Asanteeeee
Mwambie nimemmiss sana.
Hahahahahaaaa...ilo bao la mkono kabisa.... Eti huyu mrembo
niombe tu lifti wala usiogope [emoji594] [emoji594]
Mambo yabakwenda...naona kapuk wameteka jf....
Nilikuwa busy na majukumu kidogo, ila nishatulia kiasi nowWapiii damtanzania
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Mkuu sio wewe tu,mimi jana nimetoka kuomba msamaha.Acha tuu..... Yani hapa shemej yenu anashangaaa tuu...anadhan Nina mchepuko...kumbe ni kapuku forum
Mrembo karibuUtakapopakuta unaendelea hapohapo...ila usichelewe sana
Hahahahaha mbavu zangute te te te hao wanaojiita wakongwe mara wanaweka thread za kizungu utafikiri wametusomesha bana...makapuku na kizungu wapi na wapi
Mpendwa umepika kweli Leo?Duuh..... Nendeni polepole basi mnaniacha 😀😀
mmmmh umemmiss?!niko naye hukuMwambie nimemmiss sana.
Kapuku ukiona ivyo unapita kimya kimya mpaka huku kwenye kiota chetu tuje kujiliwazate te te te hao wanaojiita wakongwe mara wanaweka thread za kizungu utafikiri wametusomesha bana...makapuku na kizungu wapi na wapi
Mkuu huyo ni mrembo kweli.Hahahahahaaaa...ilo bao la mkono kabisa.... Eti huyu mrembo
Asante sanaaa[emoji8]