Askari kioja
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 356
- 962
Kwenye ulimwengu wa sayansi Bado mnaamini uchawi?Kende zote zimevimba karibu kupasuka,tambiko la wana Singida limemkamata kweli kweli hakuna wa kumnasua.
Ngongo kwasasa Mswakini.
Kweli kabisaKuna watu wanaocomment hadi unajiuliza, kama huyu ndio yupo Jf na anajua kutumia smartphone.. Vipi wale walio na zero exposure huko madongo kuinama
Maxence asipojipanga kwenye quality control, Jf itaendelea kuporomoka kiubora maana palipo na wapumbavu wenye kelele, werevu wengi huwapuuza kwa kukaa kimya
Kwahiyo umefurahi?Tulia dawa ikuingie Bashite yuko hoi bin taaban Grand Melia hawezi hata kuchamba achilia mbali kwenda ofisini.
Hii habari nzuri sana, nilisikia mahali nikajua stori tu kumbe tambiko limejibu, na bado wamvimbishe na makalio hadi ashindwe kuvaa surualiKende zote zimevimba karibu kupasuka,tambiko la wana Singida limemkamata kweli kweli hakuna wa kumnasua.
Ngongo kwasasa Mswakini.
umaskini tatizoWabongo kwa chuki na roho mbaya hatujambo
Hahah mmeishiwa hoja za msingi mnasingizia matambiko sasa.Usicheze na tambiko.
Kuna watu wanakubishia, lakini hajatokea hata mmoja kutoa ushahidi kuwa siku mbili hizi ameonekana ofisini?Kende zote zimevimba karibu kupasuka,tambiko la wana Singida limemkamata kweli kweli hakuna wa kumnasua.
Ngongo
Na kama ukubwa wa lile sambwanda umeongezeka yote utujuze ili tukatoe sadaka kwa kuhani aliyesimamia lile tambiko.Kuna watu wanakubishia, lakini hajatokea hata mmoja kutoa ushahidi kuwa siku mbili hizi ameonekana ofisini?
Mie sioni ajabu kama tambiko lile la jadi ambalo nilishauri ajitokeze aombe radhi na kusema ukweli kama litajibu na 1st stage ikawa kuvimba kende!
Wanaobisha waendelee ila @ngongoendelea kutupasha za ndani zaidi. Hata kama zimepasuka au kuondolewa na wataalam
of course kuna watu wanacomment utafikir hawana ubongo.Kuna watu wanaocomment hadi unajiuliza, kama huyu ndio yupo Jf na anajua kutumia smartphone.. Vipi wale walio na zero exposure huko madongo kuinama
Maxence asipojipanga kwenye quality control, Jf itaendelea kuporomoka kiubora maana palipo na wapumbavu wenye kelele, werevu wengi huwapuuza kwa kukaa kimya
Inasikitishaof course kuna watu wanacomment utafikir hawana ubongo.
Siku akifa makonda nitafurahi sana kama nilivyokunya cret nzima ya bia siku alipokufa jpmYule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.