Makao Makuu ya EAC Makonda hoi bin taabani.

Makao Makuu ya EAC Makonda hoi bin taabani.

Pamoja na yote kafanya kazi kubwa aisee
Watu wamepata haki zao walizodai na kudhulumiwa Kwa muda mrefu!
Watu Huwa wanabadirika naamini ht ye kabadirika
 
Kuna watu wanaocomment hadi unajiuliza, kama huyu ndio yupo Jf na anajua kutumia smartphone.. Vipi wale walio na zero exposure huko madongo kuinama

Maxence asipojipanga kwenye quality control, Jf itaendelea kuporomoka kiubora maana palipo na wapumbavu wenye kelele, werevu wengi huwapuuza kwa kukaa kimya
Kweli kabisa
 
Tulia dawa ikuingie Bashite yuko hoi bin taaban Grand Melia hawezi hata kuchamba achilia mbali kwenda ofisini.
Kwahiyo umefurahi?
Btw pamoja na mambo yake ya zamani Kwa Arusha kazi amefanya Mungu atamtetea tu
 
Kende zote zimevimba karibu kupasuka,tambiko la wana Singida limemkamata kweli kweli hakuna wa kumnasua.

Ngongo kwasasa Mswakini.
Hii habari nzuri sana, nilisikia mahali nikajua stori tu kumbe tambiko limejibu, na bado wamvimbishe na makalio hadi ashindwe kuvaa suruali
 
Kende zote zimevimba karibu kupasuka,tambiko la wana Singida limemkamata kweli kweli hakuna wa kumnasua.

Ngongo
Kuna watu wanakubishia, lakini hajatokea hata mmoja kutoa ushahidi kuwa siku mbili hizi ameonekana ofisini?
Mie sioni ajabu kama tambiko lile la jadi ambalo nilishauri ajitokeze aombe radhi na kusema ukweli kama litajibu na 1st stage ikawa kuvimba kende!
Wanaobisha waendelee ila @ngongoendelea kutupasha za ndani zaidi. Hata kama zimepasuka au kuondolewa na wataalam
 
Kuna watu wanakubishia, lakini hajatokea hata mmoja kutoa ushahidi kuwa siku mbili hizi ameonekana ofisini?
Mie sioni ajabu kama tambiko lile la jadi ambalo nilishauri ajitokeze aombe radhi na kusema ukweli kama litajibu na 1st stage ikawa kuvimba kende!
Wanaobisha waendelee ila @ngongoendelea kutupasha za ndani zaidi. Hata kama zimepasuka au kuondolewa na wataalam
Na kama ukubwa wa lile sambwanda umeongezeka yote utujuze ili tukatoe sadaka kwa kuhani aliyesimamia lile tambiko.
 
Kuna watu wanaocomment hadi unajiuliza, kama huyu ndio yupo Jf na anajua kutumia smartphone.. Vipi wale walio na zero exposure huko madongo kuinama

Maxence asipojipanga kwenye quality control, Jf itaendelea kuporomoka kiubora maana palipo na wapumbavu wenye kelele, werevu wengi huwapuuza kwa kukaa kimya
of course kuna watu wanacomment utafikir hawana ubongo.
 
Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.

Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.

Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.

Ngongo kwasasa Makuyuni.
Siku akifa makonda nitafurahi sana kama nilivyokunya cret nzima ya bia siku alipokufa jpm
 
Pamoja na changamoto za huyu muheshimiwa za huko nyuma;
Ila Ukifuatilia uzembe unao umiza wananchi kwa sababu za watu waliopewa nafasi kutokutimiza wajibu wao; Unaona kabisa tunatakiwa tuwe na kina Makonda wengi kwenye hii Nchi

Kama umefuatilia mikutano yake utakuwa umeona jinsi wananchi wanavyo nyanyasika kwa sababu ya uzembe ya watu waliopewa nafasi za kuwatumikia na hawajatimiza wajibu wao.

Lakini, kama ni kweli mkoa ulipewe Bilioni 21, hadi mwaka wa Serikali unaisha wametumia sijui B3, zingine wanarudisha hazina. Huku mapagale ya zahanati na madarasa yapo?

Ngumu sana jamani
 
Back
Top Bottom