Makao makuu ya chedema taifa kuhamishiwa Arusha

Makao makuu ya chedema taifa kuhamishiwa Arusha

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
lengo ni kua na walau ngome maalumu ambayo itakua inatuhakikishia viti viwili au vitatu vya ubunge katika kila uchaguzi uwe wa aina yoyote ile.

hivi sasa unaweza kusema ngome ya Chadema kisiasa ni wapi, yakutuhakikishia hata jimbo moja tu kwamba tutashinda? wapi nitajie..
alidokeza mnyetisha wa tetesi hii kwa kujiamini sana..

mwenyekiti Taifa,
anawafuasi wengi wa uhakika na wakuaminika kaskazini, hasa katika mkoa wa Arusha, lakini pia Kilimanjaro na Manyara anakubalika sana na chama kinaweza kujihakikishia kitu kule..
na huko ndiko chadema inawafuasi wengi, wanachama wengi, mashabiki wengi na wapiga kura wengi zaidi ya mahali pengine popote nchini...

tayari pendekezo hili limeshawasiishwa na mjumbe moja mwandamizi wa chama, kanda, tunasubiri vikao vya kamati kuu vikae, pendekezo lipokelewe, lijadiliwe na baadae mkutano mkuu kutoa kauli ya mwisho na kuamua itakavyokua..

ofisi za kanda,
ndiyo zipo, lakini kwakweli hazijakisaidia sana chama vya kutosha.

Dar es salaam, Zanzibar na Dodoma zitabaki kua ofisi ndogo ndogo za makao makuu, lakini pia ndizo zitakazokua ofisini kuu za kanda husika..
alihitimisha mnyetisha wa tetesi hii...

kisiasa,
Je, pendekezo hili likiafikiwa na mkutano mkuu, linaweza kuwasaidia chadema katika kujijengea ngome imara na ya uhakika sehemu fulani nchini, huko tunapoelekea na ikawa na sura kama ilivyo ACT Pemba?

au halina tija, ni kupoteza wakati na pesa tu,
bora waconcentrate na issue nyingine za kukijenga chama chao?🐒
 
lengo ni kua na walau ngome maalumu ambayo itakua inatuhakikishia viti viwili au vitatu vya ubunge katika kila uchaguzi uwe wa aina yoyote ile.

hivi sasa unaweza kusema ngome ya Chadema kisiasa ni wapi, yakutuhakikishia hata jimbo moja tu kwamba tutashinda? wapi nitajie..
alidokeza mnyetisha wa tetesi hii kwa kujiamini sana..

mwenyekiti Taifa,
anawafuasi wengi wa uhakika na wakuaminika kaskazini, hasa katika mkoa wa Arusha, lakini pia Kilimanjaro na Manyara anakubalika sana na chama kinaweza kujihakikishia kitu kule..
na huko ndiko chadema inawafuasi wengi, wanachama wengi, mashabiki wengi na wapiga kura wengi zaidi ya mahali pengine popote nchini...

tayari pendekezo hili limeshawasiishwa na mjumbe moja mwandamizi wa chama, kanda, tunasubiri vikao vya kamati kuu vikae, pendekezo lipokelewe, lijadiliwe na baadae mkutano mkuu kutoa kauli ya mwisho na kiamua itakavyokua..

ofisi za kanda,
ndiyo zipo, lakini hazijakisaidia chama vya kutosha.

Dar es salaam, Zanzibar na Dodoma zitabaki kua ofisi ndogo ndogo za makao makuu, lakini pia ndizo zitakazokua ofisini kuu za kanda husika..
alihitimisha mnyetisha wa tetesi hii...

kisiasa,
Je, pendekezo hili likiafikiwa na mkutano mkuu, linaweza kuwasaidia chadema katika kujijengea ngome imara na ya uhakika sehemu fulani nchini, huko tunapoelekea na ikawa na sura kama ilivyo ACT Pemba?

au halina tija, ni kupoteza wakati na pesa tu,
bora waconcentrate na issue nyingine za kukijenga chama chao?🐒
Kwanini ngome sio singida ambako baharia alijichimbia huko week mbili anachoma mkaa!
 
Acha utoto basi
gentleman hiki nacho kinakupa kimuhemuhe kweli?

au kwa vile mimi mnyonge nisiestahili ndio nimeripoti nilichodokezwa cha chini ya Capet?🐒

na kwani kuna ubaya ganie, mbona hata serikali imehamia Dodoma 🐒
 
lengo ni kua na walau ngome maalumu ambayo itakua inatuhakikishia viti viwili au vitatu vya ubunge katika kila uchaguzi uwe wa aina yoyote ile.

hivi sasa unaweza kusema ngome ya Chadema kisiasa ni wapi, yakutuhakikishia hata jimbo moja tu kwamba tutashinda? wapi nitajie..
alidokeza mnyetisha wa tetesi hii kwa kujiamini sana..

mwenyekiti Taifa,
anawafuasi wengi wa uhakika na wakuaminika kaskazini, hasa katika mkoa wa Arusha, lakini pia Kilimanjaro na Manyara anakubalika sana na chama kinaweza kujihakikishia kitu kule..
na huko ndiko chadema inawafuasi wengi, wanachama wengi, mashabiki wengi na wapiga kura wengi zaidi ya mahali pengine popote nchini...

tayari pendekezo hili limeshawasiishwa na mjumbe moja mwandamizi wa chama, kanda, tunasubiri vikao vya kamati kuu vikae, pendekezo lipokelewe, lijadiliwe na baadae mkutano mkuu kutoa kauli ya mwisho na kiamua itakavyokua..

ofisi za kanda,
ndiyo zipo, lakini hazijakisaidia chama vya kutosha.

Dar es salaam, Zanzibar na Dodoma zitabaki kua ofisi ndogo ndogo za makao makuu, lakini pia ndizo zitakazokua ofisini kuu za kanda husika..
alihitimisha mnyetisha wa tetesi hii...

kisiasa,
Je, pendekezo hili likiafikiwa na mkutano mkuu, linaweza kuwasaidia chadema katika kujijengea ngome imara na ya uhakika sehemu fulani nchini, huko tunapoelekea na ikawa na sura kama ilivyo ACT Pemba?

au halina tija, ni kupoteza wakati na pesa tu,
bora waconcentrate na issue nyingine za kukijenga chama chao?🐒
Wewe utaacha lini dharau,ila inaweza kuwa sii kosa lako ila ni mazoea ya uchawa🤭
 
lengo ni kua na walau ngome maalumu ambayo itakua inatuhakikishia viti viwili au vitatu vya ubunge katika kila uchaguzi uwe wa aina yoyote ile.

hivi sasa unaweza kusema ngome ya Chadema kisiasa ni wapi, yakutuhakikishia hata jimbo moja tu kwamba tutashinda? wapi nitajie..
alidokeza mnyetisha wa tetesi hii kwa kujiamini sana..

mwenyekiti Taifa,
anawafuasi wengi wa uhakika na wakuaminika kaskazini, hasa katika mkoa wa Arusha, lakini pia Kilimanjaro na Manyara anakubalika sana na chama kinaweza kujihakikishia kitu kule..
na huko ndiko chadema inawafuasi wengi, wanachama wengi, mashabiki wengi na wapiga kura wengi zaidi ya mahali pengine popote nchini...

tayari pendekezo hili limeshawasiishwa na mjumbe moja mwandamizi wa chama, kanda, tunasubiri vikao vya kamati kuu vikae, pendekezo lipokelewe, lijadiliwe na baadae mkutano mkuu kutoa kauli ya mwisho na kiamua itakavyokua..

ofisi za kanda,
ndiyo zipo, lakini hazijakisaidia chama vya kutosha.

Dar es salaam, Zanzibar na Dodoma zitabaki kua ofisi ndogo ndogo za makao makuu, lakini pia ndizo zitakazokua ofisini kuu za kanda husika..
alihitimisha mnyetisha wa tetesi hii...

kisiasa,
Je, pendekezo hili likiafikiwa na mkutano mkuu, linaweza kuwasaidia chadema katika kujijengea ngome imara na ya uhakika sehemu fulani nchini, huko tunapoelekea na ikawa na sura kama ilivyo ACT Pemba?

au halina tija, ni kupoteza wakati na pesa tu,
bora waconcentrate na issue nyingine za kukijenga chama chao?🐒
Mnatumia nguvu kubwa lakini bila akili kueneza uzushi ambao mwisho wa siku mnavuna aibu.
 
Wewe utaacha lini dharau,ila inaweza kuwa sii kosa lako ila ni mazoea ya uchawa🤭
kwan kuhamisha makao makuu nalo ni Tatizo ndrugu zango? mbona ni issue ya kawaaida tu..

ama kuna la ziada zaidi ya hilo gentleman 🐒
 
Kwanini ngome sio singida ambako baharia alijichimbia huko week mbili anachoma mkaa!
Chadema Singida Ina wanachama wengi kuliko Kilimanjaro Kwa mwenyekiti au Arusha?

Lisu Singida hajajenga Chadema iwe na wanachama wengi singida anataka kudandia dandia tu kutegemea wenzie wametengeneza wanachama wengi Kilimanjaro Kwa Mbowe,Arusha.kwa Godbless Lema na Mbeya Kwa Sugu au mara Kwa Heche

Singida zaidi ya kuuza mafuta ya alizeti hakuna wanachama wengi wa Chadema
 
Mnatumia nguvu kubwa lakini bila akili kueneza uzushi ambao mwisho wa siku mnavuna aibu.
aibu kwenye nini sasa mkuu,
mkutano mkuu wakiridhia ni sawa wasiporidhia ni sawa pia aibu inatoka wapi tena kwenye mambo haya msingi ya Chadema kitaifa, gentleman 🐒
 
lengo ni kua na walau ngome maalumu ambayo itakua inatuhakikishia viti viwili au vitatu vya ubunge katika kila uchaguzi uwe wa aina yoyote ile.

hivi sasa unaweza kusema ngome ya Chadema kisiasa ni wapi, yakutuhakikishia hata jimbo moja tu kwamba tutashinda? wapi nitajie..
alidokeza mnyetisha wa tetesi hii kwa kujiamini sana..

mwenyekiti Taifa,
anawafuasi wengi wa uhakika na wakuaminika kaskazini, hasa katika mkoa wa Arusha, lakini pia Kilimanjaro na Manyara anakubalika sana na chama kinaweza kujihakikishia kitu kule..
na huko ndiko chadema inawafuasi wengi, wanachama wengi, mashabiki wengi na wapiga kura wengi zaidi ya mahali pengine popote nchini...

tayari pendekezo hili limeshawasiishwa na mjumbe moja mwandamizi wa chama, kanda, tunasubiri vikao vya kamati kuu vikae, pendekezo lipokelewe, lijadiliwe na baadae mkutano mkuu kutoa kauli ya mwisho na kiamua itakavyokua..

ofisi za kanda,
ndiyo zipo, lakini hazijakisaidia chama vya kutosha.

Dar es salaam, Zanzibar na Dodoma zitabaki kua ofisi ndogo ndogo za makao makuu, lakini pia ndizo zitakazokua ofisini kuu za kanda husika..
alihitimisha mnyetisha wa tetesi hii...

kisiasa,
Je, pendekezo hili likiafikiwa na mkutano mkuu, linaweza kuwasaidia chadema katika kujijengea ngome imara na ya uhakika sehemu fulani nchini, huko tunapoelekea na ikawa na sura kama ilivyo ACT Pemba?

au halina tija, ni kupoteza wakati na pesa tu,
bora waconcentrate na issue nyingine za kukijenga cha

lengo ni kua na walau ngome maalumu ambayo itakua inatuhakikishia viti viwili au vitatu vya ubunge katika kila uchaguzi uwe wa aina yoyote ile.

hivi sasa unaweza kusema ngome ya Chadema kisiasa ni wapi, yakutuhakikishia hata jimbo moja tu kwamba tutashinda? wapi nitajie..
alidokeza mnyetisha wa tetesi hii kwa kujiamini sana..

mwenyekiti Taifa,
anawafuasi wengi wa uhakika na wakuaminika kaskazini, hasa katika mkoa wa Arusha, lakini pia Kilimanjaro na Manyara anakubalika sana na chama kinaweza kujihakikishia kitu kule..
na huko ndiko chadema inawafuasi wengi, wanachama wengi, mashabiki wengi na wapiga kura wengi zaidi ya mahali pengine popote nchini...

tayari pendekezo hili limeshawasiishwa na mjumbe moja mwandamizi wa chama, kanda, tunasubiri vikao vya kamati kuu vikae, pendekezo lipokelewe, lijadiliwe na baadae mkutano mkuu kutoa kauli ya mwisho na kiamua itakavyokua..

ofisi za kanda,
ndiyo zipo, lakini hazijakisaidia chama vya kutosha.

Dar es salaam, Zanzibar na Dodoma zitabaki kua ofisi ndogo ndogo za makao makuu, lakini pia ndizo zitakazokua ofisini kuu za kanda husika..
alihitimisha mnyetisha wa tetesi hii...

kisiasa,
Je, pendekezo hili likiafikiwa na mkutano mkuu, linaweza kuwasaidia chadema katika kujijengea ngome imara na ya uhakika sehemu fulani nchini, huko tunapoelekea na ikawa na sura kama ilivyo ACT Pemba?

au halina tija, ni kupoteza wakati na pesa tu,
bora waconcentrate na issue nyingine za kukijenga chama chao?

kwan kuhamisha makao makuu nalo ni Tatizo ndrugu zango? mbona ni issue ya kawaaida tu..

ama kuna la ziada zaidi ya hilo gentleman 🐒
Wahamishie kijijini kwa mwenyekiti kabisa
 
kwan kuhamisha makao makuu nalo ni Tatizo ndrugu zango? mbona ni issue ya kawaaida tu..

ama kuna la ziada zaidi ya hilo gentleman 🐒
Hiyo kuambulia,umesahau kuwa uporaji ule wa fomu,kukimbia ofisi,kesi uchara na hata teka za washindani,wakati mwingine uache ndoto za asubuhi kama hutaki kuchoma shuka zako🤭
 
Hiyo kuambulua,umesahau kuwa uporaji ule wa fomu,kukimbia ofisi,kesi uchara na hata teka za washindani,wakati mwingine uache ndoto za asubuhi kama hutaki kuchoma shuka zako🤭
tuliza mihemko kidogo bas gentleman, relax bana 🐒

hii ngoma hata hatua ya mwanzo haijapita, tusubiri vikao tuone imo ama haimo,
lakini pia kuhamisha makao makuu ni jambo la kawaaida tu mbona 🐒

serikali yenyewe imehamia Dodoma sembuse chadema Arusha ndrugu zango 🐒
 
Back
Top Bottom