Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia dawa ikuingie Bashite yuko hoi bin taaban Grand Melia hawezi hata kuchamba achilia mbali kwenda ofisini.Makonda hadi sasa kafanya kazi ya kutukuka kabisa Arusha.
Natumaini ataendelea kutatua migogolo ya ardhi kwenye maeneo ya Monduli kama Mbunge Lowasa alivyomuomba wakati anaripoti Arusha.Pia migogolo ya Ngolongoro.
Migogolo❌Makonda hadi sasa kafanya kazi ya kutukuka kabisa Arusha.
Natumaini ataendelea kutatua migogolo ya ardhi kwenye maeneo ya Monduli kama Mbunge Lowasa alivyomuomba wakati anaripoti Arusha.Pia migogolo ya Ngolongoro.
Jambazi lile ati "Mzalendo"😆mapambano dhidi ya Mzalendo Makonda
Ameenda hospitali ipi?Kende zote zimevimba karibu kupasuka,tambiko la wana Singida limemkamata kweli kweli hakuna wa kumnasua.
Ngongo kwasasa Mswakini.
Hivi siku hizi unaletwa jf!?Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.
Hivi siku hizi Umbea unaletwa jf?Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.
Mkuu wasalimie hapo kwa Pello..mji unakuwa sana huoYule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.
Nilikuepo hapo last weekYule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.
Ulichokiandika hapa ndiyo tafsiri halisi ya mjinga. Wewe ni mjinga. Mjinga hukesha kufurahia anguko la watu wema.Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.