa mzungu
Kanisa Anglikana Jimbo la Tanzania asili yake ni Uingereza na Mkuu wa Kanisa ni King Charles na mh Job Ndugai ni Mshauri wa askofu mkuu wa Canterbury πππ₯Kanisa likishasajiliwa Tanzania linakuwa la Tanzania. Acha upotoshaji.
Roman Catholic Tanzania haikupaswa kuitwa jina Hilo ,ingeitwa Tanzania catholic ,au wangetaka hata wangeeita dar esa alaam catholicKanisa Anglikana Jimbo la Tanzania asili yake ni Uingereza na Mkuu wa Kanisa ni King Charles na mh Job Ndugai ni Mshauri wa askofu mkuu wa Canterbury πππ₯
Usipoelewa hapo ndio basi tena bwashee!
Usahihi ni upi"Ministry ni huduma inayomilikiwa na mtu Mmoja au ni maono ya mtu Mmoja lakini churchers ni missionaries ni taasisi ambazo asilimia kubwa zimetoka ng'ambo..ministry TU ndizi utawakuta waasisi wake wametoka rukwa ,mbeya na mikoa mingine"
Unapotosha
Umeenda mbali angalia usigonge mfupaSuguye alifungiwa akamilishe usajili alipokamilisha akafunguliwa, mwingine aliwatoa kafara wachaga ili apande daraja hata ndani hakukaa
Wawe wanaona aibu waache hukumu za dabo standard kwa makosa yanayofanana
Unatakq kusema haya makanisa ya manabii yanayochipua kama uyoga huko mikoani ni branch?hiyo taarifa umeitoa wapi, weka chanzo. unachotakiwa kujua ni kwamba, yapo makanisa madogomadogo huko mikoani ambayo unawezafikiri hayajasajiliwa labda kwasababu haujawahi kuyasikia, kumbe ni branch tu, makao yao makuu yamesajiliwa. shida ya mwakipesile aliachana na main church, akataka kuanzisha kanisa lake jipya, he was not a branch of any of those, kilikuwa ni kitu ambacho hakijawahi kusajiliwa, na zaidi ya yote, aina ya mafundisho yake yalikuwa yanahatarisha ustawi wa jamii kabisa. angelijua angebaki tu kwenye uimbaji huko ndiko Mungu alimwitia, kule alikolaimisha kwenye kikosi kazi (meaning task force), kilikuwa kikundi cha kihuni tu.
Mbuzi mchemsho kwel ww! Mwenzio kaaandika vzr kaelezea lkn ukasema anapotosha ungemuelekeza huenda sources zake zimemuonesha hvoGoogle hizo definitions
Kanisa Moja Takatifu la Mitume πRoman Catholic Tanzania haikupaswa kuitwa jina Hilo ,ingeitwa Tanzania catholic ,au wangetaka hata wangeeita dar esa alaam catholic