Makao Makuu ya EAC Makonda hoi bin taabani.

Makao Makuu ya EAC Makonda hoi bin taabani.

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.

Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.

Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.

Ngongo kwasasa Makuyuni.
 
Makonda hadi sasa kafanya kazi ya kutukuka kabisa Arusha.
Natumaini ataendelea kutatua migogolo ya ardhi kwenye maeneo ya Monduli kama Mbunge Lowasa alivyomuomba wakati anaripoti Arusha.Pia migogolo ya Ngolongoro.
Tulia dawa ikuingie Bashite yuko hoi bin taaban Grand Melia hawezi hata kuchamba achilia mbali kwenda ofisini.
 
Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.

Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.

Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.

Ngongo kwasasa Makuyuni.
Hivi siku hizi unaletwa jf!?

Unatia aibu
 
Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.

Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.

Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.

Ngongo kwasasa Makuyuni.
Hivi siku hizi Umbea unaletwa jf?

Unatia aibu!!
 
Kuna watu wanaocomment hadi unajiuliza, kama huyu ndio yupo Jf na anajua kutumia smartphone.. Vipi wale walio na zero exposure huko madongo kuinama

Maxence asipojipanga kwenye quality control, Jf itaendelea kuporomoka kiubora maana palipo na wapumbavu wenye kelele, werevu wengi huwapuuza kwa kukaa kimya
 
Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.

Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.

Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.

Ngongo kwasasa Makuyuni.
Mkuu wasalimie hapo kwa Pello..mji unakuwa sana huo
 
Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.

Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.

Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.

Ngongo kwasasa Makuyuni.
Nilikuepo hapo last week
 
Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.

Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.

Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.

Ngongo kwasasa Makuyuni.
Ulichokiandika hapa ndiyo tafsiri halisi ya mjinga. Wewe ni mjinga. Mjinga hukesha kufurahia anguko la watu wema.
 
Back
Top Bottom