Makao Makuu ya Bunge la Jumuiya ya Madola Afrika Kujengwa Dodoma

Makao Makuu ya Bunge la Jumuiya ya Madola Afrika Kujengwa Dodoma

Naomba serikali ya mama Samia iseme ijengwe arusha kama kweli tunataka arushq mji wa mkakati kwanza arusha ina advantages nyingi sana.
Arusha tayari kuna mashirika mengi ya kimataifa,mhakama africa,eac hq,posta africa,UN court etc
Arusha kuna hotels nyingi na kumbi za mkutao za kimataifa
Arusha hub ya utalii hivyo hilo bunge la madolla ingesaidia kuongeza utalii kama sera ya Dkt Samia
Muda mwingine viongoz wetu tusifanye siasa

Maamuzi haya mazito wanafanya kwa kificho kumfurahisha mkubwa, lakini tukiangalia kwa upana masuala mtambuka zaidi ya ofisi, kuna Royal tour inayotakiwa kuunganishwa kimkakati na hili la kupeleka Arusha ofisi za Commonwealth ingesapoti sana mkakati wa mambo mengi.
 
Maamuzi haya mazito wanafanya kwa kificho kumfurahisha mkubwa, lakini tukiangalia kwa upana masuala mtambuka zaidi ya ofisi, kuna Royal tour inayotakiwa kuunganishwa kimkakati na hili la kupeleka Arusha ofisi za Commonwealth ingesapoti sana mkakati wa mambo mengi.
Kwani hujui nchi kama kusini Kuna vivutio vingi vya utalii?? Royal Tour siyo Kwa ajili ya Kaskazini. Kusini Kuna hifadhi vivutio vingi sana kuanzia Ruaha, Selous/Nyerere National Park, Mikumi, Udzungwa, Kituo, Katavi National Park n.k na Serikali unaendelea na ujenzi mkubwa wa kituo Cha Utalii Iringa.

Acheni taasisi hizi kubwa za Kimataifa zitawanyike badala ya kuwa Sehemu Moja ya nchi. Na Dodoma panahitaji hizo fursa za Wageni.

Dodoma kunajengwa Msalato Internation Airport na OFISI mbalimbali za Balozi.
 
taasisi hizi kubwa za Kimataifa

Taasisi za kimataifa ni tofauti na za kitaifa, za kitaifa kweli inabidi zisambazwe kikanda badala ya utasikia makao makuu ya bandari yanahamishiwa Dodoma kufuata wanasiasa wakuu wa serikali.

Nairobi taasisi zote za kimataifa zinabanana pale kwa makusudi makubwa ya kimkakati ya serikali ya Kenya kitaifa, ili wafanyakazi hao wa kinataifa,wawe na mazingira rafiki ya kikazi na nje ya kazi.

The diplomatic center of Kenya’s capital city of Nairobi, Gigiri is home to one of the largest expat communities in Africa.

The exclusive neighborhood features not only the United Nations headquarters in Africa but also the U.S. Embassy and the embassies of numerous other nations, including Botswana, Norway, Canada, Italy, Sweden, Morocco and Brazil.

Culturally diverse, cosmopolitan and sophisticated, Gigiri is an oasis of luxury. Gigiri is a small district in the neighborhood of Nairobi, Kenya, near Karura National Park. It is famous as a home for the local United Nations Environmental Programme. The United Nations Office at Nairobi (UNON) is located near the Karura Forest in Gigiri. The district is a large local expatriate village. Gigiri is also home to The Village Market, a large shopping and entertainment complex that opened in 1995 and located at Limuru Road, 6 miles from Nairobi city center. It has a total retail floor area of 225,713 square feet, 3 floors, and 150 stores. It is an open-air market with waterfalls, plants, and gardens and hosts many activities and events. There is a 5-star hotel, the Tribe Hotel, adjacent to the shopping center. Other attractions in and around the district are UN Recreational Centre, Sigiria - Karura Forest, Amani Garden, Ridgeways Pine Creek Gardens, and a few gyms
 
Taasisi za kimataifa ni tofauti na za kitaifa, za kitaifa kweli inabidi zisambazwe kikanda badala ya utasikia makao makuu ya bandari yanahamishiwa Dodoma kufuata wanasiasa wakuu wa serikali.

Nairobi taasisi zote za kimataifa zinabanana pale kwa makusudi makubwa ya kimkakati ya serikali ya Kenya kitaifa, ili wafanyakazi hao wa kinataifa,wawe na mazingira rafiki ya kikazi na nje ya kazi.
Wewe hao watu wa Kimataifa ndo wamekuambia mazingira rafiki yapo Arusha??? Mbona wazungu wapo hadi Zimbabwe na Namibia ambapo ni jangwani kuliko Dodoma? Zile Ofisi za Mabalozi zilizojazana kule Dar kwenye joto wamefuata mazingira mazuri yapi ambayo Dodoma hamna??

Lakini pia walioamua kujenga Ofisi za Jumuiya ya Madola kuwa Dodoma ni Tanzania au wenye Taasisi yao??
 
kujenga Ofisi za Jumuiya ya Madola kuwa Dodoma ni Tanzania au wenye Taasisi yao??

Ni uamuzi usio wa busara, tunaamini Commonwealth wanasoma maoni huru kupitia jukwaa hili tajwa Tanzania na ulimwenguni la Jamiiforums.

Na baada ya tafakuri pana na ya kina kwa kujumuisha maoni ya gumzo hili kubwa miongoni mwa jamii , watatoa uamuzi sahihi na kutekeleza.
 
Ni uamuzi usio wa busara, tunaamini Commonwealth wanasoma maoni huru kupitia jukwaa hili tajwa Tanzania na ulimwenguni la Jamiiforums.

Na baada ya tafakuri pana na ya kina kwa kujumuisha maoni ya gumzo hili kubwa miongoni mwa jamii , watatoa uamuzi sahihi na kutekeleza.
Hii imeenda. Hadi zabuni ya kuanza ujenzi imeshatangazwa.
 
Hii imeenda. Hadi zabuni ya kuanza ujenzi imeshatangazwa.

From its establishment in 1980s the Association’s headquarters was in Harare, Zimbabwe until when Zimbabwe lost its membership to CHOGM in the year 2003 and automatically losing its membership to the CPA in its entirety. Accordingly, the Region decided to move the Secretariat to the Parliament of Tanzania.


View: https://m.youtube.com/watch?v=YthstIjnXW0

During the 35th Regional Conference held in August 2004 in Swaziland, the Annual General Meeting decided to accept the offer from the National Assembly of Tanzania to be the host of the Regional Secretariat.

Furthermore, the meeting appointed the then Clerk of the National Assembly of Tanzania, Judge Kipenka Msemembo Mussa as Regional Secretary and The National Assembly of Tanzania, as its headquarters. He became the 2nd Regional Secretary followed by Mr. Damian L. Foka, Dr. Thomas D. Kashililah and to-date, Mr. Stephen Kagaigai is its 5th Regional Secretary

More info 2024
The CPA Africa Regional Secretariat is based in the Parliament of Tanzania.

The current CPA Africa Regional Secretary is:

Mr Baraka Ildephonce Leonard

Clerk of the National Assembly of Tanzania

P.O. Box 9133, Dar es Salaam,Tanzania
 
Toka maktaba:

14 November 2022
ZIMBABWE YALILIA KUREJEA JUMUIYA YA MADOLA BAADA YA KUTIMULIWA


View: https://m.youtube.com/watch?v=XCSLukBbofY

14 November 2022
A commonwealth assessment team is in Zimbabwe for a week-long working visit looking at the country's readiness to rejoin the Commonwealth. The delegation is led by the Commonwealth Assistant Secretary-General, Professor Luis Franceschi. He's expected to engage with several stakeholders in the country's political, economic and social spheres. They will then report back to the Commonwealth.
 
Hapo hapo Dodoma panatosha..... waendelee kuukuza mji...
 
Makao Makuu ya Bunge la Jumuiya ya Madola,Common Wealth Kanda ya Afrika kujeng a Dodoma.👇👇

Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA), Bi. Salome Makamba, ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Jumuiya ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika, ametangaza kuwa makao makuu ya CPA Kanda ya Afrika yataanza kujengwa Dodoma, na maandalizi ya ujenzi yanaendelea.

Akizungumza wakati wa mahojiano na vyombo vya habari baada ya kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa 53 wa CPA Kanda ya Afrika jijini Arusha, Bi. Makamba alisema moja ya maamuzi muhimu yalikuwa ujenzi wa makao makuu , ambapo mchakato wa kumpata mkandarasi unaendelea na ujenzi utagharimu zaidi ya dola milioni 30 za Marekani.

Aidha, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CPA Kanda ya Afrika, Dk. Alice Kaijage, alieleza kuwa mada muhimu zilizojadiliwa katika mkutano huo wa CPA ni pamoja na mabadiliko ya tabianchi na ajira kwa vijana.

My Take: Ni habari njema Kwa Tanzania na Dodoma ila Mimi binafsi Nina maoni tofauti. Arusha ndio Jiji ambalo Limeteuliwa Kimkakati kuwa Makao Makuu ya Taasisi za Kimataifa Kwa Tanzania so nashauri Bunge la Jumuiya ya Madola lingejengwa huko.

Dodoma iendelee kuwa Makao Makuu ya Nchi na iendelee na ujenzi wa miundombinu ya Mji Mkuu.

============

ARUSHA: THE Commonwealth Parliamentary Association (CPA) Africa Region Headquarters is set to be constructed in Dodoma as preparations for its commencement are underway.

This was revealed by Special Seats Member of Parliament (CHADEMA), Ms Salome Makamba, who also serves as a member of the Executive Committee of the Commonwealth Parliamentary Association (CPA) Africa Region.
She made the announcement during an interview with the media following the conclusion of the 53rd CPA Africa Region Annual General Conference in Arusha over the weekend.

Ms Makamba said one of the most significant outcomes of Saturday’s session was the decision to construct the Commonwealth Africa Region headquarters in Dodoma.

“The Commonwealth Africa Region headquarters will be built in Dodoma and the process of selecting a contractor is currently underway. The construction is estimated to cost more than 30 million US dollars.”

She further expressed that this is great news for Tanzania, a country renowned for its hospitality.

“Hosting such meetings can be costly, but today we are seeing the fruits of our investment in hospitality. I commend President Samia Suluhu Hassan for continuing to support the CPA Africa Region with hospitality funds. I know significant expenses are involved, but now we are seeing the positive results of this investment,” she added.

Special Seats Member of Parliament (CCM) and member of the CPA Africa Region Executive Committee, Dr Alice Kaijage, also shared insights from the meeting. She mentioned that key topics of discussion included climate change and youth employment.

Dr Kaijage praised Tanzania’s efforts in addressing climate change, stating that the initiatives led by President Samia Suluhu Hassan’s government serve as an excellent example for other CPA Africa Region member states.
“Our sixth phase government, under President Dr Samia Suluhu Hassan, has demonstrated effective leadership in dealing with climate change. This includes educating communities on how to mitigate and adapt to its impacts,” said Dr Kaijage.

She added that the meeting commended Tanzania’s proactive approach to climate change, highlighting the importance of early education for communities in addressing this global issue.

During the conference’s conclusion, over 20 resolutions were presented by the Chairperson of the Resolutions Committee, Ms Nontembeko Boyce, who is also the Speaker of the KwaZulu Natal Lower House in South Africa. These resolutions were approved by all delegates.

The resolutions included urging African governments to implement policy reforms that integrate climate change strategies into all levels of governance, encouraging community involvement through public awareness campaigns and promoting cross-border initiatives to tackle shared climate challenges such as desertification, droughts and floods.

Daily News
Wanajosea kutojenga Arusha!
 
Ni uamuzi usio wa busara, tunaamini Commonwealth wanasoma maoni huru kupitia jukwaa hili tajwa Tanzania na ulimwenguni la Jamiiforums.

Na baada ya tafakuri pana na ya kina kwa kujumuisha maoni ya gumzo hili kubwa miongoni mwa jamii , watatoa uamuzi sahihi na kutekeleza.
Mimi sasa nimejua hii ichi kuendelea ni kazi sana hatujui nini tuna panga kwenye kilq mkoa.laiti tungezingatia economic strategies ya kila eneo tungepiga hatua sana lakin awa wanasiasi wanatuangusha sana.ndio hao hao walishauri airport ijengwe chatto.
 
Makao Makuu ya Bunge la Jumuiya ya Madola,Common Wealth Kanda ya Afrika kujeng a Dodoma.👇👇

Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA), Bi. Salome Makamba, ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Jumuiya ya Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika, ametangaza kuwa makao makuu ya CPA Kanda ya Afrika yataanza kujengwa Dodoma, na maandalizi ya ujenzi yanaendelea.

Akizungumza wakati wa mahojiano na vyombo vya habari baada ya kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa 53 wa CPA Kanda ya Afrika jijini Arusha, Bi. Makamba alisema moja ya maamuzi muhimu yalikuwa ujenzi wa makao makuu , ambapo mchakato wa kumpata mkandarasi unaendelea na ujenzi utagharimu zaidi ya dola milioni 30 za Marekani.

Aidha, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CPA Kanda ya Afrika, Dk. Alice Kaijage, alieleza kuwa mada muhimu zilizojadiliwa katika mkutano huo wa CPA ni pamoja na mabadiliko ya tabianchi na ajira kwa vijana.

My Take: Ni habari njema Kwa Tanzania na Dodoma ila Mimi binafsi Nina maoni tofauti. Arusha ndio Jiji ambalo Limeteuliwa Kimkakati kuwa Makao Makuu ya Taasisi za Kimataifa Kwa Tanzania so nashauri Bunge la Jumuiya ya Madola lingejengwa huko.

Dodoma iendelee kuwa Makao Makuu ya Nchi na iendelee na ujenzi wa miundombinu ya Mji Mkuu.

============

ARUSHA: THE Commonwealth Parliamentary Association (CPA) Africa Region Headquarters is set to be constructed in Dodoma as preparations for its commencement are underway.

This was revealed by Special Seats Member of Parliament (CHADEMA), Ms Salome Makamba, who also serves as a member of the Executive Committee of the Commonwealth Parliamentary Association (CPA) Africa Region.
She made the announcement during an interview with the media following the conclusion of the 53rd CPA Africa Region Annual General Conference in Arusha over the weekend.

Ms Makamba said one of the most significant outcomes of Saturday’s session was the decision to construct the Commonwealth Africa Region headquarters in Dodoma.

“The Commonwealth Africa Region headquarters will be built in Dodoma and the process of selecting a contractor is currently underway. The construction is estimated to cost more than 30 million US dollars.”

She further expressed that this is great news for Tanzania, a country renowned for its hospitality.

“Hosting such meetings can be costly, but today we are seeing the fruits of our investment in hospitality. I commend President Samia Suluhu Hassan for continuing to support the CPA Africa Region with hospitality funds. I know significant expenses are involved, but now we are seeing the positive results of this investment,” she added.

Special Seats Member of Parliament (CCM) and member of the CPA Africa Region Executive Committee, Dr Alice Kaijage, also shared insights from the meeting. She mentioned that key topics of discussion included climate change and youth employment.

Dr Kaijage praised Tanzania’s efforts in addressing climate change, stating that the initiatives led by President Samia Suluhu Hassan’s government serve as an excellent example for other CPA Africa Region member states.
“Our sixth phase government, under President Dr Samia Suluhu Hassan, has demonstrated effective leadership in dealing with climate change. This includes educating communities on how to mitigate and adapt to its impacts,” said Dr Kaijage.

She added that the meeting commended Tanzania’s proactive approach to climate change, highlighting the importance of early education for communities in addressing this global issue.

During the conference’s conclusion, over 20 resolutions were presented by the Chairperson of the Resolutions Committee, Ms Nontembeko Boyce, who is also the Speaker of the KwaZulu Natal Lower House in South Africa. These resolutions were approved by all delegates.

The resolutions included urging African governments to implement policy reforms that integrate climate change strategies into all levels of governance, encouraging community involvement through public awareness campaigns and promoting cross-border initiatives to tackle shared climate challenges such as desertification, droughts and floods.

Daily News
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom